Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

wewe ni mwanachama hai wa INFIDELITY.....!
kama unabisha sema kabisa NIMWAGE MBOGA HAPA JF
am counting 97..............96...................95

Mpwa naona Beauty anatingisha kiberiti kwenda upinzani ili kamati imuongezee mafao abaki
 
wewe ni mwanachama hai wa INFIDELITY.....!
kama unabisha sema kabisa NIMWAGE MBOGA HAPA JF
am counting 97..............96...................95

Mwenyekiti kasema busara itumike hapa....hamna haja ya kumwaga mboga wala ugali....
 
Mpwa naona Beauty anatingisha kiberiti kwenda upinzani ili kamati imuongezee mafao abaki
hehehehe!
unajua huyo Beauty ni ''THE BLOODY MEMBER OF INFIDELITY''
yaani huyo ni kama MREMA NA CCM.....!
msijidanganye
 
wewe ni mwanachama hai wa INFIDELITY.....!
kama unabisha sema kabisa NIMWAGE MBOGA HAPA JF
am counting 97..............96...................95
NAKURUHUSUUUU.Am not suprised by you anyway....Mr infedelator.
 
NAKURUHUSUUUU.Am not suprised by you anyway....Mr infedelator.
ngoja nikuheshimu tu!......
usingekuwa mwanachama wetu wa infidelity ningeupload vitu hapa hehehehehehe!
ungebadili aidii kabisa
 
ngoja nikuheshimu tu!......
usingekuwa mwanachama wetu wa infidelity ningeupload vitu hapa hehehehehehe!
ungebadili aidii kabisa

Nakuruhusu Teamo.Cant You understand me? Upload hivyo vitu.Hivi ni vitisho?Na huku kuniheshimu umeanza lini? as far as I kno heshima hiyo huna especially kwa wanawake.Na hii thread yako ni udhibitisho tosha.Kama ungekuwa unamuheshimu anagalu hata ''Mshiki" usingetoa maneno kama haya kwenye hii thread...
 
Nakuruhusu Teamo.Cant You understand me? Upload hivyo vitu.Hivi ni vitisho?Na huku kuniheshimu umeanza lini? as far as I kno heshima hiyo huna especially kwa wanawake.Na hii thread yako ni udhibitisho tosha.Kama ungekuwa unamuheshimu anagalu hata ''Mshiki" usingetoa maneno kama haya kwenye hii thread...
hehehehehe!
sasa wewe naona unatoa ''yako ya moyoni''......
unuajisahau kuwa unavunja sheria namba 13 hapo juu.

mimi sitii neno hapo pa kutokuwa na heshima kwa wanawake/mshiki maanake hilo swala ni la ''ndani zaidi''.ndugu yangu x-pin anaweza kunihoji ILIKUWAJE
 
KonaKali uzuri kwenye kamati yetu hakuna kitengo cha kupiga propaganda kama za Makamba na Chegeni

Sisi tumejipanga vyema, na tunatumia data za tafiti za kitaalam zaidi...! Kama nyie mnashabikia INFIDELITY, ngoja matokeo yawakute mjifunze...! Itabidi tu sasa niwaachie maana "mtoto akililia wembe, na apewwe ajikate".

Natangaza rasmi nimefikia maamuzi ya kujiunga upinzani, Mwenyekiti naomba nikutafute ili nirudishe card.
Asante w3anachama wote wa infidelity kwa ushirikiano wenu.
Beauty

Usijali mkuu, karibu sana kabla hujakutwa na mabalaa ya huko...!

Inabidi kikao kikae na kifanye maamuzi hauwezi kurudisha kadi kienyeji

Kurudisha kadi sio hadi mtoe ridhaa, tena huko ndio pa kuchoma moto na kuondoka bila kuaga...!

Hebu twende pm kidogo basi...:A S 8:

Hii ndio kampeni za kitanda kwa kitanda...! Naamini utagonga mwamba tu...! Wala chama chetu hatuhitaji TAKUKURU kwa kuwa sisi ni waadilifu sana..!

Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote

Nakupa "big bravo" kwa kuelewa vyema siri ya mafanikio ya chama chetu....! TAKUKURU ya nini?

hapana siwezi kutumikia mabwana wawili, upinzani unanitosha..SIDANGANYIKI 2010.

Safi sana...! Wewe ndio unafaa kuwa kiongozi wa kuigwa. Unafaa hata pia kuwa mama/baba wa watoto wa taifa letu...!

bado sijaona mwanachaa wa kurudi bana!
hehehehe

Hata wewe upo njiani. Ngoja ujikate na huo wembe tuone...! Hata hodi hautabisha...!

