Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!

Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!

Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Namalizia Shahada yangu ya Uzamivu, inayoangazia kwa namna gani IQ ya mtu inaweza athiriwa na umri. Bila shaka nawe utakuwa mfano hai katika kablasha langu, haiwezekani mtu unayejipambanua kuwa umeanza uandishi wa habari miaka ya 1990, na bado unaendelea kuandika MASHUDU
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Pascal nakupa PhD ya kusifu na kuabudu. Hata kama angeteuliwa yule shetani wa Arusha, aliyetumwa na Mungu ili tuone the real image of the devil, ungemsifia hivi hivi.
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Nimekusoma mayalla,kuna watu wanaongea kuwa kwanini hujapewa cheo na serikali,kwani lazima? kwani huwezi kuishi bila hivyo vyeo?Mungu yupo atakupa maendeleo kwa wakati wake.Endelea kusali
 
Namalizia Shahada yangu ya Uzamivu, inayoangazia kwa namna gani IQ ya mtu inaweza athiriwa na umri. Bila shaka nawe utakuwa mfano hai katika kablasha langu, haiwezekani mtu unayejipambanua kuwa umeanza uandishi wa habari miaka ya 1990, na bado unaendelea kuandika MASHUDU
Kwa akili yako paskal kaandika mashudu,je wewe umeandika nini? kafyolo! tuache kuchukia watu bilashi
 
Namalizia Shahada yangu ya Uzamivu, inayoangazia kwa namna gani IQ ya mtu inaweza athiriwa na umri. Bila shaka nawe utakuwa mfano hai katika kablasha langu, haiwezekani mtu unayejipambanua kuwa umeanza uandishi wa habari miaka ya 1990, na bado unaendelea kuandika MASHUDU
USA taifa linalosemekana kuwa na nguvu zaidi duniani linaongozwa na Rais Mwenye miaka zaidi ya 80, isitoshe Rais Mteule naye anaelekea miaka 80: Elewa neno Taifa lenye nguvu.

Mifano ni mingi sana; Nancy pelosi hadi anastaafu U speaker wa House of Rep mwaka 2023 alikuwa na miaka 83.

Kuna mahali elimu hizi zinatudanganya sana Africa. Anyway all the best kwenye shahada yako ya uzamivu.
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Kumbe Wasira alishawahi kumtwanga hadharani mwandishi wa habari, hapa naomba anaejua anieleweshe ilkuaje
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Sawa. Lakini Mimi nimegundua Wasira kateuliwa na kupitishwa kwasababu hao jamaa na kundi lao wanazitaka sana kura za Kanda ya ziwa. Kanda ya ziwa ni Kanda sensitive na strategic kwenye uchaguzi wa nchi yetu.Hawa jamaa wa kijani na si hivyo Bali katika siasa za nchi yetu hiyo Kanda ukifanikiwa kuishika basi 65% ya wewe kushinda ipo. Sasa kule saivi wana naibu PM,makamu mwenyekiti n.k. good plan but waiting to be challenged by God only
 
Issue ni kura za kanda ziwa kule...wananzengo bado wana hasira kuporwa tonge mdomoni na masalia yoote yakatupwa huko.....tusubiri ukinzani hasa jamaa waleee.....wazee wa mujini wa kanda ziwa kina ........wa star tv na wengineo.....ameona Dotto mwepesi kupambania kombe ?
 
Back
Top Bottom