Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Nimeisoma mkuu lakini nahitaji ufafanuzi wa kisheria hapo... hivi unakula na nduguyo baada ya wewe mwenyewe kutosheka au... maana kwa sasa mi bado ndo kwaanza ile ilikuwa appetizer...
Kuna kifungu kidogo, ibara ya tatu B naona kimesahauliwa hapo kinasema..... HUPASWI KUHOJI katika kuitekeleza sheria namba 3
 
Nimeisoma mkuu lakini nahitaji ufafanuzi wa kisheria hapo... hivi unakula na nduguyo baada ya wewe mwenyewe kutosheka au... maana kwa sasa mi bado ndo kwaanza ile ilikuwa appetizer...

hahahahah...... usije ukamuachia the so called 'ndunguyo' makombo.....
 
Smiles wewe hujabahatika kujaribu hii? Aisee ni nzuri... ukianza hata ufanisi ofcn utaongezeka maana utaipenda sana ofc yako...
Kijana punguza mawasiliano na Smiles....Nina hati miliki hapo!
 
hahahahah...... usije ukamuachia the so called 'ndunguyo' makombo.....
Na wewe punguza mawasiliano na Tuko! Huyu kijana anaweza akanifanyia mapinduzi...........naona anatumia injini ya benzi kwenye bito!
 
Na wewe punguza mawasiliano na Tuko! Huyu kijana anaweza akanifanyia mapinduzi...........naona anatumia injini ya benzi kwenye bito!

Moja ya QUALITIES za 'infidelitors' ni kuwa inferior.....??!! :confused2::confused2:
 
Moja ya QUALITIES za 'infidelitors' ni kuwa inferior.....??!! :confused2::confused2:
Kasome vizuri sheria...inasema kizuri kula na nduguyo...sasa mi bado sijala yeye anataka kuniwahi.....Sheria haitamki hivyo!
 
Moja ya QUALITIES za 'infidelitors' ni kuwa inferior.....??!! :confused2::confused2:

Mbona na wewe umewekewa HATIMILIKI hautaki kusema au ndio unataka mambo yafikishwe kwenye kitengo FAIR COMPETITION
 
Kasome vizuri sheria...inasema kizuri kula na nduguyo...sasa mi bado sijala yeye anataka kuniwahi.....Sheria haitamki hivyo!

Kha ushindwe tena ushindwe kabisaaaa, aliyesema mi chakula ni nani????? :mad2::mad2::mad2::mad2:
 
Mbona na wewe umewekewa HATIMILIKI hautaki kusema au ndio unataka mambo yafikishwe kwenye kitengo FAIR COMPETITION

Jamaniiiiiiii eeeeeeeeeh............. hakuna hati miliki ya mtu hapa.........
narudia tena na tena na tena.........:mad2::mad2::mad2::mad2: kambi ya upinzani................
Hatuna haya mambo kwetu........ we stay faithful to ONE partner......no infidelity of any kind allowed....kha!!
mna vichwa vigumu utafikiri nini..........:mad2::mad2::mad2:
 
Kha ushindwe tena ushindwe kabisaaaa, aliyesema mi chakula ni nani????? :mad2::mad2::mad2::mad2:

Kwani vyakuliwa ni vyakula tu? Matunda hayaliwi?:confused2::confused2:
 

Ukiishalamba asali hauwezi kuacha
 

OK! haya malizia basi mchango wako wa august, mbona ulilipa nusu tu? Ndo unataka kujitoa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…