Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Kweli kabisaWatu wenye upeo mdogo hawajakawahi kumuelewa na hawatakaa wamuelewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaWatu wenye upeo mdogo hawajakawahi kumuelewa na hawatakaa wamuelewe
Kuna analolijua huyo sasa, hao ni wale vilaza wanaoswagwa kama kondoo Kwa propaganda za kisiasa, huku wajanja wanatafuna nchiKwa hiyo wajanja ni hawa wanaokubali mali asili zetu kubebwa na watawala na mikataba mibovu.
Kama kipi anaongea mengi. Kwahiyo na Samia naye anaropoka?Kila anachoongea
mama ni kipezi cha watanzania hilo halina mjadala ndugu uliza ata jirani yako apoKwa hiyo wajanja ni hawa wanaokubali mali asili zetu kubebwa na watawala na mikataba mibovu.
Kipezi x kipenzi ✓ ata x hata ✓ apo x hapo ✓. Kwa uandishi huu na wewe unajiita mtetezi wa Mama ? Na u-DC unataka upewe!!!!!mama ni kipezi cha watanzania hilo halina mjadala ndugu uliza ata jirani yako apo
mambo ya vyeo huko tumeshapita kijana wanguKipezi x kipenzi ✓ ata x hata ✓ apo x hapo ✓. Kwa uandishi huu na wewe unajiita mtetezi wa Mama ? Na u-DC unataka upewe!!!!!
Simkubali na sijawahi kumuelewa huyo mropokaji
CCM MITANO TENAA
CCM lidude likubwa litishwe na Lissu ni vichekesho kama vichekesho vingine,subiri baada ya matokeo mtakavyolia lia1. Ni muumini mkubwa wa Katiba Mpya inayotengeneza mifumo imara na sio kuwapa nguvu Wanasiasa. Suala hili linaungwa mkono na idadi kubwa ya Watumishi wa Umma ikiwemo vyombo vya dola. Watendaji wengi Serikalini wamechoka kupelekeshwa na wanasiasa wanaofanya mambo kwa maslahi yao binafsi, hivyo wanataka mifumo imara ya kuwadhibiti wanasiasa.
2. Ni mtu anayechukia Rushwa sana na mkweli kupindukia. Kwa miongo kadhaa, CCM wamekuwa wakiendesha nchi kwa uongo hivyo ukweli wa Lissu unawatisha sana
3. Anakubalika na watu wa rika zote kutokana na uwezo wake kiakili na msimamo yake mizuri isiyoyumba. Wazee, Vijana na hadi watoto wadogo
4. Ni ushuhuda wa wazi wa uwepo wa nguvu za Mungu. Watanzania wengi wameanza kumjua Tundu Lissu akiwa sio mlemavu wa viungo. Ulemavu wa Lissu ulitokana na Shambulio alilofanyiwa na Uongozi wa Magufuli ambapo bila nguvu za Mungu asingepona. Leo hii wanavyomuona anatembea kwa kuchechemea huku akiwa na vyuma na risasi mwilini wanaamini kuwa huyu bila shaka ni mpakwa mafuta wa Mungu.
5. Lissu anakubalika na dini zote kuu nchini Tanzania yaani waislam na wakristo. Hii ni kwa sababu kwa uwazi kabisa Lissu amewatetea Wapalestina katika vita yao dhidi ya Israel na hii imefanya Waislam wengi kumuunga mkono. Kwa upande wa Wakristo Lissu ni Mkatoliki hasa.
6. Lissu ana amini sana kwenye soko huria na kutumia rasilimali tulizonazo kupata maendeleo kwa mfumo bora wa uwazi na haki. CCM hasa viongozi wake wanatumia vibaya sana rasilimali za Taifa kwa mambo ya ufisadi. Lissu anapinga haya na watu wengi wanamuunga mkono kwenye haya.
Mwisho Lissu ni muumini mahiri wa Tanganyika ambayo imefunikwa na koti la Muungano ambao kiukweli Watanzania wengi hawaupendi.
Udude mkubwa wa CCM unachangiwa na hao watumishi wa umma na wa vyombo vya dola ambao wameichoka CCM.CCM lidude likubwa litishwe na Lissu ni vichekesho kama vichekesho vingine,subiri baada ya matokeo mtakavyolia lia
Pamoja na kwamba huo ni mtazamo wako hujawahi kuwa na akili1. Ni muumini mkubwa wa Katiba Mpya inayotengeneza mifumo imara na sio kuwapa nguvu Wanasiasa. Suala hili linaungwa mkono na idadi kubwa ya Watumishi wa Umma ikiwemo vyombo vya dola. Watendaji wengi Serikalini wamechoka kupelekeshwa na wanasiasa wanaofanya mambo kwa maslahi yao binafsi, hivyo wanataka mifumo imara ya kuwadhibiti wanasiasa.
