Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

[emoji2] kutokujuana ndio ufanisi wa kazi unayopewa.

Yaani unarudisha ripoti makao ya kitengo nchi uliyopo. unaambiwa urudi nchini kwako kwa rikizo ukaripoti ofisi flani,[emoji53] [emoji53] ghafla unakutana na jamaa ambaye alikupora begi stand ya basi likiwa na dokumenti zako ulizotumia kusafiria ile nchi ulikokuwepo[emoji2] ukamkimbiza bila mafanikio nayeye kaja kuripoti hapo.manabaki kushangaana.

Mmmaaa!!!!!!!! si mambo ya kuzunguukana na kuchomana hayo , sasa kama mnafanya kazi kwa lengo moja ya nini kufuatiliana aah nabaki nyumbani tu loooh, Mkuu nisaidie inawezekana ndani ya kampuni au shirika kuwepo hao? na wanalipwaje sasa wakati kisheria hakuna ajira mbili kwa mtu mmoja?
 
Hujaelewa nini hapa.ukiishatumika kwa suala flani wanakutelekeza au kukupoteza kabisa usijevujisha siri zao.rejea simulizi opp kamata osama.

Link katoa mdau huko post za nyuma, kwa sababu wewe ndiye umeona unalo la kuwasaidia, wewe ndiye utajua ujifunze kitu gani ili uhakikishe unawapa info zisizo na ukakasi, na pia informer sio lazima awe na mafunzo yoyote.

Na ukumbuke mafunzo ya hawa watu yanategemea anakwenda kufanya kazi gani.kama ni kudukua mifumo ya mawasiliano hawawezi peleka komandoo ataenda aliyebobea IT.

Basi ngoja nikajiunge na chuo cha Tengeru miaka mitatu nimefuzu u bwana shamba wa wilaya au siku hizi cheo hicho hakipo?
 
Mmmaaa!!!!!!!! si mambo ya kuzunguukana na kuchomana hayo , sasa kama mnafanya kazi kwa lengo moja ya nini kufuatiliana aah nabaki nyumbani tu loooh, Mkuu nisaidie inawezekana ndani ya kampuni au shirika kuwepo hao? na wanalipwaje sasa wakati kisheria hakuna ajira mbili kwa mtu mmoja?

Unafwatiliwa ili usihame reli.

Kwenye mashirika wapo informer tu.ambao hawasomeki kama wana ajira mbili.
 
sasa mshahara wanalipwaje na wale wa kule waliomtuma?
hiyo kazi ni balaa, ukisha ingia hutoki na wakistuka hueleweki kidogo tu umepotezwa. mara nyingi huwezi kumjua msimamizi wako anaekupa maelekezo leo kukurecruit. ni kawaida usimwone tena, unastukia unapewa maagizo na mtu tofauti. kazi hiyo ni hatari usipime, fuatilia novels za u spy. maana hawa jamaa zetu westerners, asilimia kubwa ya story zao wanaandika kutokana na story na systems halisia. wanachuja tu ambazo zipo updated.
 
wew ndo unasema yameish ila waulize wenzako.mwaka 2006

wew ndo unasema yameish ila waulize wenzako.mwaka 2006 aliyekuw msaliti wa KGB bwana Alexander Litvinenko aliyekimbilia nchini uingereza aliwekew sumu iliyokuj kuonekan baada ya wiki 3,kuj kufatilia kumb jamaa alikutan na jasusi wa FSB kweny hotel, aliwekew sumu kweny chai ambayo ndo ilipelekea kuw mwish wa maish yake
Mkuu kweli nimepitia story ya levynyenko alikuwa sumu ya poronium
 
Mkuu MSEZA MKULU ,
Shirika la KGB lilivunjwa na kuwa SVR na FSB mara baada ya kuanguka kwa jumuiya ya nchi za kisovieti mwaka 1991 na siyo mwaka 1995.

Haya nianze kukosoa kwenye vinasa sauti hapo.
Hivi unajua mnamo mwaka 1970 C.I.A walichimba shimo refu chini ya Ubalozi wa Soviet Marekani kwa dhumuni la kufanya udukuzi?

Hilo la ugaidi.
Mbona C.I.A na MOSSAD nao ni magwiji wa kutengeneza magaidi?
Unayakumbuka haya makundi;

  1. Khmer Rouge la Cambodia?
  2. Contras or FDN wa Nicaragua?
  3. The Mujaheddin au Al-Qaeda la Afghanistani?
  4. Hawa ISIS je?
Sawa lakini jiheshimu, acha kukoti habari yoooote mnatusumbua sana
 
Haaaaaaaaaaaaa mlongu unatamanisha sawaaaaa haaaaa vip ngogo bado msimu wake??
 
Mmiliki wa KGB, CIA, FBI, MOSAD, ISIS, wakina alqaida, Alshabab, na vikosi vingine vya siri vyote vinamilikiwa na Mtu mmoja na wana mission zinazofanana, kwa nje wamejibrand kwamba wametofautiana lakini mfadhili ni mmoja na boss wao ni mmoja. akiona uhitaji wa kuanzisha vikosi vingine hufanya hivyo chapu...akina LRA, vile vya naigeria, congo nk. Ukweli ni kwamaba hao ndio waliofikisha dunia hapa ilipo na bado watatupeleka sana hata kufikia uangamivu mkuu
 
Back
Top Bottom