Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
New version?Hayo ya kina slow slow
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
New version?Hayo ya kina slow slow
Kwani aliyeahidi hizo ajira umewahi kumsikia akiongea ukweli hata Mara moja!?Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira zawaalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea Tamisemi imekumbwa na nini.
Mwenye taaarifa sahihi atujuze.
Wamesema nanukuu hawatazid 800 wewe unananiandikia 10000, daaaahh ni hatariHata wakiajiri 10000, waliostaafu ni wangapi?
Walimu waliostaafu toka 2015 mpk leo ni wangapi?Wamesema nanukuu hawatazid 800 wewe unananiandikia 10000, daaaahh ni hatari
Yap hizo ndio gari zaoNew version?
Kuajiri hakutegemei waliostaafu kuna tegemea na uwezo wa kifedhaWalimu waliostaafu toka 2015 mpk leo ni wangapi?
Toyota Land Cruiser V80? Unakijua unachoongea?Yap hizo ndio gari zao
Wamesema hela hawana lile lilikuwa ni joto la kupoza watafutaji wa ajiraWalimu waliostaafu toka 2015 mpk leo ni wangapi?
Hela hawana na wakati wameagiza ndege 4 kwa cash?Wamesema hela hawana lile lilikuwa ni joto la kupoza watsfutaji wa ajira
Kaka nenda kwenye uzi wa magari mimi hata baiskeli sina unaniuliza injini za za magariToyota Land Cruiser V80? Unakijua unachoongea?
Unajua types of engine shapes?
Kule kuna ¹0%Hela hawana na wakati wameagiza ndege 4 kwa cash?
Uongo mtupu! (Akili za kuambiwa changanya na za kwako! JK 2013!.)Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira zawaalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea Tamisemi imekumbwa na nini.
Mwenye taaarifa sahihi atujuze.
Kwahiyo unashauri nini wahanga wote wa ajira bila kujali huyu ni mwalimu,nesi , wahasibu watu wajilipue kwa Tundu october 28Uongo mtupu! (Akili za kuambiwa changanya na za kwako! JK 2013!.)
Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira zawaalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea Tamisemi imekumbwa na nini.
Mwenye taaarifa sahihi atujuze.
Daaah ni hatari sana ila raisi tulie nae hafaiJiwe alitegemea hizi ajira zimpe unafuu ktk kampeni aache kusomba watu na kutumia wasanii ktk miktano yake. Lkn matokeo yake akaona hali inazidi kuwa mbaya. Ameachana nazo. BTW hata fedha hakuna zimetukika kukodi malori