2. Ni mtu anayechukia Rushwa sana na mkweli kupindukia. Kwa miongo kadhaa, CCM wamekuwa wakiendesha nchi kwa uongo hivyo ukweli wa Lissu unawatisha sana
3. Anakubalika na watu wa rika zote kutokana na uwezo wake kiakili na msimamo yake mizuri isiyoyumba. Wazee, Vijana na hadi watoto wadogo
4. Ni ushuhuda wa wazi wa uwepo wa nguvu za Mungu. Watanzania wengi wameanza kumjua Tundu Lissu akiwa sio mlemavu wa viungo. Ulemavu wa Lissu ulitokana na Shambulio alilofanyiwa na Uongozi wa Magufuli ambapo bila nguvu za Mungu asingepona. Leo hii wanavyomuona anatembea kwa kuchechemea huku akiwa na vyuma na risasi mwilini wanaamini kuwa huyu bila shaka ni mpakwa mafuta wa Mungu.
5. Lissu anakubalika na dini zote kuu nchini Tanzania yaani waislam na wakristo. Hii ni kwa sababu kwa uwazi kabisa Lissu amewatetea Wapalestina katika vita yao dhidi ya Israel na hii imefanya Waislam wengi kumuunga mkono. Kwa upande wa Wakristo Lissu ni Mkatoliki hasa.
6. Lissu ana amini sana kwenye soko huria na kutumia rasilimali tulizonazo kupata maendeleo kwa mfumo bora wa uwazi na haki. CCM hasa viongozi wake wanatumia vibaya sana rasilimali za Taifa kwa mambo ya ufisadi. Lissu anapinga haya na watu wengi wanamuunga mkono kwenye haya.
Mwisho Lissu ni muumini mahiri wa Tanganyika ambayo imefunikwa na koti la Muungano ambao kiukweli Watanzania wengi hawaupendi.
Nyie kwl nyumbu na mazuzu Hamna akili ht kdg. Chadema haiwezi kuchukua Dola nchi hii mpk vilembwe vyenu. Upinzani utakaochukua Dola utatoka ndani ya CCM yenyewe siyo hao vibaraka vya wazunguKweli sio wajinga na ndo mana wameanza kuiona CHADEMA kama chama kinachoweza kukamata dola
Km we unamwelewa yule mzushi, mwongo, mropokaji ni kwasababu ni nyumbuSasa kama unasema CCM mitano tena unadhani kichwani upo sawa kweli? Na utamuelewaje Lissu sasa?
Umemlisha maneno mengi....kwa kinywa chake Antipasu alisema vipaumbele vyake ni : Katiba Mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Demokrasia, na Haki.Mwisho Lissu ni muumini mahiri wa Tanganyika ambayo imefunikwa na koti la Muungano ambao kiukweli Watanzania wengi hawaupendi.
Anaeleweka vizuri sana kwa watu wenye uwezo mzuri wa akili.Simkubali na sijawahi kumuelewa huyo mropokaji
CCM MITANO TENAA
Hivyo vipaumbele vyake kwa kifupi vikifanyika hayo mengine yote unayosema yatakaa sawa.Umemlisha maneno mengi....kwa kinywa chake Antipasu alisema vipaumbele vyake ni : Katiba Mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Demokrasia, na Haki.
Lakini najiuliza; mbona hayasemi masuala ya :-
1. Maendeleo ya Kiuchumi kwa Kila mwananchi-Upatikanaji wa masoko ya bidhaa na huduma tunazozalisha hapa nchini,
2. Kudhibiti Mmomonyoko wa maadili katika jamii ( corruption and "social decay") kwa ngazi na kada zote, na
3. Ukuaji wa Teknolojia muhimu za kusaidia maendeleo ya wananchi.?
Ukitumia jicho la Tatu utagundua Antipasu ameishajiweka barabara kutimiza malengo ya wanyonyaji wetu wa ndani na WA nchi za Magharibi na mashirika ya Makubwa waitayo ya kiulimwengu wakati ni ya kwao. Wanyonyaji hawa huwezi kusikia Wana himiza sisi tutimize mambo matatu niliyoeleza hapo juu. Tukitimiza hayo, watalia njaa.
Kwa ufupi, Antipasu ni "mlaghai kama wengine" watumiwao na wanyonyaji wetu ndani ya Afrika. Si wa kumchekea kwenye mambo ya msingi.
Kibaraka wa wazungu kivipi? Acha kuongea ma utopolo humu. This is a forum of great thinkersNyie kwl nyumbu na mazuzu Hamna akili ht kdg. Chadema haiwezi kuchukua Dola nchi hii mpk vilembwe vyenu. Upinzani utakaochukua Dola utatoka ndani ya CCM yenyewe siyo hao vibaraka vya wazungu
Ndugu yangu, lazima uanze na haya kuyajadili ndipo utaweze kupanga Katiba Mpya, demokrasia, Haki vitawekwaje ili kukidhi vigezo vya kubeba hayo matatu tajwa.Hivyo vipaumbele vyake kwa kifupi vikifanyika hayo mengine yote unayosema yatakaa sawa.