Zijue nchi zenye waafrika wengi zaidi nje ya Afrika

Zijue nchi zenye waafrika wengi zaidi nje ya Afrika

wana tuzo zao kabisa za music BLACK ENTERTAINMENT AWARDS (BET AWARDA) hawa black amerika wapo real
Na hawa weusi wa marekani wamesaidia sana kujenga heshima ya mtu mweusi dunia hii maana wapo wengi tu ambao ni matajiri balaa hasa hao wanamuziki,waigizaji na wanamichezo hivo wanaheshmika kweli.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Umetaja Suriname nimefurahi. Wale weusi wengi wanaongea Saramancan aina fulani ya Creole ama pidgin. Hawa walikuwa watumwa kutoka Ghana (Elmina). Walipofika Suriname walitorokea msituni wakaunda taifa lao huko. Wadachi waliogopa kuwafuata wamedumu mule hadi ustaarabu ulipokuja na utumwa kutokomezwa ndio wakaanza kuenea. Hata Ecuador nasikia Waafrika toka Congo wengi. Rafiki yangu alishangaa sana kusikia muzikii wa Congo vijijini na katika baadhi ya miji yenye Waafrika wengi Ecuador.
Safi sana...tumepata elimu kubwa sana
 
Asikidanganye mtu, hao weusi wa marekani kwa kiasi fulani wanachukia sana kuhusishwa na bara la Africa. Ni kweli wapo very proud kuwa black. Wanaprefer kujiita blacks kuliko african americans. Halafu huwa wanabagua waafrika wanaoishi US.

Ni kweli Brazil inaongoza kuwa na watu weusi wasiojivunia uafrika na hawapendi kujitambulisha kama weusi. Pongezi nyingi wapewe weusi wa Marekani hawa pamoja na utumwa na ubaguz ila wamepambana kudai haki zao na kujivunia uafrika wao na wamejenga influence kubwa kupitia sekta ya burudani, michezo,n.k
 
Umetaja Suriname nimefurahi. Wale weusi wengi wanaongea Saramancan aina fulani ya Creole ama pidgin. Hawa walikuwa watumwa kutoka Ghana (Elmina). Walipofika Suriname walitorokea msituni wakaunda taifa lao huko. Wadachi waliogopa kuwafuata wamedumu mule hadi ustaarabu ulipokuja na utumwa kutokomezwa ndio wakaanza kuenea. Hata Ecuador nasikia Waafrika toka Congo wengi. Rafiki yangu alishangaa sana kusikia muzikii wa Congo vijijini na katika baadhi ya miji yenye Waafrika wengi Ecuador.
Kumbe wandugu zetu wa congo wako huko..safi sana tumepata elimu na ufahamu mkubwa sana..hii ndio jf jamvi kuu la kupata ufahamu
 
Brazil walikuwa zaidi ya million 100 lakini washenzi wazungu wakaleta policy ya whitening kuiondoa rangi nyeusi 1960s. Na Wamefanikiwa kabisa kwasababu machotara ni wengi Na weusi waliobaki hawaoani Sana wenyewe kwa wenyewe Ni nadra Na wanajidharau sana. Pele kazaa Na mweupe watoto wake machotara.

Yani tayari wameshawapandikizia mbegu akilini kuchukia uweusi wengi wameintermarry Na natives. Upande wa Kaskazini Ni weupe wengi kusini weusi wengi.
Huko Argentina balaa wamefanikiwa kutokomeza uweusi kabisa.

Weupe wengi was Brazil Ni asili ya Ujerumani, ureno, italia Na ufaransa. Fikiria kutoka million 100 Hadi 55.

Ila kinachonifariji ni baadhi ya hao weusi mabantu wanatrace their origins kutoka Yoruba Nigeria Na wanafuata Mila za mababu zao.

Sasa Muambie Ronaldo de lima wee Ni mweusi anaweza kukutandika wakati babu zake Ni manigger

Pia Cuba hivyohivyo wanaitwa milato
Mkuu kuna ukweli katika unayosema. Wanaamini gene ya mtu mweusi imejaa tabia ya uhalifu na kuvunja sheria.
Ni moja ya sababu za kukubali mwany wa migrants kutoka Africa kwenda Europe. Zamani wa Africa walifanya kazi ambazo wazungu hawakuzipenda lakini sikuhizi wanaona bora wa easterners wazifanye.
 
Hao ni watu weusi tu ila sio waafrica na Kama Kuna kitu hawapendi kusikia au kuhusishwa nacho ni uafrika.

Sijapata ona watu wanaochukia kuitwa waafrica kama weusi wa Caribbean. Wapo brain washed Hadi unawaonea huruma. Visiwa karibu vyote vya Carribbean ni choka mbaya kuliko nchi nyingi tu za Africa, ila for some reason huwa wanajiona bora, matajiri na wapo juu, kumbe na sisi tunawaangalia kwa jicho la huruma. Nchi kama Haiti hata kabla ya earthquake ya 2010 ilikua hovyo kuliko Malawi let alone TZ na baada ya earthquake ndo haifai kabisa.

Kama mdau mmoja alivyosema, Hawa jamaa, Kama weusi wengine wote (Including waafrica) ndoto yao ni kuzaa na wazungu ili vizazi vyao viondokane kabisa na huu weusi. Mweusi popote pale alipo anaamini yeye bado si mtu kamili hadi ajinasabishe na uzungu. Smdh

Kwa kuongezea tu, kuna weusi wapo visiwa vya Papua New Guinea na Andaman huko India (Andamanese people), tofauti na weusi kwingine kote nje ya Africa, hawa wao walienda huko wenyewe zaidi ya miaka 6000 iliyopita na bado si civilised Hadi leo. Walikua huko miaka mingi hata kabla ya utumwa. Andamanese remains uncontacted to date. Hata picha zao zinachukuliwa kwa ndege tu toka mbali, ukiwakaribia unakula mishale, idadi yao inapungua kwa Kasi ya ajabu Soon wanaweza kutoweka kabisa.

Andamanese - Wikipedia
 
Mkuu kuna ukweli katika unayosema. Wanaamini gene ya mtu mwendo imejaa tabia ya uhalifu na kuvunja sheria.
Ni moja ya sababu za kukubali mwanyavwa migrants kutoka Africa kwenda Europe. Zamani wa Africa walifanya kazi ambazo wazungu hawakuzipenda lakini sikuhizi wanaona bora wa easterners wazifanye.

Sky jaribu kulipitia upya bandiko lako.
 
Mkuu Bufa, nimevutiwa mno na bandiko lako. Bravo! Hao jamaa ni nini kinawamaliza? Au ni mkakati wa jamii ya rangi nyingine?

Mkuu, kikubwa ni magonjwa na maradhi mengine yanayowakumba pamoja na eneo lao kuwa limited kwa shughuli zingine za ku-survive. Wapo kisiwani hivyo wapo limited sana, hawawezi kuwinda, kulima au kupata kingine chochote kilicho nje ya kisiwa chao.

Kuna wanasayansi walitaka kujaribu kupata blood samples zao kwaajili ya uchunguzi zaidi wakiamini zinaweza kuwa na kinga dhidi ya maradhi au substance nyingine yeyote inayoweza kuwa na faida kwetu wakiamini damu za Andamanese sio contaminated kama za watu wengine.

Kwasababu hawataki kukabiriwa na jamii toka nje, UN wameweka katazo la kimataifa la kuwaingilia yani waachwe waendelee kuishi kama walivyo hata kama pingamizi hili linamaanisha kutoweka kwao.
 
Back
Top Bottom