Mkuu hilo lipo wazi, weusi wote wa Amerika ni kutoka W.Africa. Walichukuliwa toka huko kwa sababu kuu mbili, mosi, walitaka watu wakubwa wenye miili mikubwa na nguvu ili wafanye kazi za kutumia nguvu na ukiangalia hadi leo West Africans wana miili mikubwa kuliko watu wengine wote wa Africa, pili ilikua kwa sababu za ukaribu. Ni karibu kutoka nchi kama Nigeria kwenda Amerika kuliko wangekuja kuchukua watu toka nchi kama Malawi(wadogo, wafupi na mbali yani landlocked) hasa ukizingatia usafiri wa wakati huo.