Pancho panchilo
Senior Member
- May 18, 2017
- 121
- 95
Usawa huu sheikh wangu acha tu, hakuna jinsi.Acheni upuuzi, yaani ufanye yote hayo kwa ajili ya kukwepa nauli ya daladala? Yaani upoteze ma muda kabisa eti usubiri daladala lililojaa ili usilipe nauli! Kwa nini usitumie hiyo akili kwenye kazi yako ukajiongezea kipato
Sent using Jamii Forums mobile app