Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Nikwambie nini? Swali limeulizwa kama huna jibu tupa kuleTuambie wewe mjuaji
FC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikwambie nini? Swali limeulizwa kama huna jibu tupa kuleTuambie wewe mjuaji
FC.
Lord denning hajui maana ya mauzo kwenye Modern World 😂😂Sasa hivi kuna mpya ya ukiingia Loliondo inajiandika kwenye simu “United Arab Emirates” na ukiingia Handeni Tanga inajiandika kwenye simu “Qatar MTN”.
Tanzania haijawahi acha kunishangaza.
HahahahahaMaandamano Nchi nzima kudai KATIBA MPYA na Mkataba wa Bandari.
Nilikuwa Ngorongoro juzi bwashee simu yangu haikusoma karibu United Arab Emirates!Lord denning hajui maana ya mauzo kwenye Modern World 😂😂
Wewe ni miongoni mwa wale mbwa?Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?
Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?
Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?
Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?
Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!
Nawasubiri na majibu yenu
Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!
Cc. FaizaFoxy The Boss
Hayo mimi siyajui naongelea haya ya hapa.Hahahahaha
Yale ya Diaspora kuandamana kwenye balozi ya UAE yaliishia wapi? Hamkutupa mrejesho
Acha jazba na matusi jibu swali🤣🤣🤣
Kwa hiyo hujui kuwa mliitisha maandamano ya Diaspora na mkapuuzwa? Maana Diaspora wanaishi na watu wenye akili hivyo wanajua kutofautisha kati ya pumba na mchele?Hayo mimi siyajui naongelea haya ya hapa.
Tuongelee haya ya hapa tafadhali.Kwa hiyo hujui kuwa mliitisha maandamano ya Diaspora na mkapuuzwa? Maana Diaspora wanaishi na watu wenye akili hivyo wanajua kutofautisha kati ya pumba na mchele?
Yapi hayo?Tuongelee haya ya hapa tafadhali.
Hilo ndo jibu lako?Umehongwa au ni HAMNAZO?
HUONI NYOMI ZA CHADEMA!?Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?
Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?
Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?
Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?
Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!
Nawasubiri na majibu yenu
Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!
Cc. FaizaFoxy The Boss
Ni Hilo tu.Hilo ndo jibu lako?
Polee sana.Ni Hilo tu.
Nyomi za Chadema ndo nini?HUONI NYOMI ZA CHADEMA!?
Maandamano baada ya siku 30.Yapi hayo?
Kwenye kanisa makini huwezi kuona kitu kama hicho. Labda huko kwenye imani yenu ambako mnagombania umiliki wa nyumba za ibada anaweza kukuta hayo unayoshudia sada hivi pale Sh.....Ubwabwa akianza mahubiri ya vitu vya kufikirika ndiyo huwa mnatoka nje.Kanisani kwetu Leo padre alivoanza kusoma waraka, waumini wakaanza kusonya wengine wakaanza kutoka nje kwenda kukojoa maana waliona ni upuuzi kusikiliza porojo!!