Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Duh kuna kix changu kililizwa laki saba na global nikamwambia sasa umepata akili
 
kwa wale wenye nyota na bahati zao za kutapeliwa jiandaeni,
Mkiisha sahau ya kalynda kuna jina jipya linakuja kabla ya December
 
Dah mi najua kwa mzumbe pale almost walichukua mil 100+
Sasa hicho ni chuo kimoja tu.
Pale udsm walisepa na Kijiji Kuna mwanangu alikula mzigo mrefu akawaunga na wanae i'la mi nilimkataa japo nilipata kawivu flani hivi.. Mara ghafla chuo kizima kikajiunga.
Ghafla kikawanukia. Watu wiki nzima hawajaingiziwa hela. Ikawa ndo basi tena

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Tunawakumbuka walitupiga tu.... Tafadhili pia tuwaenzi na Tuliowahi kuwapiga japo kidogo DENT na Tala na wengineo kwa naiba ya wa tz ninawakalibisha tena na tena kwenye taifa ili la amani🙃😀😀
 
Usiongee usichokijua kwa forex na kukatalia ama crypto. Labda mtu kulizwa kuwa njoo nikufundishe ama nioo uwekeze hela baadaye unavuna.
Ila Ni legit business mkuu. Sema labda kwa vile iko electronically. Kama unataka manual cheki saivi paundi na gold zimeshuka mno value nasema mno.

So nunua zako paundi zako like 3M baadaye subiria wamalikia wakikaa stable na currency yao utaona.

Paundi Kuna muda inauzwa 3130tzs Ila saivi iko around 2678 tzs kwa each paundi.

Na gold iko down.


Hizi Ni sawa tu walionunua na kutunza mchele tokea 2019 saivi wanacheka mpaka jino la mwisho nje.


Lazima upige forecast za kiuchumi wa kidunia na huku kwa mazao unapiga forecast za stocks za mazao na kinachoathiri mazao yawe mengi ama machache pia unaenda na wanasiasa wanasemaje like kutoa mazao nje ya nchi ama hawatoi.

Sema Sasa hii lazima usome Ni fani Kama fani zingine like lawyer, accountant, teacher,etc sio kuwa ukurupuke kuwa Kuna hela nje nja hela ngumu Ni wewe kuangalia ugumu gani ambao kwako sio ugumu ambao kwa wengine Ni ugumu.
Forex ni nightmare of being a big shark while you're speculating market instead of trading.
 
Forex ni nightmare of being a big shark while you're speculating market instead of trading.
Iyo nightmare ya kuwa whale ndio inayofanya wanaangukia pua ,Ila deposit like $10k the aim like less than 10% monthly uone Kama hutoipata bila ya ku risk Sana.
Sasa shida ipo una Mia USD unataka $10k ndipo shida inakuja.

Pia pamoja na hiyo ten Alf USD bado isn't safe sailing.
The game is rugged against you to lose.
It's the hardest endeavor ever known to human history or in this planet pia it's one of most rewarding endeavor ever known to human being.
One can make a lot of money in an embarrassing short time period. But the skills and capital take to do this consistently need an effort and longer time to develop them.

Ishu ni wrong info nowhere there's a curriculum.

Ila sijataka kukuaminisha so stay with your beliefs Mana nisizivunje. Utakuwa uliingia unajua utajiri nje nje kumbe inatakiwa usome uwe mtalaaamu wa fani Kama unavyoweza kumuona mwanasheria mahiri anatafuta na anadili na kesi kubwa kubwa za miktaba baina ya nchi na nchi na wewe ukadhania ukiingia kwa law career ghafula bin vuu utakuwa Kama yeye na utaanza kupiga hela.
You've to be ready to dedicate not less than five yrs studying it. Then another 2-3 yrs practising it.

Na bado sio kuwa ndio tiketi unaweza ukaangukia pia chini uka bleed mkuu.
Ni ngumu Mana iko against to out human nature built in our DNA.
 
Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuibia watu Tz
1.BC investiment
2.QNET
3.EARNJET AGENCIES
4.DAJIP
5.NEXTSTEP VENTURE
6.PAMA FUND
7.SME
8.IDEA DEBATOR
9.DEAL NO.1
10.SCATEC
11.GLOBAL
12.ALIANCE
13.PAYMARA
14.CRYPTO BOND
15.SUPREME HARVESTERS
16.ZIRCON
17.INCLUSIVEFX
18.GROSSBYTE
19.VORTEX
20.T PURCHASE
21.FOREVER LIVING
22.D9 CLUB
23.RIFARO AFRICA
24.DEC
25.BIT CLUB
26.ZURI CASH
28.WHOZYUU HAWA KANDA YA ZIWA WANAWAFAHAM
29.ZEBU
30.MTFEE
31.CROWD ONE
32.ORIFLAME
33.YESSTYLE
34.MULA EMPIRE
35.NIPHERO1
36.TAKEALOT
37.AGAM
38.COTP
39.DREAM LIFE
40.GOLDEN INVESTIMENT
41.MYER
42.MEGAWEALTH
43. Umoja
44. Faida investment
45.kalynda huyu ndo ameenda na vichwa kibao kwa mbwembwe na matangazo na matshert vikao vya kutosha kilichowakuta watz MUNGU ndo anajua
46.bb bestibei E.COMMERCE COMPANY huyu anaanza tar 20 ya mwezi huu na bado watz tutalizwa tena.
47. JATU
48. BF SUMA
49. TUUNGANE KILIMO BIASHARA GROUP
Kila platform imewapiga watu saaana na hazijawahi dumu zaidi ya miezi 3.
Ukielezea kila moja na historia yake utachoka na hapo bado hazijaisha na kila moja ina mbinu zake za kuwapiga raia
Tufanye kazi tuache maisha kitonga .
Watu wameumizwa sana lakin hatusikii.
Ile taasisi iliyowaacha mahujaji uwanja wa JKIA wakati washaaga majumbani kwao nayo sijaiona.
 
Iyo nightmare ya kuwa whale ndio inayofanya wanaangukia pua ,Ila deposit like $10k the aim like less than 10% monthly uone Kama hutoipata bila ya ku risk Sana.
Sasa shida ipo una Mia USD unataka $10k ndipo shida inakuja.

Pia pamoja na hiyo ten Alf USD bado isn't safe sailing.
The game is rugged against you to lose.
It's the hardest endeavor ever known to human history or in this planet pia it's one of most rewarding endeavor ever known to human being.
One can make a lot of money in an embarrassing short time period. But the skills and capital take to do this consistently need an effort and longer time to develop them.

Ishu ni wrong info nowhere there's a curriculum.

Ila sijataka kukuaminisha so stay with your beliefs Mana nisizivunje. Utakuwa uliingia unajua utajiri nje nje kumbe inatakiwa usome uwe mtalaaamu wa fani Kama unavyoweza kumuona mwanasheria mahiri anatafuta na anadili na kesi kubwa kubwa za miktaba baina ya nchi na nchi na wewe ukadhania ukiingia kwa law career ghafula bin vuu utakuwa Kama yeye na utaanza kupiga hela.
You've to be ready to dedicate not less than five yrs studying it. Then another 2-3 yrs practising it.

Na bado sio kuwa ndio tiketi unaweza ukaangukia pia chini uka bleed mkuu.
Ni ngumu Mana iko against to out human nature built in our DNA.
Kumbe unajua wale weny capital kubwa ndo wanatingisha soko wanalipeleka wanavyotaka😂😂unatakiwa uwe na sniper entry kujua hao market maker wanaendaje
 
Oriflame iondoe kwenye hiyo list, labda kama unamaanisha wale mawakala waswahili.
 
Girlfriend wangu anazichezea hizi platforms. Huwa namtumia taarifa na tetesi, na anawala mara zote. Mwanzoni nilikuwa namtaka aache ujinga ila nikaja kujua ni smart upstairs na anajua vizuri risk assessment. Of course kwao ni wajasiriamali na anakaa kwenye biashara za home akiwa likizo. Kalynda yenyewe alipata faida
Hata Mimi kalynda nimekula Pesa ndefu sana na Hadi wanaifunga sikuwa na hela huko [emoji1787]
 
Back
Top Bottom