Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Tunajibu wateja wetu kote karibu tukusikilize
Kule kwenye main thred sijui hampitii kusoma, huku ni kipengele kingine hakuhusiani na maswali na malalamiko yaliyotolewa kule, fungueni kule muone maswali na malalamiko yaliyotolewa tangu tarehe 12 mpaka leo hamjajibu.
 
Kule kwenye main thred sijui hampitii kusoma, huku ni kipengele kingine hakuhusiani na maswali na malalamiko yaliyotolewa kule, fungueni kule muone maswali na malalamiko yaliyotolewa tangu tarehe 12 mpaka leo hamjajibu.
Tupo tunaomba utupatie taarifa kamili na namba yako ya simu tafadhali
 
Tupo tunaomba utupatie taarifa kamili na namba yako ya simu tafadhali
Vipi ukinunua umeme namba zile za LUKU zinakaa muda gan bila kuharibika,, namaaninsha zinaexpire baada ya muda gani?
 
Vipi ukinunua umeme namba zile za LUKU zinakaa muda gan bila kuharibika,, namaaninsha zinaexpire baada ya muda gani?
Zinaandikaje ukiingiza na namba yako ya mita
 
Nataka nijue kwa sababu huku tulipanga umeme unakata mara kwa mara na tunalipa kwa mwez, soo nataka ninunue hadi wa mwez tisa sasa cjui utaexpire
Zinaandikaje ukiingiza na namba yako ya mita
 
Hapana ndugu mteja.
Nataka nijue kwa sababu huku tulipanga umeme unakata mara kwa mara na tunalipa kwa mwez, soo nataka ninunue hadi wa mwez tisa sasa cjui utaexpire
 
Unaweza lakn. Kati ya sasa na mwezi wa 9 unaweza kupata matitizo yafuatayo; Mita kuungua au kuharibika, Kupoteza token au kufutika kwa namba.n.k

Kwa ushauri mzuri. Ingependeza kusubiri na sio kununua kwa ajimi ya mwezi wa 9
Kwa hiyo nikinunua saiz nkaja kuuweka mwezi wa tisa hautaniletea shida
 
Kama nipo mita hamsini kutoka kijijini na Nina uwezo wa kununua nguzo je siwezi kuwa mnufaika wa mradi wa REA?
 
Unajifanya kusaidia watu Hanna chochote nilikupa malalamiko yangu wiki 3 zilizopita nikakufata na pm ukaniomba namba ya simu na wilaya vyote nilikupa lkn hakuna chochote ulichofanya, yaani kupata namba ya account ya bank ili kufanya Malipo tu ni Shida kila ukienda Mtandao unasumbua mpaka nimetoa Rushwa ya 20,000 ndo nimepewa account no ..kumbe Hanna cha mtandao kusumbua wala nn na we unalijua ili Dawa yenu iko Jikoni subirini
 
Tunaomba taarifa yako kamili na huduma uliyoomba. Kama kuna mfanyakazi uliyempa rushwa ni kosa tafadhali tumia njia sahihi kupata huduma bila rushwa
 
Kama nipo mita hamsini kutoka kijijini na Nina uwezo wa kununua nguzo je siwezi kuwa mnufaika wa mradi wa REA?
Ukishachukua fomu ya maombi ya umeme tunakupimia na kukupa makadirio ya kiasi halisi cha kulipia kutokana na vifaa vinavyohitajika kukufungia umeme
 
Kweli mnaonekana mko busy, yaani mtu aulize maswali tarehe 12 mwezi wa sita, hapo katikati kona nyingi mara hivi mara vile, hamtaki kutoa majibu leo mnakuja kusema karibu!!!!!
Uliuliza swali gani mpendwa mteja wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…