Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo



Vyema basi tuletee na visa vya UK na common wealth
 
Kgb na fsb ni vitu viwili tofauti.KGB ilikuwa dissolved na FSB wala haifanyi kazi zilizokuwa zinafanywa na KGB
 
Mkuu hao informer wanawapataje? na kuwaamini hivyo?
Ni kwa kutuma maombi.uwaeleze unataka kuwasaidia nini.na wala hawakuamini kiiivyo kukupa kazi nzito wakiona umewajua sana,mwisho wa siku ni.

Crush the bottle after using it.
 
Kgb na fsb ni vitu viwili tofauti.KGB ilikuwa dissolved na FSB wala haifanyi kazi
zilizokuwa zinafanywa na KGB

Safi, mamlaka ya kiutendaji yaliboreshwa mkuu, FSB ikapewa majukumu maalum nje ya nchi ya Urusi na yale matawi ya iliokua KGB yaani FSO na SVR yakawa na kazi za ndani ya nchi ,kuna mabadiliko yalifanywa na Rais kipindi hcho anaitwa Boris Yeltsin kubadili mfumo 1991-1993 kuimega kisheria KGB kuwa fSK iliongozwa na mtaalum Sergei stepashin ,polepole na mwaka 1995 fsk iikapewa mamlaka na kubadilishwa jina kuwa FSB, 1995 Rais akampa nafasi ya kwanza ya Ukurugenzi mkuu wao akawa askari mkakamvu mno General Mikhail ivanovich Barukov , hakutosha sana ndipo mwaka 1998 Mtaalamu wa mapigo ya karate na tai chi askari mtiifu mno Vladimir putin akawa Mkurugenzi Mkuu wa FSB akaleta mabadiliko makubwa kiutendaji na mfumo, nikosoe nilipoboronga mkuu
 
Ni kwa kutuma maombi.uwaeleze unataka kuwasaidia nini.na wala hawakuamini kiiivyo kukupa kazi nzito wakiona umewajua sana,mwisho wa siku ni.

Crush the bottle after using it.

Crush the bottle after using it, unamaanisha nn mkuu
 
Ni kwa kutuma maombi.uwaeleze unataka kuwasaidia nini.na wala hawakuamini kiiivyo kukupa kazi nzito wakiona umewajua sana,mwisho wa siku ni.

Crush the bottle after using it.

wanakupa mafunzo au vipi na maombi natuma wapi? nipe maelekezo mkuu
 
Crush the bottle after using it, unamaanisha nn mkuu
Hujaelewa nini hapa.ukiishatumika kwa suala flani wanakutelekeza au kukupoteza kabisa usijevujisha siri zao.rejea simulizi opp kamata osama.
wanakupa mafunzo au vipi na maombi natuma wapi? nipe maelekezo mkuu
Link katoa mdau huko post za nyuma, kwa sababu wewe ndiye umeona unalo la kuwasaidia, wewe ndiye utajua ujifunze kitu gani ili uhakikishe unawapa info zisizo na ukakasi, na pia informer sio lazima awe na mafunzo yoyote.

Na ukumbuke mafunzo ya hawa watu yanategemea anakwenda kufanya kazi gani.kama ni kudukua mifumo ya mawasiliano hawawezi peleka komandoo ataenda aliyebobea IT.
 
Mwambie akasome kitabu kinaitwa THE ART OF WAR by SUN TZU, atajifunza kuna aina kama Tano za SPY/Informer na Jinsi ya Kuwatumia.
(1) Local spies; (2) inward spies; (3) converted spies; (4) doomed spies; (5) surviving spies
LOCAL SPIES amsome huyu atapata mwanga.
 

Mmmaaa!!!, sifanyi kazi hizo, kazi gani hizo loooh si afadhali niendeleze biashara yangu niishi maisha bora na ya raha kabisa maana naona kama inatisha tisha looooh hata wakinifuata nakataa
 
Mmmaaa!!!, sifanyi kazi hizo, kazi gani hizo loooh si afadhali niendeleze biashara yangu niishi maisha bora na ya raha kabisa maana naona kama inatisha tisha looooh hata wakinifuata nakataa
Unaona sasa eh[emoji2]
 
mkuu nifafanulie mmoja mmoja kati yao hao local ni nani na wanapatikanaje .God bless me i dont like dat job loooh
 
mkuu hivi hao watu wanajuana wote au wanaweza wasitambuane na kwann iwe hivyo kama hawajuani?.God bless me
[emoji2] kutokujuana ndio ufanisi wa kazi unayopewa.

Yaani unarudisha ripoti makao ya kitengo nchi uliyopo. unaambiwa urudi nchini kwako kwa rikizo ukaripoti ofisi flani,[emoji53] [emoji53] ghafla unakutana na jamaa ambaye alikupora begi stand ya basi likiwa na dokumenti zako ulizotumia kusafiria ile nchi ulikokuwepo[emoji2] ukamkimbiza bila mafanikio nayeye kaja kuripoti hapo.manabaki kushangaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…