KonaKali uzuri kwenye kamati yetu hakuna kitengo cha kupiga propaganda kama za Makamba na Chegeni
Sisi tumejipanga vyema, na tunatumia data za tafiti za kitaalam zaidi...! Kama nyie mnashabikia
INFIDELITY, ngoja matokeo yawakute mjifunze...! Itabidi tu sasa niwaachie maana "mtoto akililia wembe, na apewwe ajikate".
Natangaza rasmi nimefikia maamuzi ya kujiunga upinzani, Mwenyekiti naomba nikutafute ili nirudishe card.
Asante w3anachama wote wa infidelity kwa ushirikiano wenu.
Beauty
Usijali mkuu, karibu sana kabla hujakutwa na mabalaa ya huko...!
Inabidi kikao kikae na kifanye maamuzi hauwezi kurudisha kadi kienyeji
Kurudisha kadi sio hadi mtoe ridhaa, tena huko ndio pa kuchoma moto na kuondoka bila kuaga...!
Hebu twende pm kidogo basi...:A S 8:
Hii ndio kampeni za kitanda kwa kitanda...! Naamini utagonga mwamba tu...! Wala chama chetu hatuhitaji TAKUKURU kwa kuwa sisi ni waadilifu sana..!
Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote
Nakupa "big bravo" kwa kuelewa vyema siri ya mafanikio ya chama chetu....! TAKUKURU ya nini?
hapana siwezi kutumikia mabwana wawili, upinzani unanitosha..SIDANGANYIKI 2010.
Safi sana...! Wewe ndio unafaa kuwa kiongozi wa kuigwa. Unafaa hata pia kuwa mama/baba wa watoto wa taifa letu...!
bado sijaona mwanachaa wa kurudi bana!
hehehehe
Hata wewe upo njiani. Ngoja ujikate na huo wembe tuone...! Hata hodi hautabisha...!
Mpwa naona Beauty anatingisha kiberiti kwenda upinzani ili kamati imuongezee mafao abaki
Kwetu hakuna tamaa za kuhujumu hadi mapenzi uliyopigania mwenyewe...! Uzalendo, uwajibikaji, na uwaminifu ni baadhi tu za maadili yetu...!