Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz
1.BC investiment
2.QNET
3.EARNJET AGENCIES
4.DAJIP
5.NEXTSTEP VENTURE
6.PAMA FUND
7.SME
8.IDEA DEBATOR
9.DEAL NO.1
10.SCATEC
11.GLOBAL
12.ALIANCE
13.PAYMARA
14.CRYPTO BOND
15.SUPREME HARVESTERS
16.ZIRCON
17.INCLUSIVEFX
18.GROSSBYTE
19.VORTEX
20.T PURCHASE
21.FOREVER LIVING
22.D9 CLUB
23.RIFARO AFRICA
24.DEC
25.BIT CLUB
26.ZURI CASH
28.WHOZYUU HAWA KANDA YA ZIWA WANAWAFAHAM
29.ZEBU
30.MTFEE
31.CROWD ONE
32.ORIFLAME
33.YESSTYLE
34.MULA EMPIRE
35.NIPHERO1
36.TAKEALOT
37.AGAM
38.COTP
39.DREAM LIFE
40.GOLDEN INVESTIMENT
41.MYER
42.MEGAWEALTH
43. Umoja
44. Faida investment
45.kalynda huyu ndo ameenda na vichwa kibao kwa mbwembwe na matangazo na matshert vikao vya kutosha kilichowakuta watz MUNGU ndo anajua
46.bb bestibei E.COMMERCE COMPANY huyu anaanza tar 20 ya mwezi huu na bado watz tutalizwa tena.
47. JATU
48. BF SUMA
49. TUUNGANE KILIMO BIASHARA GROUP
Kila platform imewapiga watu saaana na hazijawahi dumu zaidi ya miezi 3.
Ukielezea kila moja na historia yake utachoka na hapo bado hazijaisha na kila moja ina mbinu zake za kuwapiga raia
Tufanye kazi tuache maisha kitonga .
Watu wameumizwa sana lakin hatusikii.
Hao jamaa wanaoanzisha huwa wamejipanga aisee wanaweza mkodi hata waziri azindue hzo hafla zao ili tu watanzania tuamini hakuna utapeli, kumbe tunapigwa
 
Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz
1.BC investiment
2.QNET
3.EARNJET AGENCIES
4.DAJIP
5.NEXTSTEP VENTURE
6.PAMA FUND
7.SME
8.IDEA DEBATOR
9.DEAL NO.1
10.SCATEC
11.GLOBAL
12.ALIANCE
13.PAYMARA
14.CRYPTO BOND
15.SUPREME HARVESTERS
16.ZIRCON
17.INCLUSIVEFX
18.GROSSBYTE
19.VORTEX
20.T PURCHASE
21.FOREVER LIVING
22.D9 CLUB
23.RIFARO AFRICA
24.DEC
25.BIT CLUB
26.ZURI CASH
28.WHOZYUU HAWA KANDA YA ZIWA WANAWAFAHAM
29.ZEBU
30.MTFEE
31.CROWD ONE
32.ORIFLAME
33.YESSTYLE
34.MULA EMPIRE
35.NIPHERO1
36.TAKEALOT
37.AGAM
38.COTP
39.DREAM LIFE
40.GOLDEN INVESTIMENT
41.MYER
42.MEGAWEALTH
43. Umoja
44. Faida investment
45.kalynda huyu ndo ameenda na vichwa kibao kwa mbwembwe na matangazo na matshert vikao vya kutosha kilichowakuta watz MUNGU ndo anajua
46.bb bestibei E.COMMERCE COMPANY huyu anaanza tar 20 ya mwezi huu na bado watz tutalizwa tena.
47. JATU
48. BF SUMA
49. TUUNGANE KILIMO BIASHARA GROUP
Kila platform imewapiga watu saaana na hazijawahi dumu zaidi ya miezi 3.
Ukielezea kila moja na historia yake utachoka na hapo bado hazijaisha na kila moja ina mbinu zake za kuwapiga raia
Tufanye kazi tuache maisha kitonga .
Watu wameumizwa sana lakin hatusikii.
Dollar Jet
 
