Zijue nchi 6 ambazo hakuna usiku, jua halizami

Zijue nchi 6 ambazo hakuna usiku, jua halizami

Kwaiyo ni kama usiku yani unajisikis ksbisa uchovu wakusinzia yani

Mkuu usingizi hauna usiku wala mchana , kwani haujawai kulala mchana au kupiga kazi usiku kucha mpaka asubuhi? Pia kuna nocturnal.
 
Hapo Sweden balaa tupu kuna kipindi cha Mwezi wa Ramadhan waislam muda wa kufturu na kula Daku kama pua na mdomo yaana papo kwa hapo haswa Juni July na August..

Lkn kuna miezi wafungaji wanafunga muda machache sana... Masaa kama sio sita basi saba au manane tuu..
 
HIVI WEWE mjomba unauzarau sana ugali wa maharagwe? kumbuka ndio huo huo umewalea na ukawakuza kabisa shukuru Mungu
Yaani UGALI na NAFAKA kwa ujumla umewaathiri sana watu weusi.

70-80% ya chakula ni Nafaka tu mchana na usiku. Hili limewaathiri watu weusi kwa kudumaza akili zao na kuondoa uwezo wa kufikiri

Nutrition ina mchango katika kujenga akili
 
Yaani UGALI na NAFAKA kwa ujumla umewaathiri sana watu weusi.

70-80% ya chakula ni Nafaka tu mchana na usiku. Hili limewaathiri watu weusi kwa kudumaza akili zao na kuondoa uwezo wa kufikiri

Nutrition ina mchango katika kujenga akili
Walitakiwa wale burger na pizza wajenge afya.
 
Nchi kama hizo hua wana utaratibu wa kurekebisha saa/muda, either wapeleke mbele masaa au warudishe nyuma kutegemea na season...
 
Back
Top Bottom