Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Nani alikuambia maneno hayo? Jr mradi wa REA unatakelezwa na TANESCO? Turudi kwenye kukusikiliza upo wilaya gani? Namba ya simu tafadhali na eneo husika unalozungumzia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maeneo yote hayo uliyotaja umeme upo ni baadhi ya maeneo machacha haujafika hivyo ni vema kutuunga mkono badala ya kuona hatujafanya chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwepo wa Umeme kwa hayo maeneo ni kitu kimoja na kupeleka kwa wananchi/wakazi wa hapo ni kitu kingine,Tumeshuhudia umeme mkubwa unapita kwenye vijiji na wananchi wanauangalia tu lakini hawana unaenda kuwekwa kwenye ofisi za wilaya nyingine za serikali/nyumba ya rc/dc huku ukiwapita wanakijiji.

Tatizo la TANESCO ni Rushwa na Ubwanyenye,mpo peke yenu mmemonopoly soko ,mngekuwa na mshindani kama kampuni za simu mngetia akili,Bunge waruhusu kampuni binafsi za kusambaza umeme mfe kifo kama cha ttcl/atcl,mtu anaomba umeme miaka mi3 hakuna kitu mnamjibu kwa umbali huo hapo ni mradi unatakiwa tunasubiri mradi uje kumbe fedha za mradi na zenyewe zimeliwa na wajanja,hivi hakuna TOP management wanaofatilia maendeleo ya miradi?
 
Nani alikuambia maneno hayo? Jr mradi wa REA unatakelezwa na TANESCO? Turudi kwenye kukusikiliza upo wilaya gani? Namba ya simu tafadhali na eneo husika unalozungumzia

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri tu FEEDBACK ya WAZIRI kuhusu huo wizi ndio utaamini,Hauwezi Kutenganisha REA na TANESCO,wote ni watoto wa BABA na MAMA Mmoja ndio maana tukinunua umeme TANESCO tnakatwa fedha ya REA.
 
Mimi naomba kuuliza hivi nyumba ambayo haiitaji nguzo kuingiza umeme yaani iko mita chache kutoka kwenye nguzo ya umeme gharama ni kiasi gani?Maana yangu ni kwamba zinahitajika waya tu ili kuingiza umeme kwenye nyumba
 
Unapotoa tuhuma bila ushahidi au ushirikiano kwetu unapenda tukuhudumiaje mpendwa mteja? Unaposema maeneo hayo hayana umeme wakati vijiji vingi vinaumeme unakuwa unamaanisha Namtumbo yote haina umeme? Tunaomba tukusikuliza maana huu ni ukurasa wa huduma kwa wateja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama DAR kuna Sehemu Kibao Umeme hakuna sina Shaka kabisa huko namtumbo wananchi wengi hawana UMEME.
 
Naomba mfanye marekebisho na muandike kuwa kugungiwa umeme baada ya kufanya malipo itategemea na upatikanaji wa nguzo. Nimelipia na siku 60 zimepita lakini naambiwa nisubiri mpaka wateja wa mwezi wa 9 wamalizike kwanza. So sioni logic ya kusema ndani ya siku kadhaa kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO IS A DEAD WORKING ORGANISATION, EVERY DEPARTMENT IS TOTALLY PALSY, Mtu aliyelipia Umeme Mwezi wa Saba hadi leo hajapata umeme bado mnajinadi eti tunatekeleza...
Serikali inatakiwa ifanye overhaul kuanzia Sangara hadi Dagaa, Nadhani ni moja ya corrupt organization kwa Sasa ukiondoa
Police, judiciary, lands and Tanzania Revenue Authority (TRA).... TANESCO
 
Huo utaratibu upo kwenye maandishi si kiuhalisia kabisa....Mngeongezea na suala la kununua nguzo
 
MM NI MHANGA WA TANESCO SENGEREMA NILICHUKUA FOMU 23 03 2018 NIKARUDISHA FOMU YANGU MWEZI WA TATU MWAKA JANA YANI 2018 BAADA YA KUKAA SANA NIKAFATILIA MNAMO MWEZI WA TISA FOMU IKAPATIKANA BAADA YA HAPO SAVERY AKAENDA SITE NIKAFANYIWA HESABU NIKALPA GHARAMA MWAKA JANA MWEZI WA 11 CHA KUSHAGAZA MPAKA LEO HII NAANDIKA HAKUNA HATA DALILI PESA NIMELIPA SIDAIWI LEO MIEZI MITANO TOKA NILIPE NAULIZA FOMU YANGU IMEPOTEA TENA AU TATIZO LIKO WAPI/ MALIPO YALIPOKELEWA KWENYE ANKARA NA 991030600443 TSH 362885 RISITI NA 99009696782 KUPITIA EC 100278236428 HIVI VYOTE NIMEFANYA NIFANYEJE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…