Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Girlfriend wangu anazichezea hizi platforms. Huwa namtumia taarifa na tetesi, na anawala mara zote. Mwanzoni nilikuwa namtaka aache ujinga ila nikaja kujua ni smart upstairs na anajua vizuri risk assessment. Of course kwao ni wajasiriamali na anakaa kwenye biashara za home akiwa likizo. Kalynda yenyewe alipata faida
Ila asizoee sana ipo siku upstair yake haitafanya kazi
 
NCHI HII INA WAPUMBV NA WAJINGA WENGI KWELI KWELI

ova
Mkuu Kama serikali haita walinda wananchi wake basi kila siku wananchi wataendelea kuibiwa tu pesa zao.
 
ila huez kuanza bila mtaji mrefu sio
Lazima uwe na mtaji mkubwa wa kukodi ofisini nzuri ya kuvutia mafala, lazima utowe ajira za muda kwa ofisini attendant's, na pesa ya promotion kabla mafala hawajaanza kufulika na account kufurika manoti.
 
Lazima uwe na mtaji mkubwa wa kukodi ofisini nzuri ya kuvutia mafala, lazima utowe ajira za muda kwa ofisini attendant's, na pesa ya promotion kabla mafala hawajaanza kufulika na account kufurika manoti.
Hiyo bado ndogo....Hela nyingi zitatoka kwenye kuwalipa wale wa mwanzo mwanzo kabla hujaanza kupata faida
 
Dah hawa jamaa walipromote sana...ila mm nliwaona ni matapel tu. Kwasababu wallet za bitcoin zipo kibao sio kwa system waliokuwa wanaitaka wao.
Ile system yao iikuwa ni ya barter trade sema hizi mambo ni hatari
 
Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz
1.BC investiment
2.QNET
3.EARNJET AGENCIES
4.DAJIP
5.NEXTSTEP VENTURE
6.PAMA FUND
7.SME
8.IDEA DEBATOR
9.DEAL NO.1
10.SCATEC
11.GLOBAL
12.ALIANCE
13.PAYMARA
14.CRYPTO BOND
15.SUPREME HARVESTERS
16.ZIRCON
17.INCLUSIVEFX
18.GROSSBYTE
19.VORTEX
20.T PURCHASE
21.FOREVER LIVING
22.D9 CLUB
23.RIFARO AFRICA
24.DEC
25.BIT CLUB
26.ZURI CASH
28.WHOZYUU HAWA KANDA YA ZIWA WANAWAFAHAM
29.ZEBU
30.MTFEE
31.CROWD ONE
32.ORIFLAME
33.YESSTYLE
34.MULA EMPIRE
35.NIPHERO1
36.TAKEALOT
37.AGAM
38.COTP
39.DREAM LIFE
40.GOLDEN INVESTIMENT
41.MYER
42.MEGAWEALTH
43. Umoja
44. Faida investment
45.kalynda huyu ndo ameenda na vichwa kibao kwa mbwembwe na matangazo na matshert vikao vya kutosha kilichowakuta watz MUNGU ndo anajua
46.bb bestibei E.COMMERCE COMPANY huyu anaanza tar 20 ya mwezi huu na bado watz tutalizwa tena.
47. JATU
48. BF SUMA
49. TUUNGANE KILIMO BIASHARA GROUP
Kila platform imewapiga watu saaana na hazijawahi dumu zaidi ya miezi 3.
Ukielezea kila moja na historia yake utachoka na hapo bado hazijaisha na kila moja ina mbinu zake za kuwapiga raia
Tufanye kazi tuache maisha kitonga .
Watu wameumizwa sana lakin hatusikii.
Hao namba 2 walinijia na mbwembwe kama zote.......eti saa sijui 2M ......nikawacheki na good morning zao sijui walijua mi ni zuzu........nikawatimulia mbali huko
 
Tienshy kuna general d kuna wazee wa forex
Usiongee usichokijua kwa forex na kukatalia ama crypto. Labda mtu kulizwa kuwa njoo nikufundishe ama nioo uwekeze hela baadaye unavuna.
Ila Ni legit business mkuu. Sema labda kwa vile iko electronically. Kama unataka manual cheki saivi paundi na gold zimeshuka mno value nasema mno.

So nunua zako paundi zako like 3M baadaye subiria wamalikia wakikaa stable na currency yao utaona.

Paundi Kuna muda inauzwa 3130tzs Ila saivi iko around 2678 tzs kwa each paundi.

Na gold iko down.


Hizi Ni sawa tu walionunua na kutunza mchele tokea 2019 saivi wanacheka mpaka jino la mwisho nje.


Lazima upige forecast za kiuchumi wa kidunia na huku kwa mazao unapiga forecast za stocks za mazao na kinachoathiri mazao yawe mengi ama machache pia unaenda na wanasiasa wanasemaje like kutoa mazao nje ya nchi ama hawatoi.

Sema Sasa hii lazima usome Ni fani Kama fani zingine like lawyer, accountant, teacher,etc sio kuwa ukurupuke kuwa Kuna hela nje nje pote Kuna hela ngumu Ni wewe kuangalia ugumu gani ambao kwako sio ugumu ambao kwa wengine Ni ugumu.
 
Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz
1.BC investiment
2.QNET
3.EARNJET AGENCIES
4.DAJIP
5.NEXTSTEP VENTURE
6.PAMA FUND
7.SME
8.IDEA DEBATOR
9.DEAL NO.1
10.SCATEC
11.GLOBAL
12.ALIANCE
13.PAYMARA
14.CRYPTO BOND
15.SUPREME HARVESTERS
16.ZIRCON
17.INCLUSIVEFX
18.GROSSBYTE
19.VORTEX
20.T PURCHASE
21.FOREVER LIVING
22.D9 CLUB
23.RIFARO AFRICA
24.DEC
25.BIT CLUB
26.ZURI CASH
28.WHOZYUU HAWA KANDA YA ZIWA WANAWAFAHAM
29.ZEBU
30.MTFEE
31.CROWD ONE
32.ORIFLAME
33.YESSTYLE
34.MULA EMPIRE
35.NIPHERO1
36.TAKEALOT
37.AGAM
38.COTP
39.DREAM LIFE
40.GOLDEN INVESTIMENT
41.MYER
42.MEGAWEALTH
43. Umoja
44. Faida investment
45.kalynda huyu ndo ameenda na vichwa kibao kwa mbwembwe na matangazo na matshert vikao vya kutosha kilichowakuta watz MUNGU ndo anajua
46.bb bestibei E.COMMERCE COMPANY huyu anaanza tar 20 ya mwezi huu na bado watz tutalizwa tena.
47. JATU
48. BF SUMA
49. TUUNGANE KILIMO BIASHARA GROUP
Kila platform imewapiga watu saaana na hazijawahi dumu zaidi ya miezi 3.
Ukielezea kila moja na historia yake utachoka na hapo bado hazijaisha na kila moja ina mbinu zake za kuwapiga raia
Tufanye kazi tuache maisha kitonga .
Watu wameumizwa sana lakin hatusikii.
Qnet bado ipo mkuu pamoja na kuwaliza sana watu bt bado ipo sema ndo ofisi zao wanaficha ficha. USIMWAMBIE MTUUUU.
 
Nimewakumbuka wale jamaa wanaingia inbox WhatsApp wanaomba urafiki
 
Back
Top Bottom