Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Kumbe ulishavimbishwa Smiles?

Hongera sana mjukuu wangu...

Naamini sasa wewe ni mtu tofauti kabisa na hizi toto za mtaani...

Unajua mbichi na mbivu kwa kweli.

Karibu sana kwenye club ya kulea (investment ambayo ni ngumu kujua lini italipa)!!

Babu DC!!

Asante sana babu! Dark City

Hapa kuna nini hapa....
Smiles.........jambo binti.

sharing is caring.....start here.

Not so fast..... baby steps!
One thing at a time sawa eeh.....:tongue: Bigirita

Ukiona ivo ujue kumekucha tayari
Kaizer hujambo....?

Smiles RR anakupendaga? bila masharti....
RR niyo natakiwa ku-note for action later au....?
 
Last edited by a moderator:
hivi hiki chama mlishafanya tena uchaguzi rafiki?
mimi siyo mwanachama but nataka kuwa kwenye tume ya uchaguzi, ili iwe huru

unataka kuwa kada wa chama Fixed Point? Mbona uchaguzi wetu ni huru na wa haki tu, domokrasia la ulaya hatulitaki sisi
 
Last edited by a moderator:
thread ya watu maarufu kubadili majina ya ID,,,,teh teh
 
Back
Top Bottom