Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi hali hiyo niliona USANi kweli kuna kipindi cha summer nilienda UK nilishangaa sana hadi usiku wa saa tatu bado kuna Mwanga!!
Kwa hiyo hakuna kulala?Yes ni kweli kabisa. Nilifika Republic of Ireland majira ya joto ni mwanga mwanzo mwisho.
Unalala tu kwa mazoea ya kibinadamu na ile hali ya mchoko wa mwili.Kwa hiyo hakuna kulala?
ishia la ngapi mkuu? hata jiografia ya shule ya msingi inaeleza hayaSource please
Kwa zile nchi ambazo hazipati giza kabisa zinatenga masaa ya kufunga, labda wanaamua kufunga masaa kumi na tatu tu, ila zile ambazo zinapata usiku mfupi lazima wafunge kipindi chote chenye jua na wafungue kipindi chote chenye giza, hata kama usiku utakuwa na masaa manne na mchana masaa 20
Haha haha hahaNaanzaje kupata usingizi
Watu wenye passport utawajua kwenye Uzi huu na wale wenye cha NIDA utawajuaFinland na Norway ni kipindi flan huwa kuna kunakuwa na midnight sun lakini sio muda wote.
Giza lipo vizuri tu
Ahsante kwa muongozo mkuuKwa zile nchi ambazo hazipati giza kabisa zinatenga masaa ya kufunga, labda wanaamua kufunga masaa kumi na tatu tu, ila zile ambazo zinapata usiku mfupi lazima wafunge kipindi chote chenye jua na wafungue kipindi chote chenye giza, hata kama usiku utakuwa na masaa manne na mchana masaa 20
🤣🤣🤣Ingekuwa Africa tusingeweka taaa wala umeme kwa akili za kiafrika afrika. Ugali maharagwe umearibu akili za waafrica
Haha hahaha hahahaMsimu huo wachawi watakuwa wanapata shida sana maana nasikia wachawi hupenda kuwanga gizani hasa nyakati za usiku mkubwa
Na yeye ndiye aliepigana na Idd Amin DadaUtashangaa kuna sehemu kumeandikwa yeye ndio Baba wa Taifa aliyemtoa mkoloni Tanganyika.