Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa/ kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa/ kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Ndomana nakwambia wewe ni nyumbu umemeza porojo za mbowe hivi serikali ilivyochukua hatua kusimamia wananchi wake kulipwa fidia sehemu linapopita bomba la mafuta kutoka Uganda kwenda bandari ya tanga ni kwamba serikali imemlipia fidia TOTAL? Tatizo mkataba mnautafsiri Kwa mujibu wa matamanio yako Ila si hivyo ulivyo.
Mkataba wa Total na Tanzania ulieleza vaguely tu kwamba Tanzania itachukua hatua zote zinazotakiwa iki ardhi ipatikane?

Mkataba unakuwa specific unapoeleza hatua ili ardhi ipatikane, weka huo wa Total uone kama ulitamkantu kwa whole sale kwamba sisi tuchukue hatua zote ik iardhi ipatikane, lazima utakuwa ukispecify hatua ipi na ipi!

Sasa ukisema hatua zote zinazohitajik, je hatua ya kulipa fidia sio hatua? Je haihitajiki? Maana mkataba usije ukauchukulia kama unaandika barua ya uchumba..
 
Sasa hii ndio inaeleza kile kile tunachohoji, kwamba ni kwanini tuombe ruhusu kabla ya kuingia makubaliano na mwekezaji mwingine juu ya uendelezaji wa bandari nyingine yeyote ndani ya Tanganyika? Yaani sisi tumpe yeye taarifa?! Yeye kama nani ndani ya nchi hii?! Mmmetuingiza kwenye huu utumwa kwa faida ya nani?
Huo ni ufinyu wako wa mawazo TPA kuitangazia fursa za uwekezaji si kuiomba ruhusa ni vile tu umeamua kutafsiri kinyume nyume, kuna nchi zinatumia mabilioni ya hela kutangaza fursa za uwekezaji nchini mwao, sasa wewe unaona ajabu TPA kuitangazia fursa dpw? Ushamba kweli ni mzigo.
 
Sema we ndo unaelewa kinyume kinyume, dpw ni kampuni credible sasa tayari Una mkataba naye wa HGA dar na anachapa kazi vizuri then ukaona kuna uhitaji wa mwekezaji mwanza sasa kuna umuhimu gani wa kwenda kuanza mazungumzo mapya na kampuni ingine wakati Una mdau wako tayari ushalizishwa na kazi yake? Kama dpw ataboronga HGA ya dar then TPA akawa anatafuta mwekezaji bandari ya mwanza, IGA haimbani TPA kutafuta mwekezaji mwingine na ndomana hata sasa anatafuta mwekezaji gati na8 coz hajaingia HGA na dpw katika Hilo eneo hususi Ila tayari Wana IGA.
Jibu hoja, kwanini tuombe ruhusa kuendeleza rasilimali zetu?! Hiyo ndio hoja! Kama ni credible mbona Djibouti wamemtimua ?! Tunajadili hoja, sio hisia!!
 
Huo ni ufinyu wako wa mawazo TPA kuitangazia fursa za uwekezaji si kuiomba ruhusa ni vile tu umeamua kutafsiri kinyume nyume, kuna nchi zinatumia mabilioni ya hela kutangaza fursa za uwekezaji nchini mwao, sasa wewe unaona ajabu TPA kuitangazia fursa dpw? Ushamba kweli ni mzigo.
Kushurutishwa kwenye mkataba kutaarifu kabla ya kufanya uendelezaji kwenye eneo tofauti na la mkataba ni kuomba ruhusa, huu utumwa ni kwa faida ya nani? Hiyo ndio hoja!
 
Acha kulisha maneno watu wewe, hao wote hawajawahi kusema hivyo Bali wamekuwa wakifafanua kuwa, IGA ni mkataba/makubaliano ya awali na kuna mkataba/makubaliano wa HGA ndo utaeleza maeneo mahususi.
Kwamba unataka nikuwekee clip zao wakikanusha kwamba ule sio mkataba? Hivi hamna aibu? Ingia youtube zikmejaa tele
 
Mkataba ambao hausemi watatugawia nini, wakija kutugawia 0% tutapinga kwa msingi upi?
Pia hicho kifungu ulichoweka si kinaeleza wazi kwamba msamaha wa kodi utajapohitajika utatolewa kwa mwekezaji (DPW)..., na sheria si zinaruhusu kutoa msamaha wa kodi? Hoja ni kwamba kwanini pamoja na kwamba sisi ndio tuliokuwa tunamiliki hiyo bandari (kabla ya mkataba), na sisi ndio tulikopa matrillion kuiendeleza, na hadi sasa tunakamuliwa kodi za miamala ya simu kulipa mkopo huo, halafu yeye aje apewe bure kabisa..., na bado apewe msamaha wa kodi (sheria inaruhusu kutoa hadi 100%), sasa akija kudai kwa kadri mkataba unavyosema, tutamnyima huo msamaha kwa msingi upi ili hali tumeshakubaliana na kusaini kwenye mkataba?
Hiyo sie tunapata 0% ipo kwenye kifungu gani? Tatizo chadema huwa mna hoja za nguvu sio nguvu za hoja, unaelezea kabisa IGA haiwezi kusema utapata shingapi koz feasibility ya eneo hususi bado haijafanyika, ikifanyika kwenye HGA itaelezea TPA anapata shingapi na dpw anabakiwa na shingapi, msamaha wa Kodi ni haki Kwa makampuni kama watakuja na hoja za msingi hii inafanyika nchi nyingi pia ni sehemu ya kuvutia wawekezaji hivi nyie ba-vichaaa mkishika Dola kweli mtaweza kufanya kazi na sekta binafsi kweli?
 
