Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Kwanini unaolewa sasaNinaolewa mkuu
Kumbe nini sasaHahahaha fungate sio utelezi tu
Kusutwa ndio kufanya aje?π€£π€£π€£π€£Yaani nilikuwa nawaza Icho kitu nikaogopa kusutwa
Hongera...amani ikatawale nyumba Yako.Zikiwa zimebaki siku 3/4 KUELEKEA send-off na wedding ceremony
Nitakuwa offline muda wowote kuanzia Sasa.
Lengo ni kufanya maandalizi maana shamra shamra zimeshaanza hamna Tena muda wa kuperuzi
Nitarud online baada ya kumaliza siku 14 za fungate
Kwa kipindi hicho ambacho ntakuwa offline
Ntawamisi wanangu sanaπ
Hivyo basi nipe neno/nishauri jambo KUELEKEA kuanza maisha mapya ya NDOA
rora reree comment Yako ni muhimu sana!
Nishaolewa mda mrefu ni mamaNa wewe ndoo uolewe sasa hata na mimi
Mie sipo dear humu kwani nimeshampata wangu mwaya
Gurudumu za mazwazwa nyo mnikome na HB langu mtaani weh mnikomeHongera sana Nyamwi255 ndani ya hizo siku 14 natumai da maua atashika gurudumu kulingurumisha tena, nitamisi sana nzuriπ€© zako πππππ.