Pre GE2025 Zijue sababu 5 za kwanini Lissu ni hatari kwa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM lidude likubwa litishwe na Lissu ni vichekesho kama vichekesho vingine,subiri baada ya matokeo mtakavyolia lia
 
LISU hoyeeee!
Bibi Kizimkazi ziiiiii!!!!
 
CCM lidude likubwa litishwe na Lissu ni vichekesho kama vichekesho vingine,subiri baada ya matokeo mtakavyolia lia
Udude mkubwa wa CCM unachangiwa na hao watumishi wa umma na wa vyombo vya dola ambao wameichoka CCM.

Kama unasoma kwa kuelewa inabidi uogope
 
Pamoja na kwamba huo ni mtazamo wako hujawahi kuwa na akili
 
Kweli sio wajinga na ndo mana wameanza kuiona CHADEMA kama chama kinachoweza kukamata dola
Nyie kwl nyumbu na mazuzu Hamna akili ht kdg. Chadema haiwezi kuchukua Dola nchi hii mpk vilembwe vyenu. Upinzani utakaochukua Dola utatoka ndani ya CCM yenyewe siyo hao vibaraka vya wazungu
 
Mwisho Lissu ni muumini mahiri wa Tanganyika ambayo imefunikwa na koti la Muungano ambao kiukweli Watanzania wengi hawaupendi.
Umemlisha maneno mengi....kwa kinywa chake Antipasu alisema vipaumbele vyake ni : Katiba Mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Demokrasia, na Haki.

Lakini najiuliza; mbona hayasemi masuala ya :-

1. Maendeleo ya Kiuchumi kwa Kila mwananchi-Upatikanaji wa masoko ya bidhaa na huduma tunazozalisha hapa nchini,

2. Kudhibiti Mmomonyoko wa maadili katika jamii ( corruption and "social decay") kwa ngazi na kada zote, na

3. Ukuaji wa Teknolojia muhimu za kusaidia maendeleo ya wananchi.?

Ukitumia jicho la Tatu utagundua Antipasu ameishajiweka barabara kutimiza malengo ya wanyonyaji wetu wa ndani na WA nchi za Magharibi na mashirika ya Makubwa waitayo ya kiulimwengu wakati ni ya kwao. Wanyonyaji hawa huwezi kusikia Wana himiza sisi tutimize mambo matatu niliyoeleza hapo juu. Tukitimiza hayo, watalia njaa.

Kwa ufupi, Antipasu ni "mlaghai kama wengine" watumiwao na wanyonyaji wetu ndani ya Afrika. Si wa kumchekea kwenye mambo ya msingi.
 
Hivyo vipaumbele vyake kwa kifupi vikifanyika hayo mengine yote unayosema yatakaa sawa.
 
Nyie kwl nyumbu na mazuzu Hamna akili ht kdg. Chadema haiwezi kuchukua Dola nchi hii mpk vilembwe vyenu. Upinzani utakaochukua Dola utatoka ndani ya CCM yenyewe siyo hao vibaraka vya wazungu
Kibaraka wa wazungu kivipi? Acha kuongea ma utopolo humu. This is a forum of great thinkers
 
Hivyo vipaumbele vyake kwa kifupi vikifanyika hayo mengine yote unayosema yatakaa sawa.
Ndugu yangu, lazima uanze na haya kuyajadili ndipo utaweze kupanga Katiba Mpya, demokrasia, Haki vitawekwaje ili kukidhi vigezo vya kubeba hayo matatu tajwa.
Utatungaje Katiba Mpya bila kujua ni mazingira gani yatafaa kuimarisha hayo matatu!!! Na bila kuyajadili kwa kina, hatutagundua kama katiba iliyopo ni kweli haifai kuyawezesha hayo mambo matatu kuimarishwa ama la!!! Tuanze na haya matatu kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…