Mkataba wa Total na Tanzania ulieleza vaguely tu kwamba Tanzania itachukua hatua zote zinazotakiwa iki ardhi ipatikane?

Mkataba unakuwa specific unapoeleza hatua ili ardhi ipatikane, weka huo wa Total uone kama ulitamkantu kwa whole sale kwamba sisi tuchukue hatua zote ik iardhi ipatikane, lazima utakuwa ukispecify hatua ipi na ipi!

Sasa ukisema hatua zote zinazohitajik, je hatua ya kulipa fidia sio hatua? Je haihitajiki? Maana mkataba usije ukauchukulia kama unaandika barua ya uchumba..
Hivi chadema mna matatizo gani nyie sasa IGA ieleze yote hayo huo mkataba si utakuwa kurasa milioni kumi? Kwenye HGA mmeambiwa yote hayo yatakuwepo kulikoni nyie vichwa ngumu mnashindwa kuelewa?
 
Jibu hoja, kwanini tuombe ruhusa kuendeleza rasilimali zetu?! Hiyo ndio hoja! Kama ni credible mbona Djibouti wamemtimua ?! Tunajadili hoja, sio hisia!!
HOJA zenyewe hizo za kutumia nguvu ni hoja? Yaani TPA kutangaza na kushawishi mwekezaji aje awekeze ndo imekuwa kuomba ruhusa?
 
Hiyo sie tunapata 0% ipo kwenye kifungu gani? Tatizo chadema huwa mna hoja za nguvu sio nguvu za hoja, unaelezea kabisa IGA haiwezi kusema utapata shingapi koz feasibility ya eneo hususi bado haijafanyika, ikifanyika kwenye HGA itaelezea TPA anapata shingapi na dpw anabakiwa na shingapi, msamaha wa Kodi ni haki Kwa makampuni kama watakuja na hoja za msingi hii inafanyika nchi nyingi pia ni sehemu ya kuvutia wawekezaji hivi nyie ba-vichaaa mkishika Dola kweli mtaweza kufanya kazi na sekta binafsi kweli?
Mkataba ambao hausemi utapata nini, maana yake umeachia mwanya kwa anaekupa kukupa kile atakachoona kinamfaa yeye.., tukija kupewa 0%, unaikataa kwa mkataba upi? Au utadai 50% kwa makubaliano yapi?! Au unatupenda kwamba atatupa nyingi bila kubanwa na mkataba kisa anatupenda?!

Hayo mambo ya kuja kusema tutakuja kusaini mkataba mwingine ni utaahira tu, kwanini tulisaini mkataba ambao hausemi tutapata nini, ila unasema tutatoa nini?! Yaani tutanachitoa kinafahamika completely, ila tutachopokea hakijukikani, completely!! Tunasubiri huruma yake kwamba atatupa nini?!! Mmerogwa??!!
 
Kushurutishwa kwenye mkataba kutaarifu kabla ya kufanya uendelezaji kwenye eneo tofauti na la mkataba ni kuomba ruhusa, huu utumwa ni kwa faida ya nani? Hiyo ndio hoja!
Hoja zako ni za kipuuzi halafu ni za kulazimisha, narudia TPA kuitangazia fursa za uwekezaji dpw si kuomba ruhusa Bali ni sehemu ya wajibu wa TPA kuvutia wawekezaji.
 
Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.

Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?

Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?

Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?


Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!


Nawasubiri na majibu yenu

Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!


Cc. FaizaFoxy The Boss
Ila Watanzania huwa..... ashakum si matusi (tu wajinga sana) hapa kwanza ncheke... 🤣🤣🤣. Wakati kina Jerry Slaa wanafafanua mkataba kwamba haijauzwa nchi nzima tena Kwa ushahidi wa yaliyomo kwenye mkataba wala watu hawakutaka kuwasikiliza ila wapotoshaji wanasikilizwa hadi kutukosesha amani.

Hapa naamini TEC na wanasiasa uchwara wana maslahi binafsi na bandari.

