Zijue nchi zenye waafrika wengi zaidi nje ya Afrika

Zijue nchi zenye waafrika wengi zaidi nje ya Afrika

ni kwanini ngozi nyeusi inazaraurika sana!!?
Kuna wanaoamini mwonekano wetu ni mbaya. Wengine ni wivu tu kwasababu ya vipaji vyetu na mwonekano wetu pia. Kingine ni tabia zetu za uharibifu na uhalifu.
All in all ukijitambua na kujikubali na kujua thamani yako na nguvu yako hakuna wa kukutisha dunia hii. Never!!!
 
Asikidanganye mtu, hao weusi wa marekani kwa kiasi fulani wanachukia sana kuhusishwa na bara la Africa. Ni kweli wapo very proud kuwa black. Wanaprefer kujiita blacks kuliko african americans. Halafu huwa wanabagua waafrika wanaoishi US.
Hapana wengi zaidi bado wanaipenda Afrika. Hawapendi neno African American sababu linawatenga na kuwabagua wakati wao wameshiriki kuijenga America kama ilivo kwa wazungu ambao hawaitwi kutokana na sehemu zao za Asili. Kuhusu kupatana na waafrika mbona hawana shida nao ndo mana wasanii wao wanafanya sana collabo na waafrika siku hizi ila kinachoweza kuweka kadaraja ni tamaduni tu coz hizi jamii mbili zimetengana muda mrefu sana.
 
Hao ni watu weusi tu ila sio waafrica na Kama Kuna kitu hawapendi kusikia au kuhusishwa nacho ni uafrika.

Sijapata ona watu wanaochukia kuitwa waafrica kama weusi wa Caribbean. Wapo brain washed Hadi unawaonea huruma. Visiwa karibu vyote vya Carribbean ni choka mbaya kuliko nchi nyingi tu za Africa, ila for some reason huwa wanajiona bora, matajiri na wapo juu, kumbe na sisi tunawaangalia kwa jicho la huruma. Nchi kama Haiti hata kabla ya earthquake ya 2010 ilikua hovyo kuliko Malawi let alone TZ na baada ya earthquake ndo haifai kabisa.

Kama mdau mmoja alivyosema, Hawa jamaa, Kama weusi wengine wote (Including waafrica) ndoto yao ni kuzaa na wazungu ili vizazi vyao viondokane kabisa na huu weusi. Mweusi popote pale alipo anaamini yeye bado si mtu kamili hadi ajinasabishe na uzungu. Smdh

Kwa kuongezea tu, kuna weusi wapo visiwa vya Papua New Guinea na Andaman huko India (Andamanese people), tofauti na weusi kwingine kote nje ya Africa, hawa wao walienda huko wenyewe zaidi ya miaka 6000 iliyopita na bado si civilised Hadi leo. Walikua huko miaka mingi hata kabla ya utumwa. Andamanese remains uncontacted to date. Hata picha zao zinachukuliwa kwa ndege tu toka mbali, ukiwakaribia unakula mishale, idadi yao inapungua kwa Kasi ya ajabu Soon wanaweza kutoweka kabisa.

Andamanese - Wikipedia
Shida mademu wakiafrika ni vizinga na kutudharau sana sisi wanaume wa kiafrika
 
Hao ni watu weusi tu ila sio waafrica na Kama Kuna kitu hawapendi kusikia au kuhusishwa nacho ni uafrika.

Sijapata ona watu wanaochukia kuitwa waafrica kama weusi wa Caribbean. Wapo brain washed Hadi unawaonea huruma. Visiwa karibu vyote vya Carribbean ni choka mbaya kuliko nchi nyingi tu za Africa, ila for some reason huwa wanajiona bora, matajiri na wapo juu, kumbe na sisi tunawaangalia kwa jicho la huruma. Nchi kama Haiti hata kabla ya earthquake ya 2010 ilikua hovyo kuliko Malawi let alone TZ na baada ya earthquake ndo haifai kabisa.