Mpwa naona Beauty anatingisha kiberiti kwenda upinzani ili kamati imuongezee mafao abaki

Kwetu hakuna tamaa za kuhujumu hadi mapenzi uliyopigania mwenyewe...! Uzalendo, uwajibikaji, na uwaminifu ni baadhi tu za maadili yetu...!
 
hehehehehe!
sasa wewe naona unatoa ''yako ya moyoni''......
unuajisahau kuwa unavunja sheria namba 13 hapo juu.

mimi sitii neno hapo pa kutokuwa na heshima kwa wanawake/mshiki maanake hilo swala ni la ''ndani zaidi''.ndugu yangu x-pin anaweza kunihoji ILIKUWAJE
Haya bana.I am Praying for you lakn......am out.
And dont 4get maneno pia yanachangia kwa kiasi kikubwa kuionyesha jamii kuwa what kind of a person you are..you better be careful in this area.
Infidelity ishindwe mileleeeee!
Bye 4 now.........
 
Haya bana.I am Praying for you lakn......am out.
And dont 4get maneno pia yanachangia kwa kiasi kikubwa kuionyesha jamii kuwa what kind of a person you are..you better be careful in this area.
Infidelity ishindwe mileleeeee!
Bye 4 now.........
hehehe!
mimi nilidhani ZD ni mmoja wa watu wanaonifahamu vizuri zaidi,kumbe sio
hii ni JAMIIFORUMS mama......!tunacheza na keyboards tu jioni tunakutana kwenye valuu then tunarudi kubembeleza ndoa na vichanga vyetu.
 
hehehe!
mimi nilidhani ZD ni mmoja wa watu wanaonifahamu vizuri zaidi,kumbe sio
hii ni JAMIIFORUMS mama......!tunacheza na keyboards tu jioni tunakutana kwenye valuu then tunarudi kubembeleza ndoa na vichanga vyetu.
Niliaga lakn naomba ruhusa kurudi.
Rejea post zangu za huko mwanzoni kwenye hii thread.Hasa kuhusu Power of words.
Maneno huumba.And am praying that this bad disease will never catch you or Mshiki(iam very sincere in this matter)
Peace and love.
 
Mkuu konakali,
Sijui uwe Katibu mkuu wa upinzani!! love ur ideas.
 
Niliaga lakn naomba ruhusa kurudi.
Rejea post zangu za huko mwanzoni kwenye hii thread.Hasa kuhusu Power of words.
Maneno huumba.And am praying that this bad disease will never catch you or Mshiki(iam very sincere in this matter)
Peace and love.
hehehehe!
tatizo moja ni kwamba mshiki nae ni memba wa jf/mwanachama wa infidelity na hapa tunavyolumbana anaangalia ANACHEKA HANA MBAVU!
tatizo kubwa zaidi ni kwamba hata binti yangu GIFT ni memba wa jf na ni mwanachama wa infidelity yaani anacheka hadi amezirai sasa

yaani kwakweli ukishindwa kuielewa JF utapata stroku
 
Nakuruhusu Teamo.Cant You understand me? Upload hivyo vitu.Hivi ni vitisho?Na huku kuniheshimu umeanza lini? as far as I kno heshima hiyo huna especially kwa wanawake.Na hii thread yako ni udhibitisho tosha.Kama ungekuwa unamuheshimu anagalu hata ''Mshiki" usingetoa maneno kama haya kwenye hii thread...

Haya bana.I am Praying for you lakn......am out.
And dont 4get maneno pia yanachangia kwa kiasi kikubwa kuionyesha jamii kuwa what kind of a person you are..you better be careful in this area.
Infidelity ishindwe mileleeeee!
Bye 4 now.........

Niliaga lakn naomba ruhusa kurudi.
Rejea post zangu za huko mwanzoni kwenye hii thread.Hasa kuhusu Power of words.
Maneno huumba.And am praying that this bad disease will never catch you or Mshiki(iam very sincere in this matter)
Peace and love.

ZD naomba ruhusa yako...niweke katika kumbukumbu zetu haya maneno?
 
Hivi mlifikia wapi? Kura kwa Slaa au JK? Naomba mwongozo.

Katibuuuu?
 
Hivi mlifikia wapi? Kura kwa Slaa au JK? Naomba mwongozo.

Katibuuuu?

Wewe ungependa chama kisichoweka mambo yao bayana kwa wananchi? Hawaingii kwenye midahalo ili kuficha siri zao....! Napinga INFIDELITY daima. Kura kwa Slaa bana.
 
Back
Top Bottom