Zijue mbwembwe za mawakili

Zijue mbwembwe za mawakili

Hapanq, sijajielekeza vibaya. Mahakamani mapingamizi mengi ni ya ajabu ajabu, mtu anapinga kuwa plaint haijasainiwa ilhali mlalamikaji yupo mahakamani... Si umpe tu asaini muendelee na kesi??

Kwenye comment yangu nilisema kuwa baadae mapingamizi yataisha, labda litabaki pingamizi la uwezo wa mahakama (jurisdiction) kwa maana ya kesi kufunguliwa katika mahakama isiyo sahihi au kuwa nje ya muda (hiyo time barred) na other vital.

Hizo za kufungua chini ya vifungu visivyo sahihi tayari mahakama ya Rufani imeshasema kuwa sio FATAL, kama kilichoandikwa ndani kinajitosheleza vifungu sio ishu, vinarekebishwa tu kesi iendelee. Ikumbukwe mahakamani watu hawaendi kutaka kuonesha umahiri wa sheria bali wanataka kupata haki zao, sasa PO lako kama halimalizi kesi, si unaleta usumbufu tu aisee?? Maana huyo mtu atarudi tu mahakamani..au ndio kujiongezea namna ya kupata fees??
Mkuu nakubaliana na Wewe Huwa naona pingamizi la Kisheria Huwa tunapoteza muda. Nikupe mkasa wangu kulikuwa na shauri Baraza la Kata nikashinda ukapita muda rufaa jamaa akakata rufaa Baraza la ardhi wilaya kukata rufaa nnje ya muda ila akakosea kiapo, wakili akaweka pingamizi la Kisheria tukashinda kesi Kwa gharama. Akakata rufaa Tena nnje ya Muda japo alikosea Tena ila nikamwambia wakili tumuache twende kwenye kesi ya Msingi, akahonga na akashinda rufaa. Akafungua Tena kesi ya Msingi ya kupinga Maamuzi ya Baraza la Kata hapa napo nimemshinda Kwa gharama. Sasa amekata Tena rufaa mahakama kuu ndio namsikilizia. Kwahiyo ninacho kiona mapingamizi ya Kisheria Huwa yanapoteza muda tuu japo tulishinda Kwa gharama.
 
Mkuu nakubaliana na Wewe Huwa naona pingamizi la Kisheria Huwa tunapoteza muda. Nikupe mkasa wangu kulikuwa na shauri Baraza la Kata nikashinda ukapita muda rufaa jamaa akakata rufaa Baraza la ardhi wilaya kukata rufaa nnje ya muda ila akakosea kiapo, wakili akaweka pingamizi la Kisheria tukashinda kesi Kwa gharama. Akakata rufaa Tena nnje ya Muda japo alikosea Tena ila nikamwambia wakili tumuache twende kwenye kesi ya Msingi, akahonga na akashinda rufaa. Akafungua Tena kesi ya Msingi ya kupinga Maamuzi ya Baraza la Kata hapa napo nimemshinda Kwa gharama. Sasa amekata Tena rufaa mahakama kuu ndio namsikilizia. Kwahiyo ninacho kiona mapingamizi ya Kisheria Huwa yanapoteza muda tuu japo tulishinda Kwa gharama.
-itategemea na pingamizi, kama pingamizi liko kwenye Pure point of law as eshrined kwenye Mukisa Biscuit Case, hilo Lina msingi
 
Mkuu nakubaliana na Wewe Huwa naona pingamizi la Kisheria Huwa tunapoteza muda. Nikupe mkasa wangu kulikuwa na shauri Baraza la Kata nikashinda ukapita muda rufaa jamaa akakata rufaa Baraza la ardhi wilaya kukata rufaa nnje ya muda ila akakosea kiapo, wakili akaweka pingamizi la Kisheria tukashinda kesi Kwa gharama. Akakata rufaa Tena nnje ya Muda japo alikosea Tena ila nikamwambia wakili tumuache twende kwenye kesi ya Msingi, akahonga na akashinda rufaa. Akafungua Tena kesi ya Msingi ya kupinga Maamuzi ya Baraza la Kata hapa napo nimemshinda Kwa gharama. Sasa amekata Tena rufaa mahakama kuu ndio namsikilizia. Kwahiyo ninacho kiona mapingamizi ya Kisheria Huwa yanapoteza muda tuu japo tulishinda Kwa gharama.
Duh
 
-itategemea na pingamizi, kama pingamizi liko kwenye Pure point of law as eshrined kwenye Mukisa Biscuit Case, hilo Lina msingi
Ni kweli, pingamizi liwe lile linalomaliza kesi na sio linayoiondosha ili irudishwe upya ikiwa imenyooka (kwamba mfunguaji bado anakuwa na nafasi ya kurudisha kesi).