Girlfriend wangu anazichezea hizi platforms. Huwa namtumia taarifa na tetesi, na anawala mara zote. Mwanzoni nilikuwa namtaka aache ujinga ila nikaja kujua ni smart upstairs na anajua vizuri risk assessment. Of course kwao ni wajasiriamali na anakaa kwenye biashara za home akiwa likizo. Kalynda yenyewe alipata faida
 
Bitclub ndo ya kwanza naona kwa bongo katika kuja na investment kwa njia ya cryptos currencies.
Dah hawa jamaa walipromote sana...ila mm nliwaona ni matapel tu. Kwasababu wallet za bitcoin zipo kibao sio kwa system waliokuwa wanaitaka wao.
 
Iran tu walitembea na kama $20mil ndo chanzo cha kufungiwa hizi platform huko Iran ile 2019 hawatosahau.bado Kuna inchi kama India, Pakistan, Thailand , USA ,UK na za Africa.

Hapo mzumbe palikuwa na wale promoter wakina majaliwa😂😂😂 sudi slaa
Dah! Hawa jamaa Yan ni mabillionea saiv watakua wanacruise na mayatch wakivuta zile premium cigars huko bahamas saiv, ila mm nakuapia lazima nije na yangu. Na lazima ntatembea na kijiji kikubwa sana.
 
Hao jamaa wamepata mitaji mikubwa sana ndo Siri ya baadhi ya matajiri kupiga matukio kama hayo then kutembea mbele na biashara nyingine.
Dah! Hawa jamaa Yan ni mabillionea saiv watakua wanacruise na mayatch wakivuta zile premium cigars huko bahamas saiv, ila mm nakuapia lazima nije na yangu. Na lazima ntatembea na kijiji kikubwa sana.
 
Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz
1.BC investiment
2.QNET
3.EARNJET AGENCIES
4.DAJIP
5.NEXTSTEP VENTURE
6.PAMA FUND
7.SME
8.IDEA DEBATOR
9.DEAL NO.1
10.SCATEC
11.GLOBAL
12.ALIANCE
13.PAYMARA
14.CRYPTO BOND
15.SUPREME HARVESTERS
16.ZIRCON
17.INCLUSIVEFX
18.GROSSBYTE
19.VORTEX
20.T PURCHASE
21.FOREVER LIVING
22.D9 CLUB
23.RIFARO AFRICA
24.DEC
25.BIT CLUB
26.ZURI CASH
28.WHOZYUU HAWA KANDA YA ZIWA WANAWAFAHAM
29.ZEBU
30.MTFEE
31.CROWD ONE
32.ORIFLAME
33.YESSTYLE
34.MULA EMPIRE
35.NIPHERO1
36.TAKEALOT
37.AGAM
38.COTP
39.DREAM LIFE
40.GOLDEN INVESTIMENT
41.MYER
42.MEGAWEALTH
43. Umoja
44. Faida investment
45.kalynda huyu ndo ameenda na vichwa kibao kwa mbwembwe na matangazo na matshert vikao vya kutosha kilichowakuta watz MUNGU ndo anajua
46.bb bestibei E.COMMERCE COMPANY huyu anaanza tar 20 ya mwezi huu na bado watz tutalizwa tena.
47. JATU
48. BF SUMA
49. TUUNGANE KILIMO BIASHARA GROUP
Kila platform imewapiga watu saaana na hazijawahi dumu zaidi ya miezi 3.
Ukielezea kila moja na historia yake utachoka na hapo bado hazijaisha na kila moja ina mbinu zake za kuwapiga raia
Tufanye kazi tuache maisha kitonga .
Watu wameumizwa sana lakin hatusikii.
Umesahau Mr.KUKU na GNLD
 
Back
Top Bottom