yaani exactly naona sasa TUPO PAMOJA!....Okey....So infidelator anapokuwa anainfidelate huwa anajua kuwa na mkewe naye ni infidelatee wa infidelator mwengine (na kama ulivyosema kuna kushare ... so ni infidelatee wa infidelators wengine?) na inawezekana kabisa wakati infidelator anainfidelate na mkewe anainfidelate kwa wakati huo huo?
Naona sasa naanza kuelewa somo mwalimu..... si ndiyo?
yaani exactly naona sasa TUPO PAMOJA!....
ngoja nikakuletee valuu za pakiti na chapati mbili ufungue kinywa!
naona una hang ova za kufa mtu
Teamo sijapata zile pm:confused2:
Ushindwe na ulegee....HAKUNA kitakachonitenganisha na mchumbangu! hata fumanizi, litasamehewa!:A S 8::A S 8:
KonaKali nina kadi yako, tshirt na kofia karibu I know very soon you will change your mind i am still giving you time to think bout it when you are ready just :A S 101: vipi umeishapata :tea:
Tena nitaangaza nia muda sio mrefu ili niweke wazi.Labda atubu na kurudi kwa wapinzani.
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
hahahahah......
zimepitia mlango wa nyumba zikarudi zilipotoka.....
dah...i think this is another rule kwa 'infidelators' .......lazima uwe mjanja zaidi ya katibu!!!
heheheheh...........
Ok, naomba kuchukua mafunzo kidogo tafadhali kabla sijaamua upande upi utanifaa zaidi!
Faida na hasara...??? :confused2:
Goodmorning People......:smile-big:
Goodmorning People......:smile-big:
Naingilia mlango huo huo...ntazipata soon...si umeona mwenyekiti alisema ziwepo ili tuzitie saini??
Yes you can....infact inaelekea huhitaji hata mafunzo....nimekusoma kwa jicho la tatu....
Nyie ndio mnadanganyana, na kuendekeza INFIDELITY, UFISADI, na UCHAKACHUAJI....! Mimi sipo siku unalia....!
Kamwe mshabiki hataki kuonesha kukata tamaa, japo haingii uwanjani....! Ndio maana nawe huelekei kukata tamaa, lakini naamini humo ndani kamwe huingii....! Aidha, nimepata ujumbe wako, na nitakujoin muda si mrefu sana. Asante pia kwa ukarimu wako....!
YES.....! Karibu huku maana mimi ndio napeperusha bendera ya upinzani, nawe nitakutambulisha kwa nafasi yako ya Ufirst Lady mtarajiwa. Hope you will join me unconditionally....!
Naingilia mlango huo huo...ntazipata soon...si umeona mwenyekiti alisema ziwepo ili tuzitie saini??
Habari yako natumaini bado unaendelea kudumisha mila za INFIDELITY
Mmh...ok!
sasa na mimi si nakuwa copied ili niwe naweka saini on behalf of katibu
ikitokea amepata dharura..........:becky::becky:
Natangaza rasmi nimefikia maamuzi ya kujiunga upinzani, Mwenyekiti naomba nikutafute ili nirudishe card.
Asante w3anachama wote wa infidelity kwa ushirikiano wenu.
Beauty
Hii rule inahitaji modifikesheni kidogo.....kizuri kula na nduguyo na kibaya mtahadharishe nduguyo...well hapa haitakiwi kuongea sana,ni kuzishusha tu kama ifuatavyo:
4-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
......
Natangaza rasmi nimefikia maamuzi ya kujiunga upinzani, Mwenyekiti naomba nikutafute ili nirudishe card.
Asante w3anachama wote wa infidelity kwa ushirikiano wenu.
Beauty