Kuna vitu vingine ni vidogo na visivyo na madhara kihivyo sio vya kupoteza muda kuweka maPO, ni kutoa angalizo na hapohapo mtu avirekebishe muende kwenye MERIT.
 
Ni kweli, pingamizi liwe lile linalomaliza kesi na sio linayoiondosha ili irudishwe upya ikiwa imenyooka (kwamba mfunguaji bado anakuwa na nafasi ya kurudisha kesi).

Kuna vitu vingine ni vidogo na visivyo na madhara kihivyo sio vya kupoteza muda kuweka maPO, ni kutoa angalizo na hapohapo mtu avirekebishe muende kwenye MERIT.
Asante kwa maelezo wakili msomi
 
Ni kazi moja nzuri sana kwa sababu inamhitaji mtu kuwa na maadili sawa tu kama walivyo watumishi wa Mungu kwenye nyumba za Ibada. Hii kazi mtu kama hana maadili, hawezi kufanya, isipokuwa anaweza akaishia kwenda jela tu tena miaka mingi sana kuzidi hata hata wale ambao alishawahi kuwashinda kesi
 
Zamani nilifikili kila wakili unayemuona anaweza kesi zote! Kumbe siyo! Kumbe nao wamegawanyika kulingana na eneo alilobobea mfano!
  • Wapo mawakili wazuri sana kwenye kesi za aridhi tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za migogoro ya ndoa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za siasa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye biashara na mikataba tu
  • Wapo mawakili wazuri kwa ajili ya kugonga mihuri tu
Hii hapa ni baadhi tu ya mikwara na mbwembwe ya kina hawa ndugu wanaoitwa MAWAKILI (WANASHERIA)

1. Wanapenda sana kuitwa "wakili msomi"

2. Hata kuwe na jua Kali namna gani hawaachi kuvaa yale magauni meusi na tai za kisabato

3. Wakili yoyote hata kama hana kazi siku hiyo ukimwambia tu siku na muda wa kesi yako mahakamani lazima akwambie! Ana kesi nyingine mahamani siku hiyo au siku moja kabla ya kesi yako lakini atakuhakikishia pia atakuja kukutetea (complication theory)

4. Ukimpigia simu kama hakujui anakata kwanza halafu anakutext (niko mahakamani nani) halafu bdae ndo anakupigia sasa

5. Kesi yoyote hata kama utafungwa hakwambii, atakwambia "Ondoa shaka kesi nyeupe hii"

6. Kesi zote zenye public interest mawakili wanapenda sana kuonesha hawako kimaslahi ya pesa

7. Kesi ya kuku lakini usishaangae akaja na burungutu kajaza begi la nguo na kimkoba kwa pembeni

8. Kila siku ya kesi wanapenda kuomba nauli 100k~500k utadhani wanapanda helkopita.

9. ...ongezea tabia unayoijua nyingine hapo!

Hadi hapo nimejifunza kwamba ukitaka kuwa wakili lazima pia ujue kucomplicate Mambo!
😃😃😃😃✔️
 
Ni kazi moja nzuri sana kwa sababu inamhitaji mtu kuwa na maadili sawa tu kama walivyo watumishi wa Mungu kwenye nyumba za Ibada. Hii kazi mtu kama hana maadili, hawezi kufanya, isipokuwa anaweza akaishia kwenda jela tu tena miaka mingi sana kuzidi hata hata wale ambao alishawahi kuwashinda kesi
Ati nn
 
Wengine wanatulia pesa zetu tu na wanajiita wakili msomi
 
Back
Top Bottom