Zijue tabia za Kanisani

Kaka usinibishie mimi mwenyewe muislam, na nafahamu sana kuwa sala ya ijumaa imetanguliwa na khutba mbili. Ninachokiandika hapa nimekishuhudia na wanaofanya hivyo najua wanakosea Sasa sielewi wanakosea makusidi au kutokujua. Kuna wengine wakati wa khutba huwa wanasinzia pia
 
Anakula huku anaongea au anakula huku amesimama nk
Mambo ya mlo siyafuatiliagi kabisa, sidhani kama naweza kuandika uzi wa kula.

Ila kwa mambo ya kiroho naweza kuandaa nyuzi mbali mbali we chagua tu ikitakacho kuhusu mambo ya kiroho mitakifungulia uzi.
 
Je unawapendelea hivi? Basi hama!
 
Mabusu ya KAZI bank? Au ulimaanisha mbususu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…