Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sijapanga nalala kwenye gariBujibuji Simba Nyamaume kauza hadi nyumba kucheza upatu, sasa amepanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapanga nalala kwenye gariBujibuji Simba Nyamaume kauza hadi nyumba kucheza upatu, sasa amepanga
hamia kwangu nyumba ya shamba boi 🤣🤣Sijapanga nalala kwenye gari
Asante sana. Si utakuwa unaniazima masufuria ehhhh..... nikisha kuyaosha nakuletea yakowa safi. Au unataka uwe unakuja kunisaidia kuosha vyombo?hamia kwangu nyumba ya shamba boi 🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772]ovaSanaaaa
Ova
Forever sio utapeli, au Kuna mtu unamjua amewahi kutapeliwa??Mimi nilikoswa koswa na forever living 😂
Forever sio utapeli, au Kuna mtu unamjua amewahi kutapeliwa??Forever je?
Bf Suma ni kampuni ya kuuza virutubishoUfafanuzi kuhusu BF SUMA maana mpaka Leo wapo
Na mikutano yao hufanyikia kwenye hotel za maana [emoji24][emoji1787][emoji1787]Wajinga hawaishi acha wapigwe.
Niko nao hapa Ibiza, juzi tu hapa nimewaona California Beach [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanakula bata za kufa mtu [emoji24][emoji1787]Dah! Hawa jamaa Yan ni mabillionea saiv watakua wanacruise na mayatch wakivuta zile premium cigars huko bahamas saiv, ila mm nakuapia lazima nije na yangu. Na lazima ntatembea na kijiji kikubwa sana.
Hebu acha ujinga, dawa ya mswaki ukamuuzie mtu laki 3? Hizo product zenye thamani ya elfu 50 unaambiwa ununue kwa laki 9, sasa hiyo pesa kiuhalisia ni kiingilio cha Deci ili na wewe uingize watu wapya kwenye pyramid scheme ili upate gawio.., ni DECI tuForever sio utapeli, au Kuna mtu unamjua amewahi kutapeliwa??
Jaribu kufanya research, nenda pale ofisini kwao, Victoria- makumbusho
Ile ni biashara ya kuuza virutubisho,
Shida kubwa ni kwamba unaweza ukajiunga Kisha ukashindwa kumaster hiyo biashara, ukawa umepata hasara
Hapo utakuwa umepata hasara Kama kwenye biashara nyinginezo ila hujatapeliwa.