Nalog off... DP world🤩
 
Hivi chadema mna matatizo gani nyie sasa IGA ieleze yote hayo huo mkataba si utakuwa kurasa milioni kumi? Kwenye HGA mmeambiwa yote hayo yatakuwepo kulikoni nyie vichwa ngumu mnashindwa kuelewa?
Wewe kumbe mwehu!? Hebu leo njoo mimi na wewe tusaini mkataba wa jumla jumla tu, unaosema kwamba wewe utachukua hatua zote kuhakikisha kijana wangu wa kiume anamuoa binti yako na anampa mimba, hebu njoo tusaini huo mkataba, halafu uone nitakachojufanya mahakamani, pale uatakoposhindwa

1.) Kumshawishi binti yako akubali kuolewa na kijana wangu, akubali mwenyewe kwa hiari yake, hata kwa kumroga ikibidi, umroge!

2.) Utakaposhindwa kunipa pesa ya kutoa mahari kwa ajili ya kijana wangu kumuoa binti yako..

3.) Utakaposhindwa kufanya na kufanikisha maandalizi yote ya sendoff, na hata harusi...

4.) Utakaposhindwa kuandaa Honey nzuri ya binti yako kudungwa mimba vizuri..,

Njoo tusaini tu...
 
Kubishana na mtu aliyemeza kitu akitapike Kwa kweli ni shuhuli pevu, endelea kumeza utoporo uliolishwa na mbowe
Mkataba ambao hausemi utapata nini, maana yake umeachia mwanya kwa anaekupa kukupa kile atakachoona kinamfaa yeye.., tukija kupewa 0%, unaikataa kwa mkataba upi? Au utadai 50% kwa makubaliano yapi?! Au unatupenda kwamba atatupa nyingi bila kubanwa na mkataba kisa anatupenda?!

Hayo mambo ya kuja kusema tutakuja kusaini mkataba mwingine ni utaahira tu, kwanini tulisaini mkataba ambao hausemi tutapata nini, ila unasema tutatoa nini?! Yaani tutanachitoa kinafahamika completely, ila tutachopokea hakijukikani, completely!! Tunasubiri huruma yake kwamba atatupa nini?!! Mmerogwa??!
 
Unavyosema IGA sijaisoma unamanisha nini? Yaani kuisoma IGA mpaka uwe unatoka mbiguni au mars, mbona unajiona Una akili nyingi Sana kisa umesoma mkataba wa IGA? IGA inaelezea ushirikiano Kwa ujumla sababu inahusisha nchi na nchi, na hizo nchi wachama zina makampuni mamia kwa maelfu, so kampuni inapokuja kufanya kazi ktk eneo husika litaingia mkataba ktk eneo hususi wa HGA, hivi IGA ikielezea kila project itakayoingiwa huo mkataba si utakuwa na kurasa milioni kumi utaweza kuisoma?
Nakwambia hujaisoma na nina hakika hujaisoma kwasababu hujui hata vile vifungu kule ndani ya ule mkataba vinazungumzia kitu gani, umekaririshwa na wanasiasa kuna HGA inafuata ndio majibu unayonipa mimi, wala hujui lengo lao kusema hivyo ni kupoteza muda tu, wakijua HGA wataificha.

Nenda kaisome ile IGA uielewe, inawezekana unaisoma tu kama gazeti la Sani ndio ujue kama majibu ya wanasiasa uliyokaririshwa yana maana.
 
HOJA zenyewe hizo za kutumia nguvu ni hoja? Yaani TPA kutangaza na kushawishi mwekezaji aje awekeze ndo imekuwa kuomba ruhusa?
Mkataba unasema kwamba, inapotokea fursa nyingine ya uwekezaji wa bandari, apewe taarifa?’, tunampa taarifa yeye kama nani? Tunoe taarifa iki iweje?! Nchi yao hii?!!

Sisi tushindwe kuendeleza rasilimali zetu bila yeye kujulishwa, na kama hana nia ndio atupe goa ahead ya kumtumia mtu mwingine? Kwanini akili mnawekaga makalioni wakati mnasoma hiyo mikataba?!
 
Mie siwezi unafiki yaani maaskofu hawaruhusiwi kuoa lkn huku mtaani wamevunja ndoa za watu Kwa uzinzi na vimada kila mtaa wamewazalisha asa maisha ya kinafiki Mie siwezi
Kukaza kwenye nini wewe, mimi nazungumzia usomi wa maaskofu sio mambo ya unyumba kilaza..
 
Kubishana na mtu aliyemeza kitu akitapike Kwa kweli ni shuhuli pevu, endelea kumeza utoporo uliolishwa na mbowe
Okay, hebu leo njoo tusaini mkataba wa kunipa nyumba yako nikae humo na kuiendeleza, na tusiseme nitakaa kwa muda gani, nitakulipa nini..,na nitaiemdeleza vioi na kwa kiwango gani..., hayo tusaini kwenye mkataba ujao baada ya kusaini huu wa kwanza, hebu njoo tusaini halafu uone nitakachokufanya...
 
Back
Top Bottom