Zijue platform za kimtandao zilizowahi kuwaibia watanzania

Lakini hiyo faida kala pesa za watu wake wake wa karibu aliowaalika... Kapigwa UAMINIFU
 
Ufafanuzi kuhusu BF SUMA maana mpaka Leo wapo
 
Mkuu Kama serikali haita walinda wananchi wake basi kila siku wananchi wataendelea kuibiwa tu pesa zao.
Kabla ya kutaka kulindwa lazima ujilinde,inawezekana kuna watu huko huko juu wanawabariki hawa watu

Ova
 
Sijaiona
-MR.KUKU kigamboni[emoji16]
-vannila kilo miliion1 kule iringa[emoji38]
 
Namba 43 ni umoja ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…