Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Wakiongeza kodi vilioDuh ilitakiwa iwe buure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiongeza kodi vilioDuh ilitakiwa iwe buure
HaaaaaaWanajua tu kitakachofuata baada ya kupima.
Watoto wengine na mama zao wataachwa huko huko kwa mkemia mkuu.
Don't try this at home.
😂😂😂😂😂😂😂😂Wanajua tu kitakachofuata baada ya kupima.
Watoto wengine na mama zao wataachwa huko huko kwa mkemia mkuu.
Don't try this at home.
Ni sawa na na kufuga uzao wa dhambi[emoji26]Kulea mtoto sio shida
Usaliti ulioleta mtoto ndo kitu ambacho binafsi siwezi kuvumilia
Km siwezi kumsamehe mwanamke msaliti kwanini nilee zao lake
Hiyo research umefanya kwa watu wangapi ( japo sina mtoto)Amini usiamini katika watoto watano uliona na mkeo watatu (3) sio wako.
unamchkua mtoto unaenda nae ukikuta sio wako unamkamua utumbo mpaka kinyesi manake kinyesi kimetokana na jasho lako ulilomnunulia misosi, na kama umekanunulia soda unaminya kimbumbu chake mpaka mkojo wote uishe,alaf unakavua pamba ulizomnunulia,unakapa buku ya nauli unamwambie amfuaate mamake@jamii famillyWanajua tu kitakachofuata baada ya kupima.
Watoto wengine na mama zao wataachwa huko huko kwa mkemia mkuu.
Don't try this at home.
😀 😀 😀unapigwa za kichwaa mzee wakisema sio wako umtelekezeeMsifikiri serikali ni wajinga
Majibu halisi yatakuja iwapo tu ni Watu wawili mnagombania mtoto, lakini kama ni baba unataka kuthibitisha mtoto majibu lazima yaje ni wako tu hakuna namna
Wababa wa kitanzania ni social fathers in kabudi's voiceLea tu watoto utapata baraka za Mungu....achana na mambo ya biological father.
Bure ndoa nyingi zitavunjika na watoto watakosa malezi ya pande zote mbiliDuh ilitakiwa iwe buure
Baba,laki moja,Mama laki moja na Mtoto laki moja,jumla ni laki tatu!!Kwa hiyo jumla ni 200,000/=
Kwanini unidanganye mtotoLea tu watoto utapata baraka za Mungu....achana na mambo ya biological father.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mtoto wa kwangu.
Pesa natoa za kwangu.
Huko kwa Afisa ustawi wa Jamii kwa kazi gani kama siyo kuleteana Umbeya tu?