Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa/ kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa/ kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Wewe kumbe mwehu!? Hebu leo njoo mimi na wewe tusaini mkataba wa jumla jumla tu, unaosema kwamba wewe utachukua hatua zote kuhakikisha kijana wangu wa kiume anamuoa binti yako na anampa mimba, hebu njoo tusaini huo mkataba, halafu uone nitakachojufanya mahakamani, pale uatakoposhindwa

1.) Kumshawishi binti yako akubali kuolewa na kijana wangu, akubali mwenyewe kwa hiari yake, hata kwa kumroga ikibidi, umroge!

2.) Utakaposhindwa kunipa pesa ya kutoa mahari kwa ajili ya kijana wangu kumuoa binti yako..

3.) Utakaposhindwa kufanya na kufanikisha maandalizi yote ya sendoff, na hata harusi...

4.) Utakaposhindwa kuandaa Honey nzuri ya binti yako kudungwa mimba vizuri..,

Njoo tusaini tu...
Wewe acha kukariri brela yenyewe kasajili kampuni nyingi tu ambazo zimetumia mkataba wa awali kama documents ya kutambulisha kuwa kuna watu Wana Wanashirikiana lkn mtaji uliowekwa Unakuwa ni nominated capital lkn kiuhalisia utaikuta hata mtaji haina Kabisa, sasa inapata kazi na inaalika kampuni yenye uwezo na wanaingia mkataba mahususi sasa ambao utakuwa na article of association, sasa wewe unashangaa IGA kuwa ni mkataba wa ujumla Ila ndani kunakuwa na mkataba mahususi.
 
Mkataba unasema kwamba, inapotokea fursa nyingine ya uwekezaji wa bandari, apewe taarifa?’, tunampa taarifa yeye kama nani? Tunoe taarifa iki iweje?! Nchi yao hii?!!

Sisi tushindwe kuendeleza rasilimali zetu bila yeye kujulishwa, na kama hana nia ndio atupe goa ahead ya kumtumia mtu mwingine? Kwanini akili mnawekaga makalioni wakati mnasoma hiyo mikataba?!
We jamaa ni mbumbu hivi kushawishi mwekezaji mkubwa kama DP world aje awekeze Huku makunduchi unazani ni kazi rahisi? Yaani TPA kutangaza fursa za uwekezaji kwako wewe unaona ni upuuzi? Watz tuna akili timamu hatuwezi kukabidhi nchi Kwa wapumbavu kama nyie ba-vichaaa msiokuwa na akili, Rwanda analipa mabilioni ya hela pale aseno Kwa kuwatangazia dunia waje waone fursa za uwekezaji, Ila TPA akifanya hivyo ktk uwanja wake we nyumbu unamuona Hana akili?
 
Wewe acha kukariri brela yenyewe kasajili kampuni nyingi tu ambazo zimetumia mkataba wa awali kama documents ya kutambulisha kuwa kuna watu Wana Wanashirikiana lkn mtaji uliowekwa Unakuwa ni nominated capital lkn kiuhalisia utaikuta hata mtaji haina Kabisa, sasa inapata kazi na inaalika kampuni yenye uwezo na wanaingia mkataba mahususi sasa ambao utakuwa na article of association, sasa wewe unashangaa IGA kuwa ni mkataba wa ujumla Ila ndani kunakuwa na mkataba mahususi.
Sawa, njoo tusaini huo mkataba niliokwambia sasa
 
We jamaa ni mbumbu hivi kushawishi mwekezaji mkubwa kama DP world aje awekeze Huku makunduchi unazani ni kazi rahisi? Yaani TPA kutangaza fursa za uwekezaji kwako wewe unaona ni upuuzi? Watz tuna akili timamu hatuwezi kukabidhi nchi Kwa wapumbavu kama nyie ba-vichaaa msiokuwa na akili, Rwanda analipa mabilioni ya hela pale aseno Kwa kuwatangazia dunia waje waone fursa za uwekezaji, Ila TPA akifanya hivyo ktk uwanja wake we nyumbu unamuona Hana akili?
Tofautisha kutangaza, na kushurutishwa na mtu ambae umeshasaini nae mkataba wa uwekezaji, kwamba ni kazima ajulishwe kabla hatujafanya uwekezaji kama huo kwingine kokote...,

Sasa kujulishwa kwa lengo lipi na kwa mantiki ipi? Kwamba yeye ndio mmiliki wa hii nchi?
 
Kuna wale ng’ombe wa TEC sijui wanaharisha wapi saa hii
 
Sawa injinia wa mkataba ngoja nikaisome!
Nakwambia hujaisoma na nina hakika hujaisoma kwasababu hujui hata vile vifungu kule ndani ya ule mkataba vinazungumzia kitu gani, umekaririshwa na wanasiasa kuna HGA inafuata ndio majibu unayonipa mimi, wala hujui lengo lao kusema hivyo ni kupoteza muda tu, wakijua HGA wataificha.

Nenda kaisome ile IGA uielewe, inawezekana unaisoma tu kama gazeti la Sani ndio ujue kama majibu ya wanasiasa uliyokaririshwa yana maana.
 
Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.

Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?

Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?

Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?


Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!


Nawasubiri na majibu yenu

Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!


Cc. FaizaFoxy The Boss
Kila nikifikiria aliyewaroga watanzania ni nani huwa nakosa majibu. Hasa ninapowatazama watu kama wewe.
 
Tofautisha kutangaza, na kushurutishwa na mtu ambae umeshasaini nae mkataba wa uwekezaji, kwamba ni kazima ajulishwe kabla hatujafanya uwekezaji kama huo kwingine kokote...,

Sasa kujulishwa kwa lengo lipi na kwa mantiki ipi? Kwamba yeye ndio mmiliki wa hii nchi?
Kujulisha, kutangaza na kutaarifu, tafsiri yake ni kumpa mtu taarifa ya kitu asichokifahamu, sasa TPA ana mamlaka ya bandari zote Tanganyika sasa tayari ana HGA na dpw mathalani bandari ya daresalam, sasa kuna ubaya gani TPA kumtaarifu dpw kwamba njoo na Huku mwanza au kigoma kuna fursa na Huku uje uwekeze? Tatizo Una tafsiri mambo Kwa Political milage ndo linakuja suala la upotoshaji na hoja za nguvu!
 
Ulevi huu..
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?

1694358941847.png
1694358941847.png
 
Sawa, njoo tusaini huo mkataba niliokwambia sasa
Nakuja Ila pia sitachoka kukuelimisha we nyumbu wa mbowe, ili uelewe vizuri IGA na economic integration is like the same tofauti yake IGA inahusisha nchi mbili wakati economic integration inajumuisha nchi nyingi, integration ina Mou ambayo ni mkataba unaelezea Kwa ujumla, mfano ECOWAS Wana kipengele cha free movement of capital and labour, yaani nchi wanachama Wana uhuru wakuwekeza au kuajiriwa ktk nchi mchama, so mfano kampuni ya Nigeria ina haki ya kuwekeza Ghana au Niger lkn ni mpaka iwe imeona kuna fursa, na nchi wachama Wana haki wakiyatangazia fursa na kipaumbele makumpuni wachama. Na yakiona fursa lazima yataingia mkataba ktk eneo hususi hawatatumia mkataba wa Mou wa integration so vitu simple kama hivyo mnashindwaje kuelewa?
 
Kujulisha, kutangaza na kutaarifu, tafsiri yake ni kumpa mtu taarifa ya kitu asichokifahamu, sasa TPA ana mamlaka ya bandari zote Tanganyika sasa tayari ana HGA na dpw mathalani bandari ya daresalam, sasa kuna ubaya gani TPA kumtaarifu dpw kwamba njoo na Huku mwanza au kigoma kuna fursa na Huku uje uwekeze? Tatizo Una tafsiri mambo Kwa Political milage ndo linakuja suala la upotoshaji na hoja za nguvu!
Ni kwanini hilo la kujulisha mtu iwe lazima? Maana ukiweka kwenye mkatana na kusaini tayari legally binding? Kwnaini DPW awekwe sharti hilo, kama sisi ndio tunamuhitahi, kwanini tubanwe kumjukisha kisheria, hata kama tumepata mtu bora zaidi yake, kwanini mktaba umpe monopoly ya kujulishwa na kuamua kama atamruhusu mpinzani wake aliye bora zaidi yake au kama ataamua kumuwekea uzibe na kutukosesha miwekezaji bora zaidi na kusema atafanya yeye hata kama hana nia wala uwezo? Utaahira huu ni kwa faida ya nani?
 
Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.

Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?

Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?

Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?


Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!


Nawasubiri na majibu yenu

Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!


Cc. FaizaFoxy The Boss
Kama huna AKILI hata ukipewa majibu utaelewa ndugu yangu,maana kama hukuelewa juu ya kelele zile za watu utaelewa majibu watakayo kupa.Ushauri ninaokupa ni huu kwa herufi kubwa UKIONA WATU WENYE AKILI WANASHAURI MAMBO YA KITAIFA WW TULIA UACHE WENYE AKILI WAFANYE KAZI YA AKILI.
 
Okay, hebu leo njoo tusaini mkataba wa kunipa nyumba yako nikae humo na kuiendeleza, na tusiseme nitakaa kwa muda gani, nitakulipa nini..,na nitaiemdeleza vioi na kwa kiwango gani..., hayo tusaini kwenye mkataba ujao baada ya kusaini huu wa kwanza, hebu njoo tusaini halafu uone nitakachokufanya...
Hilo tayari ni eneo hususi lazima tusaini article of association lkn tunaweza tukawa na mkataba wa jumla (Mou) kuwa tutakuwa na ushirikiano wa kutafutiana wateja kwenye fremu za nyumba yangu, commission yako Itategemea offer ya mteja so vitu simple kama hivyo mnashindwaje kuelewa?
 
Ni kwanini hilo la kujulisha mtu iwe lazima? Maana ukiweka kwenye mkatana na kusaini tayari legally binding? Kwnaini DPW awekwe sharti hilo, kama sisi ndio tunamuhitahi, kwanini tubanwe kumjukisha kisheria, hata kama tumepata mtu bora zaidi yake, kwanini mktaba umpe monopoly ya kujulishwa na kuamua kama atamruhusu mpinzani wake aliye bora zaidi yake au kama ataamua kumuwekea uzibe na kutukosesha miwekezaji bora zaidi na kusema atafanya yeye hata kama hana nia wala uwezo? Utaahira huu ni kwa faida ya nani?
Ndomana nakwambia mkataba unautafsiri kinyume nyume, sio lazima amtaarifu na hayo mambo ya mpaka sijui dpw akubali ni hisia zenu, sasa wewe mbowe hivi kwani kumtaarifu mwekezaji mwenye CV zilizoshiba kama dpw aje aone fursa kuna ubaya gani hapo?
 
Sawa injinia wa mkataba ngoja nikaisome!
Tena ukausome na kuuelewa ili usilete ngonjera za wanasiasa hapa, haiwezekani IGA ambayo ni kama msingi wa makubaliano ikosewe, kisha useme utarekebisha kwenye HGA, hakuna nyumba inayojengwa kwa msingi mbovu ikasimama hata siku moja!
 
Tena ukausome na kuuelewa ili usilete ngonjera za wanasiasa hapa, haiwezekani IGA ambayo ni kama msingi wa makubaliano ikosewe, kisha useme utarekebisha kwenye HGA, hakuna nyumba inayojengwa kwa msingi mbovu ikasimama hata siku moja!
Sawa profesa wa mikataba!!
 
Ndomana nakwambia mkataba unautafsiri kinyume nyume, sio lazima amtaarifu na hayo mambo ya mpaka sijui dpw akubali ni hisia zenu, sasa wewe mbowe hivi kwani kumtaarifu mwekezaji mwenye CV zilizoshiba kama dpw aje aone fursa kuna ubaya gani hapo?
Mkataba unasema lazima umjulishe..., sasa kwa ini iwe lazima? Why?
 
Back
Top Bottom