Pre GE2025 Zijue sababu 5 za kwanini Lissu ni hatari kwa CCM

Pre GE2025 Zijue sababu 5 za kwanini Lissu ni hatari kwa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu ni mjanja wa sheria anajua akisema nini hatatiwa hatiani

..Lissu awe mjanja wa sheria kwa miaka 30 huku Ccm wanamuangalia tu na magwiji wao wa sheria?

..kinachompaisha Lissu ni uimara wake ktk kutetea HAKI za Watanzania. Watanzania wanamjua kama mwanasiasa asiyeyumbishwa.

..Vyombo vya dola vinajua Lissu ni mtu wa aina gani. Na Mama Abduli, na CCM wanajua Lissu ni mwanasiasa wa aina gani.
 
Katiba ya JMT ni tamu sana.

Hata TAL akiwa Raisi hatataka kuibadilisha..
 
..Lissu awe mjanja wa sheria kwa miaka 30 huku Ccm wanamuangalia tu na magwiji wao wa sheria?

..kinachompaisha Lissu ni uimara wake ktk kutetea HAKI za Watanzania. Watanzania wanamjua kama mwanasiasa asiyeyumbishwa.

..Vyombo vya dola vinajua Lissu ni mtu wa aina gani. Na Mama Abduli, na CCM wanajua Lissu ni mwanasiasa wa aina gani.
CCM magwiji wa Sheria mwameshastaafu. Nao ni Warioba na Chenge. Saivi wana wehu wanaotamani madaraka kwa kupenda kujipendekeza.
 
CCM magwiji wa Sheria mwameshastaafu. Nao ni Warioba na Chenge. Saivi wana wehu wanaotamani madaraka kwa kupenda kujipendekeza.

..Chenge, Migiro, Mwakyembe, Kabudi, wote kwa nyakati tofauti walijaribu kukabiliana na Lissu lakini wakamshindwa. Na wote hao wanajulikana kama miamba ktk tasnia ya Sheria.

..Tundu Lissu ana jambo la ziada dhidi ya watu wengi wanaompinga nalo ni kusimama upande wa HAKI. Na amefanya hivyo bila uoga, na kwa muda mrefu.
 
..Chenge, Migiro, Mwakyembe, Kabudi, wote kwa nyakati tofauti walijaribu kukabiliana na Lissu lakini wakamshindwa. Na wote hao wanajulikana kama miamba ktk tasnia ya Sheria.

..Tundu Lissu ana jambo la ziada dhidi ya watu wengi wanaompinga nalo ni kusimama upande wa HAKI. Na amefanya hivyo bila uoga, na kwa muda mrefu.
Hao wote uliowataja wanaweza kuwa walipata alama nzuri darasani kwenye masomo yao ya Sheria ila hawana weredi kwenye kuichambua na kui
 
..Chenge, Migiro, Mwakyembe, Kabudi, wote kwa nyakati tofauti walijaribu kukabiliana na Lissu lakini wakamshindwa. Na wote hao wanajulikana kama miamba ktk tasnia ya Sheria.

..Tundu Lissu ana jambo la ziada dhidi ya watu wengi wanaompinga nalo ni kusimama upande wa HAKI. Na amefanya hivyo bila uoga, na kwa muda mrefu.
Hao wote uliowataja wanaweza kuwa walipata alama nzuri darasani kwenye masomo yao ya Sheria ila hawana weredi kwenye kuichambua na kui
 
1. Ni muumini mkubwa wa Katiba Mpya inayotengeneza mifumo imara na sio kuwapa nguvu Wanasiasa. Suala hili linaungwa mkono na idadi kubwa ya Watumishi wa Umma ikiwemo vyombo vya dola. Watendaji wengi Serikalini wamechoka kupelekeshwa na wanasiasa wanaofanya mambo kwa maslahi yao binafsi, hivyo wanataka mifumo imara ya kuwadhibiti wanasiasa.