Kama mdau mmoja alivyosema, Hawa jamaa, Kama weusi wengine wote (Including waafrica) ndoto yao ni kuzaa na wazungu ili vizazi vyao viondokane kabisa na huu weusi. Mweusi popote pale alipo anaamini yeye bado si mtu kamili hadi ajinasabishe na uzungu. Smdh

Kwa kuongezea tu, kuna weusi wapo visiwa vya Papua New Guinea na Andaman huko India (Andamanese people), tofauti na weusi kwingine kote nje ya Africa, hawa wao walienda huko wenyewe zaidi ya miaka 6000 iliyopita na bado si civilised Hadi leo. Walikua huko miaka mingi hata kabla ya utumwa. Andamanese remains uncontacted to date. Hata picha zao zinachukuliwa kwa ndege tu toka mbali, ukiwakaribia unakula mishale, idadi yao inapungua kwa Kasi ya ajabu Soon wanaweza kutoweka kabisa.

Andamanese - Wikipedia
Kwa kweli kupenda rangi nyeupe ni ulimbukeni mkubwa sana wa waafrika unaohitaji kupingwa (siwabagui watu weupe) coz inatokana na saikolojia ya mwafrika kudharau weusi. Ni kweli kila mtu anamapenzi yake ila lazma tutafakari dhamira ya hayo mapenzi. Hata huku afrika watu wanaona wasichana weupe ndo warembo na kudharau wale weusi. Unakuta mtu mama yake mweusi tiii ila hataki kuoa msichana mweusi. Kuna makabila wanatoza mahali kubwa kwa wasichana weupe(wasukuma).

Nikija kwa hawa watu wa pale Andaman ni kweli wapo ila population yao ni ndogo sana now yapata around 450 maximum. Hawa waliondoka afrika yapata miaka 20,000 iliyopita hata dna zao hazifanani na za waafrika ila zinakaribiana na za watu wa asia ya kusini huko karibu na wao wanapoishi. Jamii za watu weusi zipo kadhaa kusini mwa Asia hasa India kusini, Bangladesh, Mynamar, Malaysia, Papua Guinea na Waaboriginal wa Australia, ila hawa walitoka Afrika zamani sana kiasi kwamba kutokana na kutengana nasi wamekua tofauti sana nasi genetically.
 
Kwa kweli kupenda rangi nyeupe ni ulimbukeni mkubwa sana wa waafrika unaohitaji kupingwa (siwabagui watu weupe) coz inatokana na saikolojia ya mwafrika kudharau weusi. Ni kweli kila mtu anamapenzi yake ila lazma tutafakari dhamira ya hayo mapenzi. Hata huku afrika watu wanaona wasichana weupe ndo warembo na kudharau wale weusi. Unakuta mtu mama yake mweusi tiii ila hataki kuoa msichana mweusi. Kuna makabila wanatoza mahali kubwa kwa wasichana weupe(wasukuma).

Nikija kwa hawa watu wa pale Andaman ni kweli wapo ila population yao ni ndogo sana now yapata around 450 maximum. Hawa waliondoka afrika yapata miaka 20,000 iliyopita hata dna zao hazifanani na za waafrika ila zinakaribiana na za watu wa asia ya kusini huko karibu na wao wanapoishi. Jamii za watu weusi zipo kadhaa kusini mwa Asia hasa Malaysia, Papua Guinea na Waaboriginal wa Australia, ila hawa walitoka Afrika zamani sana kiasi kwamba kutokana na kutengana nasi wamekua tofauti sana nasi genetically.

Nakubaliana na wewe na kuhusu DNA za Andamanese kuwa tofauti na za watu wengine kuna comment ipo chini nilielezea zaidi kwamba kuna kipindi wanasayansi walitaka blood samples zao wakiamini zinaweza kuwa na kitu cha tofauti au profoundly significant ila kwa sababu ya pingamizi la kuwaingilia walishindwa kufanya hivyo.
 
Mkuu Bufa, nimevutiwa mno na bandiko lako. Bravo! Hao jamaa ni nini kinawamaliza? Au ni mkakati wa jamii ya rangi nyingine?
Suala la mkakati hatuwezi kuacha kilitilia maanani. Watu weusi wamemalizwa sana sehemu kadhaa dunia hii. Pale Papua Guinea serikali ya Indonesia imewamaliza sana wapapua wanaodai uhuru wao, waarabu machotara wa sudan wamemaliza sana makabila ya kiafrika pale Darfur.
 
Habarini wakuu. Leo ningependa tuone nchi zenye watu wenye asili ya Afrika wengi nje ya afrika katika mitazamo miwili.

