Mkuu wewe ni me au ke?Kanisani kwetu Leo padre alivoanza kusoma waraka, waumini wakaanza kusonya wengine wakaanza kutoka nje kwenda kukojoa maana waliona ni upuuzi kusikiliza porojo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ni me au ke?Kanisani kwetu Leo padre alivoanza kusoma waraka, waumini wakaanza kusonya wengine wakaanza kutoka nje kwenda kukojoa maana waliona ni upuuzi kusikiliza porojo!!
Wewe utakuwa ni wale wa dini za majiniHizo PhD za maaskofu ni za kusoma bibilia, PhD ya bibilia hata wewe ukikaza unaipata ndani ya mwez mmoja, halafu pia kumbukeni divai na dompo ni sawa Sawa na ziro kujumlisha sifuri, we imagine PhD 30 zipige dompo/divai halafu zikae mezani ziandike waraka, huo waraka lazima ujae porojo.
Z
Dini za majini ndo zipi hizo?Wewe utakuwa ni wale wa dini za majini
Wale wanaoamini kuwa kuna majini wazuri na majini wabaya na wakifa watapewa mabikra 72.Dini za majini ndo zipi hizo?
Kwahiyo ukiamini hivo ndo unakuwa unaamini dini ya majini au sio?Wale wanaoamini kuwa kuna majini wazuri na majini wabaya na wakifa watapewa mabikra 72.
Unasema ukishaini mkataba ni lazima, kwanini huo ulazima uwe wa upande mmoja, kama ni lazima taarifa apewe yeye kwanini isiwe lazima kwake kuwekeza sehemu aliyopewa taarifa? Unajua nabishana na mtu uliyeamua kupotosha kwa sababu ya political milage, lkn kiuhalisia ule mkataba upo poa na wala hauna shida yoyote ni basi tu mnatafuta sifa za kipuuzi.Kumpa taarifa ili kama yeye hataki ndio aturuhusu ni utaahira kwa sababu akitokea mshindani wake mwenye uwezo na ubora zaidi yake atamuwekea uzibe kwa kisema atawekeza yeye hivyo huyo moonzani wake asipewe, na hivyo tutakosa fursa ya iwekezaji toka kwa mwenye uwezo nanubora zaidi yake.
Halafu leo nikikwambia usilale na mkeo hadi unijulishe kama nina hamu nae siku hiyo au sina hamu nae ndio nikwambie endelea, inaingia akilini hiyo?!
We unahisi ntakuwa upande gani?Mkuu wewe ni me au ke?
Wamehamia kwa wa Masai, soon watahamia kwa Konde boy EP. wazee wakuruka na trend.Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?
Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?
Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?
Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?
Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!
Nawasubiri na majibu yenu
Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!
Cc. FaizaFoxy The Boss
Mie ni mkatolic kabisa!Wewe utakuwa ni wale wa dini za majini
Binafsi sikubaliani na Ccm ktk baadhi ya mambo mengi tu, ila kwa huu uongo wa kitoto unauzushwa na watu wazima wenye nia ya kuchukua nchi ni aibu sana.Daaah alafu wanaongea hayo wanatuona kama sisi wote hatufikirii
Hizo PhD si ndio zinazopitishaga Ushoga ?Kwenye kanisa makini huwezi kuona kitu kama hicho. Labda huko kwenye imani yenu ambako mnagombania umiliki wa nyumba za ibada anaweza kukuta hayo unayoshudia sada hivi pale Sh.....Ubwabwa akianza mahubiri ya vitu vya kufikirika ndiyo huwa mnatoka nje.
Ogopa sana PhD zaidi ya 30 zikakaa chumba kimoja kisha kutengeneza andiko alafu ukadhani litakuwa andiko la kizembe. My friend Hii siyo dini ya majini hii.
Hahaha maaskofu wameumbuka vibaya, ila JK aliwaasa kuacha kuchanganya siasa na dini kwa maana dini ni imani ya kiroho na anayeongoza waumini haipendezi waumini wamtilie mashaka juu ya jambo Fulani linalohusu imani kwa sababu akitiliwa mashaka atadharaurika na waumini, ndicho kilichotokea sasaKanisani kwetu Leo padre alivoanza kusoma waraka, waumini wakaanza kusonya wengine wakaanza kutoka nje kwenda kukojoa maana waliona ni upuuzi kusikiliza porojo!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani Ngorongoro Imeuzwa?! [emoji209][emoji91][emoji23][emoji3]
HAKUNA UNACHOKIJUA KATIKA HILO.Hizo PhD si ndio zinazopitishaga Ushoga ?
Mkatoloc ndiyo mtu gani?Mie ni mkatolic kabisa!
Utakuwa ni ke ila mwanzo nilidhani ni meWe unahisi ntakuwa upande gani?
waraka unatosaAmani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?
Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?
Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?
Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?
Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!
Nawasubiri na majibu yenu
Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!
Cc. FaizaFoxy The Boss
Mkatolic sio mkatolic!!Mkatoloc ndiyo mtu gani?
Mwanzo ulikosea, Mie ni ke kwanini umeuliza hivyo?Utakuwa ni ke ila mwanzo nilidhani ni me
Nilitaka kujua tu. Asante kwa ufafanuziMwanzo ulikosea, Mie ni ke kwanini umeuliza hivyo?