Zijue taratibu za kupima DNA, gharama ya kipimo ni Tsh.100,000/=

Zijue taratibu za kupima DNA, gharama ya kipimo ni Tsh.100,000/=

Mtoto wa kwangu.
Pesa natoa za kwangu.

Huko kwa Afisa ustawi wa Jamii kwa kazi gani kama siyo kuleteana Umbeya tu?
Afisa maendeleo ya jamii huwa anapeleka maombi na recommendation ya anachokiona kina ustawi wa jamii hasa kwa upande wa mtoto kama issue inahusu mtoto baada ya kuteta na mama mtoto kwa siri. Kama mtoto ni wako biologically lakini wewe ni kapuku na kuna baba mwingine anayehisiwa na yupo vizuri kiuchumi, wanabadili majibu. Na kama hakuna anayehisiwa ila inawezapelekea kusambaratika kwa familia(ndoa), DNA itasoma mtoto ni wako hatakama siyo.
 
Afisa maendeleo ya jamii huwa anapeleka maombi na recommendation ya anachokiona kina ustawi wa jamii hasa kwa upande wa mtoto kama issue inahusu mtoto baada ya kuteta na mama mtoto kwa siri. Kama mtoto ni wako biologically lakini wewe ni kapuku na kuna baba mwingine anayehisiwa na yupo vizuri kiuchumi, wanabadili majibu. Na kama hakuna anayehisiwa ila inawezapelekea kusambaratika kwa familia(ndoa), DNA itasoma mtoto ni wako hatakama siyo.
Utaratibu wa kupima kenya ukoje ?


Na majibu hayo yanatambulika nchini endapo mama mtoto ataamua akushtaki baada ya kumtelekeza mtoto ambaye umejua si wako ?
 
Wanajua tu kitakachofuata baada ya kupima.

Watoto wengine na mama zao wataachwa huko huko kwa mkemia mkuu.

Don't try this at home.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani weka mbali na familia yako. Au usijaribu nyumbani kwako.

Jomba umenena, maana kama si kuachwa kwa mkemia basi kuna vifo vitafuata.

Fikiria umelea kwa upendo miaka kumi halafu unagundua ni mtoto wa lijinga fulani na linakuzoo tu.

Napiga sumu mama na mwanae.
 
Hamna ugombanishi kupima DNA muhimu

Mambo ya kubambikiana watoto yamepitwa na nyakati
 
umeongea point sana, unakuta familia yenu sio magenius halafu linakuja toto genius lazima muanze mashaka.

Kuna Mzee mmoja alikuwa ananiambia, kuna binti anahisi sio wake, maana kabinti ni kimalaya balaa wakati ukoo wao hakuna mwenye tabia hiyo hata mmoja..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kumekuwa na minong'ono mitaani kuwa upimaji wenu unaangalia zaidi athari kwa mtoto na sio ukweli wa mtoto.

Yaani kama baba ni mmoja basi atapatiwa huyo mtoto atake asitake majibu yatakuja upande wake. Hii imewafanya wengi wenye kauwezo kukimbizia sampo zao Kenya. Kama ni kweli mjitathimini.

Binafsi hela yangu na sioni haja ya kuhusisha mtu mwingine zaidi ya mm na mtoto na mpimaji.

Hao ustawi watanisamehe kwenye DNA. Kwa ufupi bado nazichanga na mm nivushe sampuli upande mwingine.
Naam Naam naku support kabisa [emoji16]
 
Kulea mtoto sio shida

Usaliti ulioleta mtoto ndo kitu ambacho binafsi siwezi kuvumilia

Km siwezi kumsamehe mwanamke msaliti kwanini nilee zao lake
Sindio hapo [emoji38]
 
Inatakiwa iwe hata elfu 20,000 ili kila mtu awajibike na matendo yake. Kama ni mwanaume au wachepukaji basi wabebe majukumu yao ya ulezi.
 
Hii huduma inatakiwa iwe rahisi ili kuokoa wazee wetu wanaokufa kwa misongo ya mawazo yakusababishwa na wake zao wenye tamaa.Kuna kisa nakifahamu kilichosababisha mzee wawatu akapata stroke iliyomtesa hadi mauti.Huyo mzee alifungashiwa mtoto pamoja na minong'ono kua sio mtoto wake alipotezea akamlea mtoto kwa mapenzi makubwa,sasa ikatokea yule baba halisi wa yule mtoto akaja akafariki na alikua kibopa mwenye hela zake ila ambaye anapenda kuchukua wake za watu,sasa yule mama alivyoona yule mzee amefariki akajua kuna mahela kayaacha akaenda kuiambia ile familia kua alizaa na yule mzee kwahiyo mwanae awe kwenye mirathi.Mumewe alipogundua alipata presha iliyompa stroke ikamsumbua miaka 4 akafariki.Nchi zawezetu walishatoka kwenye dunia yakucomplicate mambo ambayo yanaiumiza jamii.kama wewe ni mwanamke umekubali kuingia kwenye ndoa kaa utulie sio kuwaka tamaa hadi ukabebe mimba uilete ndani kwa kisingizio cha kitanda hakizai haramu.
Hii ni mbaya sana.....hii mianamike yenye tamaa za kuto.mbesha nje ya ndoa itakuja kutuua kwa presha.
 
U
Kumekuwa na minong'ono mitaani kuwa upimaji wenu unaangalia zaidi athari kwa mtoto na sio ukweli wa mtoto.

Yaani kama baba ni mmoja basi atapatiwa huyo mtoto atake asitake majibu yatakuja upande wake. Hii imewafanya wengi wenye kauwezo kukimbizia sampo zao Kenya. Kama ni kweli mjitathimini.

Binafsi hela yangu na sioni haja ya kuhusisha mtu mwingine zaidi ya mm na mtoto na mpimaji.

Hao ustawi watanisamehe kwenye DNA. Kwa ufupi bado nazichanga na mm nivushe sampuli upande mwingine.
Ushafanya research ya kuhusu gharama?
 
Mauaji yatazidi ktk familia...

Maana mama ndo anajua baba wa mtoto...

Na wanawake wanasiri...

Mungu tusamehe
Tayari una mtoto nje ya ndoa, mwanamke kahaba na Malaya kama wewe sio wa kuishi.
 
mi naamini wanaopinga huu mjadala na kuuona haufai ni wale wasio na uwezo wa kuzalisha au kuzaa,,, maana ka unajiamini kuna faida kuu mbili mosi; ni wanawake kuwa waminifu kw waume wao has majira ya kubeba mimba/ujauzito na mbili kutoq mashaka kwa mtt wako na kuwajibika ipasavyo kumtunza na kila kitu paspo mashaka yyte yale ko mm nasport kipmo hiki kiwepo kabisa tena ikiwezekana mtt anapozaliwa tu kipime hapo hapo na kubaini ukwel,, yani iwe lazima kama kupima "HIV" kwa wazaz wote kipind cha klinic...ko kwa wale wanaotegemea wake zao wawatafutie wtt hapa hawatakaa na watapinga mpk tone lao la mwisho DNA isiwepo hahaha..
 
Back
Top Bottom