Kwa uwingi pekee
Hapa namaanisha idadi yao jumla katika nchi husika hata kama wao sio waliowengi dhidi ya jamii zingine.
Nchi hizo ni zifuatazo:
  1. Brazil 55,900,000
  2. United States 46,350,467
  3. Haiti 8,788,439
  4. Dominican Republic 7,985,991
  5. Colombia 4,944,400
  6. France 3,800,000
  7. Jamaica 2,731,419
  8. United Kingdom 2,497,373
  9. Mexico 1,400,000
  10. Cuba 1,126,894
Kwa uwingi (majority) dhidi ya watu wa jamii zingine
Hapa tutaona nchi ambazo watu wenye asili ya afrika ndo wanaongoza kwa uwingi dhidi ya watu wa jamii zingine.
  1. Saint Kitts and Nevis 98%
  2. Jamaica 97%
  3. Dominica 96%
  4. Haiti 95%
  5. Antigua and Barbuda 95%
  6. Grenada 91%
  7. Turks and Caicos islands 90%
  8. Barbados 90%
  9. The Bahamas 85%, Netherlands Antilles 85%, Saint Vincent and the Grenadines 85%
  10. Dominican Republic 84%
Nchi nyingi hapo juu zipo eneo la Caribbean. Kiffupi eneo hilo limekua kama Afrika mpya. Hivo wandugu hio ndo familia ya waafrika wanaopatikana pande mbalimbali za dunia, hapa takwimu zikiangalia zaidi maeneo walipo wengi zaidi japo utawakuta maeneo mengi tu ya dunia hii kama watu wengine.

Wea iz e shithole El-Salvador??
 
Shida mademu wakiafrika ni vizinga na kutudharau sana sisi wanaume wa kiafrika

Kwanza wanaume kwa wanawake wote wanatamani wazungu. Kati ya waafrika 10 9 kati yao wanawish waoe/waolewe na wazungu kabla ya kuwaza mambo ya mizinga au dharau.

Pili, huwa nashangaa sana pale amabo muafrika anawasema vibaya waafrika wenzake ila akio mzungu anakubali kila kitu bila pingamizi. Mathalani, unakuta njemba ya kiafrika inasema haiwezi kufua, kupika, kudeki, kushida na mtoto nk ila akioa mzungu anakubali kufanya yote haya bila shurti. Nadhani kila mtu anashuhudia hili.

Ukioa mzungu nini kinachokubadilisha na kuwa mpole ghafla? Unagundua tatizo ni inferiority complex kwamba hawawezi kuendeshwa na mweusi mwenzao ila mzungu akisema wanakubali.
 
Ambacho sijaelewamni kwamba
Waarabu ndio wali Fanya biashara ya utumwa kama tunavyosomeshwa!

Sasa ilikuwaje waafrika hawa wawepo kwenye nchi hizi za masaint kwa idadi kubwa nanmna hii!?

Waliwapataje jamani?

Walikuwa wanawafanyia nini mbali kote huko?
Au ndio walikuwa wanawafundisha usister na upadri ili warudi Afrika kueneza neno la bwana?
 
Brazil walikuwa zaidi ya million 100 lakini washenzi wazungu wakaleta policy ya whitening kuiondoa rangi nyeusi 1960s. Na Wamefanikiwa kabisa kwasababu machotara ni wengi Na weusi waliobaki hawaoani Sana wenyewe kwa wenyewe Ni nadra Na wanajidharau sana. Pele kazaa Na mweupe watoto wake machotara.

Yani tayari wameshawapandikizia mbegu akilini kuchukia uweusi wengi wameintermarry Na natives. Upande wa Kaskazini Ni weupe wengi kusini weusi wengi.
Huko Argentina balaa wamefanikiwa kutokomeza uweusi kabisa.

Weupe wengi was Brazil Ni asili ya Ujerumani, ureno, italia Na ufaransa. Fikiria kutoka million 100 Hadi 55.

Ila kinachonifariji ni baadhi ya hao weusi mabantu wanatrace their origins kutoka Yoruba Nigeria Na wanafuata Mila za mababu zao.

