Zile ajira za walimu 13,000 zimeyeyukia wapi?

Zile ajira za walimu 13,000 zimeyeyukia wapi?

Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Zitatoka baada ya uchaguzi. Lengo la kuzichelewesha ni hofu ya kunyimwa kura kwa walimu watakaomiss
 
Kutokana na msoto niliopitia na ninaoendelea kuupitia mtaani, Endapo ikitokea nikapata ajira kabla ya tarehe ya uchaguzi (28/10) basi kura yangu,mama yangu, wadogo zangu na baba yangu zote kwa JPM...
Huko kuzimu huendi kupumzika, chagua Mh Lissu kwa maendeleo yako na taifa kwa ujumla

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira za waalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea Tamisemi imekumbwa na nini.

Mwenye taaarifa sahihi atujuze.
Wewe uliomba?
 
Kazi ya kuchambua inaendelea ulinzi umeimarishwa Kila kona
Kaeni KWA kutulia
 
Ooooh God , this is too sad ,Tanzania is bleeding !!!!!! Because of dictators who are merciless to citizens , But we are very strong with the power of the Lord.

#We shall overcome these bloody regimes .😭😭😭😭
 
tujiandae daaah hawa watu si wazuri hamna ajra aidi ya propaganda
 
Waliomba hizo ajira ni karibu laki moja sasa wakitoa hizo ajira kwa hao 13000 hao waliobaki si wataifyekelea hiyo ccm
 
Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira za waalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea TAMISEMI imekumbwa na nini.

Zimebaki siku 4 hakuna mtumaini yeyote na uchaguzi ukishappita tusitegemee ajira kutoka serikalini.
Usisahau 28.10
 
Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira za waalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea TAMISEMI imekumbwa na nini.

Zimebaki siku 4 hakuna mtumaini yeyote na uchaguzi ukishappita tusitegemee ajira kutoka serikalini.
Kwani,uongo ngapi zimetoka kwa watu hawa,huo ulikuwa wakuombea maslahi yao ,fanya kosa,baadae utajuta.Akili kumkichwa.
 
Kuna watu walkuwa wanadaiwa ada,sijui pesa walipata wapi za kulipa ada na kuchukua Vyeti vyao,Kuna jamaa niliona analipa laki 6
 
Mwezi wa 9 serikali ilitangaza ajira za waalimu zipatazo 13,000. Lakini mpaka sasa hakuna kitu chochote kinachoendelea TAMISEMI imekumbwa na nini.

Zimebaki siku 4 hakuna mtumaini yeyote na uchaguzi ukishappita tusitegemee ajira kutoka serikalini.
Ndugu, kama ajira hazikutolewa kwa miaka mitano ulitegemea zitolewe kwa mwezi mmoja? Mind you, Hiki ni kipindi cha uchaguzi

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom