Zijue Tiba asili kwa watu wenye tatizo la kukosa usingizi (insomnia)

Zijue Tiba asili kwa watu wenye tatizo la kukosa usingizi (insomnia)

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hellow wakuu,

Leo niliona uzi humu mdau mmoja akiomba msaada wa dawa asili za kuondoa tatizo la kukosa usingizi Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

Nimeona nianzishe uzi huu ili kila mtu aone na aelimike ikibidi asaidike,

Kukosa usingizi sio ugonjwa ni dalili ya ugonjwa, wakati mwingine huchangiwa na matumizi ya vyakula au vitu vinavyofukuza usingizi mfano kahawa

Kikawaida binadamu anapaswa kulala masaa 6 hadi 8 ili akili ipumzike.

Ktk ubongo wa binadamu michskato ya usingizi hufanyika ktk hypothalamus, hypothalamus huzalisha hormones mbili zinazohusika na masuala ya kulala na kuamka, hormones hizo ni cortisol na melatonin

Cortisol
huzalishwa wakati wa asubuhi na mchana, hii hormones humfanya mtu awe ktk hali ya kuamka

Melatonin huzalishwa wakati wa usiku, hii hormone humfanya mtu asinzie


Hizi hormones huwa zimebalance, sometimes huzalishwa mchana, ndo unaona mtu anasinzia kazini
Kukiwa na imbalance mtu atakosa usingizi

TIBA YAKE

1.
Chai yenye tangawizi nyingi na pili pili manga (usiweke sukari).
Unachemsha tangawizi iliyo rojo na pili pili manga. Unakunywa nusu kikombe asubuhi na jioni.
Hii itakufanya uwe na utulivu wa akili inatumika sana kutibu wagonjwa wa akili ktk tiba asili

2 Juisi ya ndizi za kisukari na makale.
Makale ni majani fulani yanapatikana maeneo ya nyumbani angalia picha hapo chini
GridArt_20250202_141848512.jpg

Unayatwanga hayo majani yanakuwa kama kisamvu kisha unayaloweka ktk maji masafi ya kunywa jagi moja, unasaga juisi ya ndizi za kisukari kisha unaichanganya pamoja na ile uliyoloweka kwenye jagi, unaziacha zikae hata dakika 10 kisha unachuja

Hiyo juisi ndio dawa, unakunywa nusu kikombe kila siku usiku,

3 Mabilinganya
Unakula mboga yenye mabilinganya . Unayapika kama mboga

4. Uji wa ulezi, unakunywa usiku (hapa wanafunzi au waliopita shule za bweni watanielewa haraka haihitaji maelezo)

5. Kazi za kuuchosha mwili mfano kulima, kukimbia kutembea umbali mrefu n.k


Nakaribisha maswali


Nawasilisha
 
Shukrani kwa kutoa maarifa mkuu mimi ni mmojawapo wa wenye matatizo ya kukosa usingizi
 
Hellow wakuu,

Leo niliona uzi humu mdau mmoja akiomba msaada wa dawa asili za kuondoa tatizo la kukosa usingizi Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

Nimeona nianzishe uzi huu ili kila mtu aone na aelimike ikibidi asaidike,

Kukosa usingizi sio ugonjwa ni dalili ya ugonjwa, wakati mwingine huchangiwa na matumizi ya vyakula au vitu vinavyofukuza usingizi mfano kahawa

Kikawaida binadamu anapaswa kulala masaa 6 hadi 8 ili akili ipumzike.

Ktk ubongo wa binadamu michskato ya usingizi hufanyika ktk hypothalamus, hypothalamus huzalisha hormones mbili zinazohusika na masuala ya kulala na kuamka, hormones hizo ni cortisol na melatonin

Cortisol
huzalishwa wakati wa asubuhi na mchana, hii hormones humfanya mtu awe ktk hali ya kuamka

Melatonin huzalishwa wakati wa usiku, hii hormone humfanya mtu asinzie


Hizi hormones huwa zimebalance, sometimes huzalishwa mchana, ndo unaona mtu anasinzia kazini
Kukiwa na imbalance mtu atakosa usingizi

TIBA YAKE

1.
Chai yenye tangawizi nyingi na pili pili manga (usiweke sukari).
Unachemsha tangawizi iliyo rojo na pili pili manga. Unakunywa nusu kikombe asubuhi na jioni.
Hii itakufanya uwe na utulivu wa akili inatumika sana kutibu wagonjwa wa akili ktk tiba asili

2 Juisi ya ndizi za kisukari na makale.
Makale ni majani fulani yanapatikana maeneo ya nyumbani angalia picha hapo chini
View attachment 3222821
Unayatwanga hayo majani yanakuwa kama kisamvu kisha unayaloweka ktk maji masafi ya kunywa jagi moja, unasaga juisi ya ndizi za kisukari kisha unaichanganya pamoja na ile uliyoloweka kwenye jagi, unaziacha zikae hata dakika 10 kisha unachuja

Hiyo juisi ndio dawa, unakunywa nusu kikombe kila siku usiku,

3 Mabilinganya
Unakula mboga yenye mabilinganya . Unayapika kama mboga

4. Uji wa ulezi, unakunywa usiku (hapa wanafunzi au waliopita shule za bweni watanielewa haraka haihitaji maelezo)

5. Kazi za kuuchosha mwili mfano kulima, kukimbia kutembea umbali mrefu n.k


Nakaribisha maswali


Nawasilisha
Makale ni mabomubomu
 
Makale ni mabomubomu
Mkuu jina la mimea linatofautiana kulingana na jamii unayoishi,

Mmea mmoja unakuta unamajina 600 wasukuma wanajina lao, wachaga wanajina lao, wanyakyusa wanajina lao ila mmea ni huo huo mmoja

Kuondoa huo mkanganyiko, wajgiriki na walatini wakakubaliana na wanasayansi mimea yote iitwe kwa kilatini


Mfano mpapai unaitwa Canica papaya kama sijasahau ☺️

Kikubwa wewe ukiutambua kwa picha inatosha
 
Kwa sisi ambao hatuna wapenzi tujitahidi kupiga nyeto ili tupate usingizi mzuri mzito
 
Hellow wakuu,

Leo niliona uzi humu mdau mmoja akiomba msaada wa dawa asili za kuondoa tatizo la kukosa usingizi Anayejua dawa za asili kutibu tatizo la kukosa usingizi (insomnia) anisaidie nateseka

Nimeona nianzishe uzi huu ili kila mtu aone na aelimike ikibidi asaidike,

Kukosa usingizi sio ugonjwa ni dalili ya ugonjwa, wakati mwingine huchangiwa na matumizi ya vyakula au vitu vinavyofukuza usingizi mfano kahawa

Kikawaida binadamu anapaswa kulala masaa 6 hadi 8 ili akili ipumzike.

Ktk ubongo wa binadamu michskato ya usingizi hufanyika ktk hypothalamus, hypothalamus huzalisha hormones mbili zinazohusika na masuala ya kulala na kuamka, hormones hizo ni cortisol na melatonin

Cortisol
huzalishwa wakati wa asubuhi na mchana, hii hormones humfanya mtu awe ktk hali ya kuamka

Melatonin huzalishwa wakati wa usiku, hii hormone humfanya mtu asinzie


Hizi hormones huwa zimebalance, sometimes huzalishwa mchana, ndo unaona mtu anasinzia kazini
Kukiwa na imbalance mtu atakosa usingizi

TIBA YAKE

1.
Chai yenye tangawizi nyingi na pili pili manga (usiweke sukari).
Unachemsha tangawizi iliyo rojo na pili pili manga. Unakunywa nusu kikombe asubuhi na jioni.
Hii itakufanya uwe na utulivu wa akili inatumika sana kutibu wagonjwa wa akili ktk tiba asili

2 Juisi ya ndizi za kisukari na makale.
Makale ni majani fulani yanapatikana maeneo ya nyumbani angalia picha hapo chini
View attachment 3222821
Unayatwanga hayo majani yanakuwa kama kisamvu kisha unayaloweka ktk maji masafi ya kunywa jagi moja, unasaga juisi ya ndizi za kisukari kisha unaichanganya pamoja na ile uliyoloweka kwenye jagi, unaziacha zikae hata dakika 10 kisha unachuja

Hiyo juisi ndio dawa, unakunywa nusu kikombe kila siku usiku,

3 Mabilinganya
Unakula mboga yenye mabilinganya . Unayapika kama mboga

4. Uji wa ulezi, unakunywa usiku (hapa wanafunzi au waliopita shule za bweni watanielewa haraka haihitaji maelezo)

5. Kazi za kuuchosha mwili mfano kulima, kukimbia kutembea umbali mrefu n.k


Nakaribisha maswali


Nawasilisha
Siyo kahawa tu vinywaji wa soda cocacola Pepsi nk na energy drinks
 
Sehem bora ya kulala, usafi, hewa, ubora wa matress pia mazoezi vinaweza saidia pia.
 
Back
Top Bottom