Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kwa kuwa idadi inaonesha kamati imesheeni sana wajumbe wa upande tawala na kwa kuwa takwimu zinaonesha kuwa Infidelatees ni wengi kuliko Infidelators:-
Je, Upande tawala hauoni kuwa haujatutendea haki sisi wa upande pinzani? Pili. Ili iwepo demokrasi katika jambo hili la Infidelity, Je ndugu mwenyekiti huoni kuwa hauja tutendea haki sisi wa upande pinzani hasa kwa kutuchagulia wapinzani mamluki?
Mh mwenyekiti, kwa kuwa wajumbe wa upinzani ni wachache kuliko wa upande tawala? Je hili linatokana na ukweli kuwa ma-infidelators na Ma-Infideletees ni wengi sana kuliko non-infideletors and non-infedeletees?
Mwisho kabisa naomba mwenyekiti utuongoze kupiga kura ya veto maana pande hii ya upinzani hatuna imani na baadhi yetu hasa PJ, Beauty na Smiles.
Mwenyekiti naomba kuwasilisha hoja.
Mjumbe kambi ya upinzani