Frequencer
New Member
- Jul 16, 2021
- 1
- 5
Ni kweli kuna kipindi cha summer nilienda UK nilishangaa sana hadi usiku wa saa tatu bado kuna Mwanga!!
Hii ilinikuta UK pia kipindi cha summer, nikaambiwa “Dinner is ready” kucheki nje bado jua linawaka, pia ilinipa tabu sana kuelewa mzunguko na kuweza kulala usiku