Zijue nchi zenye waafrika wengi zaidi nje ya Afrika

Zijue nchi zenye waafrika wengi zaidi nje ya Afrika

Mkuu hilo lipo wazi, weusi wote wa Amerika ni kutoka W.Africa. Walichukuliwa toka huko kwa sababu kuu mbili, mosi, walitaka watu wakubwa wenye miili mikubwa na nguvu ili wafanye kazi za kutumia nguvu na ukiangalia hadi leo West Africans wana miili mikubwa kuliko watu wengine wote wa Africa, pili ilikua kwa sababu za ukaribu. Ni karibu kutoka nchi kama Nigeria kwenda Amerika kuliko wangekuja kuchukua watu toka nchi kama Malawi(wadogo, wafupi na mbali yani landlocked) hasa ukizingatia usafiri wa wakati huo.
So East Africa hakuna hata mmoja?
 
Mkuu kwa population hiyo hakika 20 years to come watatoweka, binafsi nadhani UN hawana mkakati thabiti wa kuwalinda kama wanavyofanya kwenye maeneo mengine yanayotambulika kama Urithi wa Dunia.
Kuwalinda ni kuwaacha waishi Kama walivyozoea si kuwaingilia. Wakiingiliwa ndo watapotea mara moja, kama wameishi millennia kadhaa bila kuingiliwa Basi wataendelea kuwepo hata kwa uchache au wataamua kujichanganya na wengine

Kulikua na tribe kwenye misitu ya Amazon ndani mahala ambapo sio rahisi hata kudhani binadamu anaweza kuwa huko nao walikua hawajapata kuonana na jamii ya nje, mazingira yao yalipoingiliwa tu wakapukutika
 
Hapana wengi zaidi bado wanaipenda Afrika. Hawapendi neno African American sababu linawatenga na kuwabagua wakati wao wameshiriki kuijenga America kama ilivo kwa wazungu ambao hawaitwi kutokana na sehemu zao za Asili. Kuhusu kupatana na waafrika mbona hawana shida nao ndo mana wasanii wao wanafanya sana collabo na waafrika siku hizi ila kinachoweza kuweka kadaraja ni tamaduni tu coz hizi jamii mbili zimetengana muda mrefu sana.

Jamaa ndio waliyojenga USA hiyo nakubali, lakini wanaona waafrka wanawaaibisha sana. Hawapendi waafrika muulize mtu yoyote aliyeishi USA atakwambia. Mimi nimeishi USA over 15 years so najua nnachoongelea. Kuna weusi wa USA waaamini wao asili yao Africa bali ancestors wao ni black jews.
 
Ila cha kushangaza hao black american hawapendi kabisa kuitwa waafrika. Na pia ni rahis mno kwa mtu kutoka afrika kuwa na urafiki na whites kuliko hao black american.

Watu weusi kweli tunalaana. Yaan wao huko kwao ukienda wanatutenga na kutuona sie ni kama tunawaaibisha.

Wakati sie huku tunawapenda na kuwasupport. Shenzy kabisa hao black americans
Hii ni kweli kabisa! Ila siwezi kuwaita wash***y kabisa, ni kasumba tu tuliyo nao watu weusi.
 
Jamaa ndio waliyojenga USA hiyo nakubali, lakini wanaona waafrka wanawaaibisha sana. Hawapendi waafrika muulize mtu yoyote aliyeishi USA atakwambia. Mimi nimeishi USA over 15 years so najua nnachoongelea. Kuna weusi wa USA waaamini wao asili yao Africa bali ancestors wao ni black jews.
Yaah ni kweli ulichosema kuhusu uhusiano wa wamarekani weusi na waafrika, hilo pia nimelisikia pia kwa watz waliosoma Marekani. Ila nimeona pia baadhi ya wamarekani weusi wakihamasishana kuja kutembelea Afrika na kuwafunza watoto wao kuhusu mazuri ya Afrika.
 
weusi nawakubali wenye real spirit ya weusi ni wa jamaica tuu,hao wanalala jamaica ila mioyo yao iko Afrika
 
Brazil wana watu wengi sana wa asili ya africa
 
Ni kweli Brazil inaongoza kuwa na watu weusi wasiojivunia uafrika na hawapendi kujitambulisha kama weusi. Pongezi nyingi wapewe weusi wa Marekani hawa pamoja na utumwa na ubaguz ila wamepambana kudai haki zao na kujivunia uafrika wao na wamejenga influence kubwa kupitia sekta ya burudani, michezo,n.k
Huu ni uongo ukisema wanapambana na ubaguzi na kupigania haki zao nakubali kwa 100% lakini kamwe hawajivunii asili yao ya kuwa wao ni waafrika.


Soma post no 65 ujifunze kitu
 
Hapana wengi zaidi bado wanaipenda Afrika. Hawapendi neno African American sababu linawatenga na kuwabagua wakati wao wameshiriki kuijenga America kama ilivo kwa wazungu ambao hawaitwi kutokana na sehemu zao za Asili. Kuhusu kupatana na waafrika mbona hawana shida nao ndo mana wasanii wao wanafanya sana collabo na waafrika siku hizi ila kinachoweza kuweka kadaraja ni tamaduni tu coz hizi jamii mbili zimetengana muda mrefu sana.
Acha uongo ndugu kuhusu kujivunia rangi nyeusi ni kweli lakini kuipenda Africa hapo umebugi
 
Maisha ya watu wa Jamaica yanafanana sana na maisha ya Watanzania wengi wanaoishi vijijini.
Haya ni mashamba ya kahawa inayolimwa kwenye milima ya Blue Mountain Jamaica, kahawa inayozalishwa kwenye mashamba haya ni mojawapo ya kahawa yenye bei kubwa duniani hasa kwa sababu ya ladha yake na karibu kahawa yote hununuliwa na Japan.

20170829_075308.jpg
 
Hapo colombia rekebisha takwimu zako hao jamaa wana watu weusi wengi sana
 
Brazil walikuwa zaidi ya million 100 lakini washenzi wazungu wakaleta policy ya whitening kuiondoa rangi nyeusi 1960s. Na Wamefanikiwa kabisa kwasababu machotara ni wengi Na weusi waliobaki hawaoani Sana wenyewe kwa wenyewe Ni nadra Na wanajidharau sana. Pele kazaa Na mweupe watoto wake machotara.

Yani tayari wameshawapandikizia mbegu akilini kuchukia uweusi wengi wameintermarry Na natives. Upande wa Kaskazini Ni weupe wengi kusini weusi wengi.
Huko Argentina balaa wamefanikiwa kutokomeza uweusi kabisa.

Weupe wengi was Brazil Ni asili ya Ujerumani, ureno, italia Na ufaransa. Fikiria kutoka million 100 Hadi 55.

Ila kinachonifariji ni baadhi ya hao weusi mabantu wanatrace their origins kutoka Yoruba Nigeria Na wanafuata Mila za mababu zao.

Sasa Muambie Ronaldo de lima wee Ni mweusi anaweza kukutandika wakati babu zake Ni manigger

Pia Cuba hivyohivyo wanaitwa milato
I see someting in this article
 
Back
Top Bottom