Wahindi wanafanya kazi ya laki kwa buku 5Ndiyo maana ya maisha ni vita.
Dunia ya sasa si ya legelege.
Ukiamua unatiboa.
Pia Tanzania kutokuwa na PayPal ni changamotoNdiyo maana ya maisha ni vita.
Dunia ya sasa si ya legelege.
Ukiamua unatiboa.
Nipe uo chongoWatanzania ni waoga sana,wao wanachijua ni kutapeliwa tu.
Kama uko serious dm
Leta mchongoWatanzania ni waoga sana,wao wanachijua ni kutapeliwa tu.
Kama uko serious dm
Ok takuchkKule unapiga hata 100M kwa wiki ukiwa chumbani. Ila inahitaji ujue rules of the game. Watu wako siriasi sana. Culture yako inabidi isiwe ya mbongo wa kawaida.
Nakubali nilikua siamin online lakin nilipopewa mchongo wa maaan now nina uhakika wa 2M per month mamb yakiw mazuri mpaka 4MHabari za asubuhi na hongereni kwa majukumu ya utafutaji.
Kumekuwa na mijadala mingi sana huu ya pesa mtandaoni. Na kuna baadhi wametoa shuhuda jinsi wanavofanikiwa kwa njia mbalimbali za mtandaoni.
Mtandaoni kuna pesa kikubwa upate njia sahihi za kufanya, tuache woga wa uthubutu na kuziba masikio kusikiliza wakatisha tamaa.
Kumbuka ukisita wenzio wanasonga mbele.
Nawasilisha.
kudaadeki!! si umwage mtama tudonoe?Nakubali nilikua siamin online lakin nilipopewa mchongo wa maaan now nina uhakika wa 2M per month mamb yakiw mazuri mpaka 4M
Broo wap hukoo tupeane michongo aiseeNakubali nilikua siamin online lakin nilipopewa mchongo wa maaan now nina uhakika wa 2M per month mamb yakiw mazuri mpaka 4M
Habari za asubuhi na hongereni kwa majukumu ya utafutaji.
Kumekuwa na mijadala mingi sana huu ya pesa mtandaoni. Na kuna baadhi wametoa shuhuda jinsi wanavofanikiwa kwa njia mbalimbali za mtandaoni.
Mtandaoni kuna pesa kikubwa upate njia sahihi za kufanya, tuache woga wa uthubutu na kuziba masikio kusikiliza wakatisha tamaa.
Kumbuka ukisita wenzio wanasonga mbele.
Nawasilisha.
Ni unyanyasaji pia, auu pia ni kama unaenda kutengeneza tatizo lingine kwa watu, why Whatsapp!?Nipo WhatsApp 0746271035