Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa/ kapewa mwarabu zimeishia wapi?

Lord denning hajui maana ya mauzo kwenye Modern World 😂😂
Nilikuwa Ngorongoro juzi bwashee simu yangu haikusoma karibu United Arab Emirates!

Au uuzwaji gani unausema? Maana mdau kasema hapo ameomba ushahidi hajapewa hadi saivi! Au wewe unao?🤣
 
Wewe ni miongoni mwa wale mbwa?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo hujui kuwa mliitisha maandamano ya Diaspora na mkapuuzwa? Maana Diaspora wanaishi na watu wenye akili hivyo wanajua kutofautisha kati ya pumba na mchele?
Tuongelee haya ya hapa tafadhali.
 
HUONI NYOMI ZA CHADEMA!?
 
Kanisani kwetu Leo padre alivoanza kusoma waraka, waumini wakaanza kusonya wengine wakaanza kutoka nje kwenda kukojoa maana waliona ni upuuzi kusikiliza porojo!!
Kwenye kanisa makini huwezi kuona kitu kama hicho. Labda huko kwenye imani yenu ambako mnagombania umiliki wa nyumba za ibada anaweza kukuta hayo unayoshudia sada hivi pale Sh.....Ubwabwa akianza mahubiri ya vitu vya kufikirika ndiyo huwa mnatoka nje.
Ogopa sana PhD zaidi ya 30 zikakaa chumba kimoja kisha kutengeneza andiko alafu ukadhani litakuwa andiko la kizembe. My friend Hii siyo dini ya majini hii.
 
Chawa wa mama Lord denning uliwahi hata mara moja kujibu hoja kwenye ule waraka wa TEC? au uliishia kutuletea habari za Escrow kama majibu yako ya kujibu hoja zile hata usikumbuke aliyekuwa kiongozi wakati wa Escrow alikuwa nani?

Ulikuwa unajidai kuupuuza ule waraka kumbe kila Jumapili ulikuwa unaenda kusomewa na kuusikiliza kwa uzuri wake, leo unafurahi waraka haujasomwa huko kwenu, kweli wewe kiumbe upo kama mdoli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…