Afisa maendeleo ya jamii huwa anapeleka maombi na recommendation ya anachokiona kina ustawi wa jamii hasa kwa upande wa mtoto kama issue inahusu mtoto baada ya kuteta na mama mtoto kwa siri. Kama mtoto ni wako biologically lakini wewe ni kapuku na kuna baba mwingine anayehisiwa na yupo vizuri kiuchumi, wanabadili majibu. Na kama hakuna anayehisiwa ila inawezapelekea kusambaratika kwa familia(ndoa), DNA itasoma mtoto ni wako hatakama siyo.Mtoto wa kwangu.
Pesa natoa za kwangu.
Huko kwa Afisa ustawi wa Jamii kwa kazi gani kama siyo kuleteana Umbeya tu?
Utaratibu wa kupima kenya ukoje ?Afisa maendeleo ya jamii huwa anapeleka maombi na recommendation ya anachokiona kina ustawi wa jamii hasa kwa upande wa mtoto kama issue inahusu mtoto baada ya kuteta na mama mtoto kwa siri. Kama mtoto ni wako biologically lakini wewe ni kapuku na kuna baba mwingine anayehisiwa na yupo vizuri kiuchumi, wanabadili majibu. Na kama hakuna anayehisiwa ila inawezapelekea kusambaratika kwa familia(ndoa), DNA itasoma mtoto ni wako hatakama siyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani weka mbali na familia yako. Au usijaribu nyumbani kwako.Wanajua tu kitakachofuata baada ya kupima.
Watoto wengine na mama zao wataachwa huko huko kwa mkemia mkuu.
Don't try this at home.
Uamuzi wa busara boss.Mtoto wa kwangu.
Pesa natoa za kwangu.
Huko kwa Afisa ustawi wa Jamii kwa kazi gani kama siyo kuleteana Umbeya tu?
[emoji419][emoji419][emoji419]Kila mtu lazima alee mwanawe, hii biashara ya kusakiziana watoto hatutaki, tukijua kugonga na kugongwa basi tujue na kulea familia zetu.
Naam kabisa [emoji457]sasa kama mama anajua baba wa mtoto kwanini apewe mtu asiyehusika? Ni vyema kila mtu akalea familia yake.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Naona mnatetea ujinga et mauaji acha wafe,kupma inabidi tunalea matoto yenye tabia za ajabu sana kumbe sio damu zetu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]umeongea point sana, unakuta familia yenu sio magenius halafu linakuja toto genius lazima muanze mashaka.
Kuna Mzee mmoja alikuwa ananiambia, kuna binti anahisi sio wake, maana kabinti ni kimalaya balaa wakati ukoo wao hakuna mwenye tabia hiyo hata mmoja..
Naam Naam naku support kabisa [emoji16]Kumekuwa na minong'ono mitaani kuwa upimaji wenu unaangalia zaidi athari kwa mtoto na sio ukweli wa mtoto.
Yaani kama baba ni mmoja basi atapatiwa huyo mtoto atake asitake majibu yatakuja upande wake. Hii imewafanya wengi wenye kauwezo kukimbizia sampo zao Kenya. Kama ni kweli mjitathimini.
Binafsi hela yangu na sioni haja ya kuhusisha mtu mwingine zaidi ya mm na mtoto na mpimaji.
Hao ustawi watanisamehe kwenye DNA. Kwa ufupi bado nazichanga na mm nivushe sampuli upande mwingine.
This time watajua hawajui [emoji16]Awa ngedere wanatuchomekea sana it's too much
Sindio hapo [emoji38]Kulea mtoto sio shida
Usaliti ulioleta mtoto ndo kitu ambacho binafsi siwezi kuvumilia
Km siwezi kumsamehe mwanamke msaliti kwanini nilee zao lake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ouch ouchAmini usiamini katika watoto watano uliona na mkeo watatu (3) sio wako.
Hii ni mbaya sana.....hii mianamike yenye tamaa za kuto.mbesha nje ya ndoa itakuja kutuua kwa presha.Hii huduma inatakiwa iwe rahisi ili kuokoa wazee wetu wanaokufa kwa misongo ya mawazo yakusababishwa na wake zao wenye tamaa.Kuna kisa nakifahamu kilichosababisha mzee wawatu akapata stroke iliyomtesa hadi mauti.Huyo mzee alifungashiwa mtoto pamoja na minong'ono kua sio mtoto wake alipotezea akamlea mtoto kwa mapenzi makubwa,sasa ikatokea yule baba halisi wa yule mtoto akaja akafariki na alikua kibopa mwenye hela zake ila ambaye anapenda kuchukua wake za watu,sasa yule mama alivyoona yule mzee amefariki akajua kuna mahela kayaacha akaenda kuiambia ile familia kua alizaa na yule mzee kwahiyo mwanae awe kwenye mirathi.Mumewe alipogundua alipata presha iliyompa stroke ikamsumbua miaka 4 akafariki.Nchi zawezetu walishatoka kwenye dunia yakucomplicate mambo ambayo yanaiumiza jamii.kama wewe ni mwanamke umekubali kuingia kwenye ndoa kaa utulie sio kuwaka tamaa hadi ukabebe mimba uilete ndani kwa kisingizio cha kitanda hakizai haramu.
Kweli kabisa mkuu. Hii serikali yenu ni ya kiqumer sanaHizi milolongo yote Ni harakati TU za serikali kumlinda mwanamke, Hadi kwenye Mambo ya hovyo[emoji3525].
Ushafanya research ya kuhusu gharama?Kumekuwa na minong'ono mitaani kuwa upimaji wenu unaangalia zaidi athari kwa mtoto na sio ukweli wa mtoto.
Yaani kama baba ni mmoja basi atapatiwa huyo mtoto atake asitake majibu yatakuja upande wake. Hii imewafanya wengi wenye kauwezo kukimbizia sampo zao Kenya. Kama ni kweli mjitathimini.
Binafsi hela yangu na sioni haja ya kuhusisha mtu mwingine zaidi ya mm na mtoto na mpimaji.
Hao ustawi watanisamehe kwenye DNA. Kwa ufupi bado nazichanga na mm nivushe sampuli upande mwingine.
Tayari una mtoto nje ya ndoa, mwanamke kahaba na Malaya kama wewe sio wa kuishi.Mauaji yatazidi ktk familia...
Maana mama ndo anajua baba wa mtoto...
Na wanawake wanasiri...
Mungu tusamehe