Sasa Muambie Ronaldo de lima wee Ni mweusi anaweza kukutandika wakati babu zake Ni manigger

Pia Cuba hivyohivyo wanaitwa milato
Mm nimebahatika kuhishi nchi za West Africa Ghana,Nigeria,Senegal,Togo,Mali nk.Hawa jamaa walioko huko America wengi wametokea eneo hili.Kuna kabila la Wafulani.Hawa wanafanana sana na wanyarwanda na kila nikimuangalia mcheza Soka Ronaldinho au Willian wa Chelsea hawa ni pure Fuani people.Mwanamuziki Ashanti for sure ametokea ashanti,Ghana.Senegali ni warefu sana na kila nikiangalia wacheza mpira wa kikapu wa marekani.....Nigeria ni wazuri kwenye muziki na ukiangalia wanamuziki wengi weusi Marekani possibly wametokea hapa.Asante mleta mada.Inafundisha!
 
Ambacho sijaelewamni kwamba
Waarabu ndio wali Fanya biashara ya utumwa kama tunavyosomeshwa!

Sasa ilikuwaje waafrika hawa wawepo kwenye nchi hizi za masaint kwa idadi kubwa nanmna hii!?

Waliwapataje jamani?

Walikuwa wanawafanyia nini mbali kote huko?
Au ndio walikuwa wanawafundisha usister na upadri ili warudi Afrika kueneza neno la bwana?

Sijui umeosoma historia gani kama hujui Triangular Slave Trade, maeneo iliyogusa na athari zake.

Hakika kuna ombwe kwenye elimu yetu.
 
Kwanza wanaume kwa wanawake wote wanatamani wazungu. Kati ya waafrika 10 9 kati yao wanawish waoe/waolewe na wazungu kabla ya kuwaza mambo ya mizinga au dharau.

Pili, huwa nashangaa sana pale amabo muafrika anawasema vibaya waafrika wenzake ila akio mzungu anakubali kila kitu bila pingamizi. Mathalani, unakuta njemba ya kiafrika inasema haiwezi kufua, kupika, kudeki, kushida na mtoto nk ila akioa mzungu anakubali kufanya yote haya bila shurti. Nadhani kila mtu anashuhudia hili.

Ukioa mzungu nini kinachokubadilisha na kuwa mpole ghafla? Unagundua tatizo ni inferiority complex kwamba hawawezi kuendeshwa na mweusi mwenzao ila mzungu akisema wanakubali.
Kweli kabisa ni ulimbukeni uliopitiliza
 
Mm nimebahatika kuhishi nchi za West Africa Ghana,Nigeria,Senegal,Togo,Mali nk.Hawa jamaa walioko huko America wengi wametokea eneo hili.Kuna kabila la Wafulani.Hawa wanafanana sana na wanyarwanda na kila nikimuangalia mcheza Soka Ronaldinho au Willian wa Chelsea hawa ni pure Fuani people.Mwanamuziki Ashanti for sure ametokea ashanti,Ghana.Senegali ni warefu sana na kila nikiangalia wacheza mpira wa kikapu wa marekani.....Nigeria ni wazuri kwenye muziki na ukiangalia wanamuziki wengi weusi Marekani possibly wametokea hapa.Asante mleta mada.Inafundisha!

Mkuu hilo lipo wazi, weusi wote wa Amerika ni kutoka W.Africa. Walichukuliwa toka huko kwa sababu kuu mbili, mosi, walitaka watu wakubwa wenye miili mikubwa na nguvu ili wafanye kazi za kutumia nguvu na ukiangalia hadi leo West Africans wana miili mikubwa kuliko watu wengine wote wa Africa, pili ilikua kwa sababu za ukaribu. Ni karibu kutoka nchi kama Nigeria kwenda Amerika kuliko wangekuja kuchukua watu toka nchi kama Malawi(wadogo, wafupi na mbali yani landlocked) hasa ukizingatia usafiri wa wakati huo.
 
