Zijue taratibu za kupima DNA, gharama ya kipimo ni Tsh.100,000/=

Zijue taratibu za kupima DNA, gharama ya kipimo ni Tsh.100,000/=

Kulea mtoto sio shida

Usaliti ulioleta mtoto ndo kitu ambacho binafsi siwezi kuvumilia

Km siwezi kumsamehe mwanamke msaliti kwanini nilee zao lake
Ni sawa na na kufuga uzao wa dhambi[emoji26]
 
Hizi milolongo yote Ni harakati TU za serikali kumlinda mwanamke, Hadi kwenye Mambo ya hovyo[emoji3525].
 
Wanajua tu kitakachofuata baada ya kupima.

Watoto wengine na mama zao wataachwa huko huko kwa mkemia mkuu.

Don't try this at home.
unamchkua mtoto unaenda nae ukikuta sio wako unamkamua utumbo mpaka kinyesi manake kinyesi kimetokana na jasho lako ulilomnunulia misosi, na kama umekanunulia soda unaminya kimbumbu chake mpaka mkojo wote uishe,alaf unakavua pamba ulizomnunulia,unakapa buku ya nauli unamwambie amfuaate mamake@jamii familly
 
Msifikiri serikali ni wajinga
Majibu halisi yatakuja iwapo tu ni Watu wawili mnagombania mtoto, lakini kama ni baba unataka kuthibitisha mtoto majibu lazima yaje ni wako tu hakuna namna
 
Msifikiri serikali ni wajinga
Majibu halisi yatakuja iwapo tu ni Watu wawili mnagombania mtoto, lakini kama ni baba unataka kuthibitisha mtoto majibu lazima yaje ni wako tu hakuna namna
😀 😀 😀unapigwa za kichwaa mzee wakisema sio wako umtelekezee
 
Back
Top Bottom