Kuna kifungu kidogo, ibara ya tatu B naona kimesahauliwa hapo kinasema..... HUPASWI KUHOJI katika kuitekeleza sheria namba 3Nimeisoma mkuu lakini nahitaji ufafanuzi wa kisheria hapo... hivi unakula na nduguyo baada ya wewe mwenyewe kutosheka au... maana kwa sasa mi bado ndo kwaanza ile ilikuwa appetizer...
Nimeisoma mkuu lakini nahitaji ufafanuzi wa kisheria hapo... hivi unakula na nduguyo baada ya wewe mwenyewe kutosheka au... maana kwa sasa mi bado ndo kwaanza ile ilikuwa appetizer...
Kijana punguza mawasiliano na Smiles....Nina hati miliki hapo!Smiles wewe hujabahatika kujaribu hii? Aisee ni nzuri... ukianza hata ufanisi ofcn utaongezeka maana utaipenda sana ofc yako...
Na wewe punguza mawasiliano na Tuko! Huyu kijana anaweza akanifanyia mapinduzi...........naona anatumia injini ya benzi kwenye bito!hahahahah...... usije ukamuachia the so called 'ndunguyo' makombo.....
kijana punguza mawasiliano na smiles....nina hati miliki hapo!
Na wewe punguza mawasiliano na Tuko! Huyu kijana anaweza akanifanyia mapinduzi...........naona anatumia injini ya benzi kwenye bito!
Kasome vizuri sheria...inasema kizuri kula na nduguyo...sasa mi bado sijala yeye anataka kuniwahi.....Sheria haitamki hivyo!Moja ya QUALITIES za 'infidelitors' ni kuwa inferior.....??!! :confused2::confused2:
Moja ya QUALITIES za 'infidelitors' ni kuwa inferior.....??!! :confused2::confused2:
Kasome vizuri sheria...inasema kizuri kula na nduguyo...sasa mi bado sijala yeye anataka kuniwahi.....Sheria haitamki hivyo!
Mbona na wewe umewekewa HATIMILIKI hautaki kusema au ndio unataka mambo yafikishwe kwenye kitengo FAIR COMPETITION
Kha ushindwe tena ushindwe kabisaaaa, aliyesema mi chakula ni nani????? :mad2::mad2::mad2::mad2:
Kwani vyakuliwa ni vyakula tu? Matunda hayaliwi?:confused2::confused2:
Jamaniiiiiiii eeeeeeeeeh............. hakuna hati miliki ya mtu hapa.........
narudia tena na tena na tena.........:mad2::mad2::mad2::mad2: kambi ya upinzani................
Hatuna haya mambo kwetu........ we stay faithful to ONE partner......no infidelity of any kind allowed....kha!!
mna vichwa vigumu utafikiri nini..........:mad2::mad2::mad2:
Jamaniiiiiiii eeeeeeeeeh............. hakuna hati miliki ya mtu hapa.........
narudia tena na tena na tena.........:mad2::mad2::mad2::mad2: kambi ya upinzani................
Hatuna haya mambo kwetu........ we stay faithful to ONE partner......no infidelity of any kind allowed....kha!!
mna vichwa vigumu utafikiri nini..........:mad2::mad2::mad2:
Sasa umeona mi nafanana na tunda eeh????
Hata kama hujafanana nalo...si unaweza ukawa nalo tukakatiana?Sasa umeona mi nafanana na tunda eeh????
Ukiishalamba asali hauwezi kuacha
OK! haya malizia basi mchango wako wa august, mbona ulilipa nusu tu? Ndo unataka kujitoa au?
Smiles ina maana haujui hilo neno au haujawahi kulisikia? Au kuliona?
Hata kama hujafanana nalo...si unaweza ukawa nalo tukakatiana?
Yaani hutaki tukatiane...tunda?....
Not applicable.....
Yaani hutaki tukatiane...tunda?