India na Pakistani kuna jamii ya Sidi hawa walitoka Afrika Mashariki walichukuliwa kama watumwa na waarabu kwa ajili ya watawala wa India na Pakistani. Wapo hadi leo hii wanafikia 50,000 ila ndo hivo wamemezwa na wahindi maana hata kuna wahindi wengi tu hawajui kama wapo ila bado wana tamaduni za ngoma za kiafrika hadi leo.
Unaweza kuwaona hapa au ukigoogle utapata sources zaidi
 
Mm nimebahatika kuhishi nchi za West Africa Ghana,Nigeria,Senegal,Togo,Mali nk.Hawa jamaa walioko huko America wengi wametokea eneo hili.Kuna kabila la Wafulani.Hawa wanafanana sana na wanyarwanda na kila nikimuangalia mcheza Soka Ronaldinho au Willian wa Chelsea hawa ni pure Fuani people.Mwanamuziki Ashanti for sure ametokea ashanti,Ghana.Senegali ni warefu sana na kila nikiangalia wacheza mpira wa kikapu wa marekani.....Nigeria ni wazuri kwenye muziki na ukiangalia wanamuziki wengi weusi Marekani possibly wametokea hapa.Asante mleta mada.Inafundisha!
Fulani ambao wanaongea lugha ya fula wanatrace asili Yao Ethiopia. Wamesambaa Sana west Africa ambapo wengi wao wapo Guinea Na Northern Nigeria. Ni nomads watu wakuhamahama Na mifugo. Pia Ni minorities Ghana, Gambia, Senegal, sieraleone, ivory coast, Liberia. Lakini wengi wao wako Guinea Na nothern Nigeria.

Pia wale anti balaka walikuwa wanawaua central Africa Republic ambao ni Seleka Ni jamii ya Fulani.

Pia Western Sudan wapo Fulani. Karibia Fulani wote Ni waislam.

Ni conservative Na restrictive Na Mila zao. Ni nadra Fulani kuoana Na jamii nyingine. Wote kwa jumla wako milion 20.

Mohamadou Buhari rais Wa Nigeria ametoka jamii ya Fulani.
 
India na Pakistani kuna jamii ya Sidi hawa walitoka Afrika Mashariki walichukuliwa kama watumwa na waarabu kwa ajili ya watawala wa India na Pakistani. Wapo hadi leo hii wanafikia 50,000 ila ndo hivo wamemezwa na wahindi maana hata kuna wahindi wengi tu hawajui kama wapo ila bado wana tamaduni za ngoma za kiafrika hadi leo.
Unaweza kuwaona hapa au ukigoogle utapata sources zaidi
very interesting
 
Habarini wakuu. Leo ningependa tuone nchi zenye watu wenye asili ya Afrika wengi nje ya afrika katika mitazamo miwili.

Kwa uwingi pekee
Hapa namaanisha idadi yao jumla katika nchi husika hata kama wao sio waliowengi dhidi ya jamii zingine.
Nchi hizo ni zifuatazo:
  1. Brazil 55,900,000
  2. United States 46,350,467
  3. Haiti 8,788,439
  4. Dominican Republic 7,985,991
  5. Colombia 4,944,400
  6. France 3,800,000
  7. Jamaica 2,731,419
  8. United Kingdom 2,497,373
  9. Mexico 1,400,000
  10. Cuba 1,126,894
Kwa uwingi (majority) dhidi ya watu wa jamii zingine
Hapa tutaona nchi ambazo watu wenye asili ya afrika ndo wanaongoza kwa uwingi dhidi ya watu wa jamii zingine.
  1. Saint Kitts and Nevis 98%
  2. Jamaica 97%
  3. Dominica 96%
  4. Haiti 95%
  5. Antigua and Barbuda 95%
  6. Grenada 91%
  7. Turks and Caicos islands 90%
  8. Barbados 90%
  9. The Bahamas 85%, Netherlands Antilles 85%, Saint Vincent and the Grenadines 85%
  10. Dominican Republic 84%
Nchi nyingi hapo juu zipo eneo la Caribbean. Kiffupi eneo hilo limekua kama Afrika mpya. Hivo wandugu hio ndo familia ya waafrika wanaopatikana pande mbalimbali za dunia, hapa takwimu zikiangalia zaidi maeneo walipo wengi zaidi japo utawakuta maeneo mengi tu ya dunia hii kama watu wengine.
Halafu hizo nchi za Caribbean zenye weusi wengi kuliko wrupe ndio masikini sana na ushirikina umejaa huko.

Hao jamaa unakuta wana umasikini hata Afrika nafuu.

Hapo ndio unagundua kuwa watu weusi ni matatizo tupu.
 
Back
Top Bottom