Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Hao jamaa wanaoanzisha huwa wamejipanga aisee wanaweza mkodi hata waziri azindue hzo hafla zao ili tu watanzania tuamini hakuna utapeli, kumbe tunapigwa
 
Dollar Jet
 
Girlfriend wangu anazichezea hizi platforms. Huwa namtumia taarifa na tetesi, na anawala mara zote. Mwanzoni nilikuwa namtaka aache ujinga ila nikaja kujua ni smart upstairs na anajua vizuri risk assessment. Of course kwao ni wajasiriamali na anakaa kwenye biashara za home akiwa likizo. Kalynda yenyewe alipata faida
 
Tienshy kuna general d kuna wazee wa forex
 
Bitclub ndo ya kwanza naona kwa bongo katika kuja na investment kwa njia ya cryptos currencies.
Dah hawa jamaa walipromote sana...ila mm nliwaona ni matapel tu. Kwasababu wallet za bitcoin zipo kibao sio kwa system waliokuwa wanaitaka wao.
 
Dah! Hawa jamaa Yan ni mabillionea saiv watakua wanacruise na mayatch wakivuta zile premium cigars huko bahamas saiv, ila mm nakuapia lazima nije na yangu. Na lazima ntatembea na kijiji kikubwa sana.
 
Hao jamaa wamepata mitaji mikubwa sana ndo Siri ya baadhi ya matajiri kupiga matukio kama hayo then kutembea mbele na biashara nyingine.
Dah! Hawa jamaa Yan ni mabillionea saiv watakua wanacruise na mayatch wakivuta zile premium cigars huko bahamas saiv, ila mm nakuapia lazima nije na yangu. Na lazima ntatembea na kijiji kikubwa sana.
 
Umesahau Mr.KUKU na GNLD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…