Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
Yaani mwanangu mwenyewe nishindwe kumtambua? First time anatolewa labor nikaangalia nikajua hii chata! Ni natural DNA tu huhitaji kwenda kwa mkemia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mauaji yatazidi ktk familia...
Maana mama ndo anajua baba wa mtoto...
Na wanawake wanasiri...
Mungu tusamehe
Naona mnatetea ujinga et mauaji acha wafe,kupma inabidi tunalea matoto yenye tabia za ajabu sana kumbe sio damu zetu.
Kwanini?Katika hili lawama zote zinatuhusu wanawake
Kwa nn. Kwani ?Nashauri waweke na umri wa mwisho kupima mtoto DNA, labda si zaidi miezi 12 baada ya kuzaliwa.
Unauliza tena,Kwanini?
Duh kumbe ndio hivo ...basi wanaume wengi wanalea watoto watoto ambao sio waoKumekuwa na minong'ono mitaani kuwa upimaji wenu unaangalia zaidi athari kwa mtoto na sio ukweli wa mtoto. Yaani kama baba ni mmoja basi atapatiwa huyo mtoto atake asitake majibu yatakuja upande wake. Hii imewafanya wengi wenye kauwezo kukimbizia sampo zao Kenya. Kama ni kweli mjitathimini. Binafsi hela yangu na sioni haja ya kuhusisha mtu mwingine zaidi ya mm na mtoto na mpimaji. Hao ustawi watanisamehe kwenye DNA. Kwa ufupi bado nazichanga na mm nivushe sampuli upande mwingine.
Acha wewe,hiyo dunia ya hivyo ilishapita miaka mingi sana acha kuishi kwa historia.mtoto ni haki miliki kama ilivyo kwenye mali sasa iweje tuendelee kua na tamaduni zakumiliki mali isiyo yako kwasababu zakijinga zisizotatua tatizo la wanawake kutokua waaminifu.Mtagombanisha Wananchi wa Tanzania na kuleta tafarani nchini
Familia za kitanzania tangu enzi zinalea Watoto wasio wao na kulelewa Watoto wao na familia zingine na hawajawahi kuja kushitaki kwenu wala kufungua kesi mahakamani
Waacheni watanzania waishi namna hiyo na Watoto wapate haki ya kutunzwa.