2. Ni mtu anayechukia Rushwa sana na mkweli kupindukia. Kwa miongo kadhaa, CCM wamekuwa wakiendesha nchi kwa uongo hivyo ukweli wa Lissu unawatisha sana

3. Anakubalika na watu wa rika zote kutokana na uwezo wake kiakili na msimamo yake mizuri isiyoyumba. Wazee, Vijana na hadi watoto wadogo

4. Ni ushuhuda wa wazi wa uwepo wa nguvu za Mungu. Watanzania wengi wameanza kumjua Tundu Lissu akiwa sio mlemavu wa viungo. Ulemavu wa Lissu ulitokana na Shambulio alilofanyiwa na Uongozi wa Magufuli ambapo bila nguvu za Mungu asingepona. Leo hii wanavyomuona anatembea kwa kuchechemea huku akiwa na vyuma na risasi mwilini wanaamini kuwa huyu bila shaka ni mpakwa mafuta wa Mungu.

5. Lissu anakubalika na dini zote kuu nchini Tanzania yaani waislam na wakristo. Hii ni kwa sababu kwa uwazi kabisa Lissu amewatetea Wapalestina katika vita yao dhidi ya Israel na hii imefanya Waislam wengi kumuunga mkono. Kwa upande wa Wakristo Lissu ni Mkatoliki hasa.

6. Lissu ana amini sana kwenye soko huria na kutumia rasilimali tulizonazo kupata maendeleo kwa mfumo bora wa uwazi na haki. CCM hasa viongozi wake wanatumia vibaya sana rasilimali za Taifa kwa mambo ya ufisadi. Lissu anapinga haya na watu wengi wanamuunga mkono kwenye haya.

Mwisho Lissu ni muumini mahiri wa Tanganyika ambayo imefunikwa na koti la Muungano ambao kiukweli Watanzania wengi hawaupendi.
umesahau moja. Lisu ana akili nyingi sana, ni muwazi sio mdanganyifu, huongea kilichopo moyoni na hupenda kujibizana kwa hoja na lazima akushinde, pia ni mwanasheria. anajua kupiga kwenye mshono, hotuba zake zote ukizisikiliza utajua kuwa anaangalia mapungufu yapo wapi na anapita mlemle na mwisho wa siku watu wanamwelewa kuwa anaongea jambo la msingi. hiyo ndio faida ya wanasheria wengi, kwa sababu wamezoea mahakamani ili ushinde kezi unatakiwa kuandaa au kujibu hoka kwa kufuata vifungu vya sheria, kuangali awapi pana gap na unapaziba kwa maslahi ya upande wako, jambo ambalo DJ mbowe aliyekimbia shule kwa sababu ya mziki wa dansi wakati baba yake alikuwa na uwezo kumsomesha hata HAVARD, alikikosa. Mbowe was nothing, hata wanaomsifia wanamsifia kwa kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
 
umesahau moja. Lisu ana akili nyingi sana, ni muwazi sio mdanganyifu, huongea kilichopo moyoni na hupenda kujibizana kwa hoja na lazima akushinde, pia ni mwanasheria. anajua kupiga kwenye mshono, hotuba zake zote ukizisikiliza utajua kuwa anaangalia mapungufu yapo wapi na anapita mlemle na mwisho wa siku watu wanamwelewa kuwa anaongea jambo la msingi. hiyo ndio faida ya wanasheria wengi, kwa sababu wamezoea mahakamani ili ushinde kezi unatakiwa kuandaa au kujibu hoka kwa kufuata vifungu vya sheria, kuangali awapi pana gap na unapaziba kwa maslahi ya upande wako, jambo ambalo DJ mbowe aliyekimbia shule kwa sababu ya mziki wa dansi wakati baba yake alikuwa na uwezo kumsomesha hata HAVARD, alikikosa. Mbowe was nothing, hata wanaomsifia wanamsifia kwa kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Nakubaliana na wewe. Hakuna Mwanasiasa mwenye akili nchi hii kama Tundu Antipass Lissu
 
Back
Top Bottom