Hommie Kaizer, si inategemea na kazi yenyewe??Kongosho sheria ya mahusiano kazini 2004 iko wazi....hahaha "hairuhusiwi kumhalasi mjakazi wako. mpe kazi kwa kiasi, ukimpenda, suimwinamishe....usitake mgongo wake bila ridhaa, wala jicho lako lisimwangalie kwa husuda. Mpe stahili zake kama yanenavyo maandiko, kazi yake isiwe chanzo cha sononeko. Je, hukupewa vyote na Bwana wa Majeshi? basi usimtendee uovu mtumishi na mjakazi wako, asema Bwana."
Mwisho wa kunukuu
Hao nao ni mtu na bosi wake, unaona kamlazimisha kunywa biya?
Kiongozi nikupatie cordinates za hako kabinti?Kabinti ni ka cute...sema jamaa hayuko interested kabisa....so hakuna halasiment apo
Kiongozi nikupatie cordinates za hako kabinti?
Latitude: Zero PubTupia....
Ndugu yangu mambo gani haya ya kukumbushana zero pub mida hii? Damn!Latitude: Zero Pub
Longitude: Calabash
Latitude: Zero Pub
Longitude: Calabash
Acha tu ndg mimi bila kupita hapo Zero Pub, usingizi sipatiNdugu yangu mambo gani haya ya kukumbushana zero pub mida hii? Damn!
Sasa inakuwaje mazee hatutafutani tusaidiane kuichangia serkali yetu mapato kupitia vinywaji baridi na vya moto? Leo Fyatanga patanitambua!!Acha tu ndg mimi bila kupita hapo Zero Pub, usingizi sipati