ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Asante, kwa kweli kama ni mbio za kutoka dar kwenda mwanza leo asubuhi, muziki huu wa dansi wa zamani uko shinyanga bongo fleva pumzi imekata ndo wanaitafuta mlandizi!
je na hii inaitwaje kama hautomaindi;
....kuna gari limekuja hadi mlangoni kumuuliza akasema mjomba wake kaja..... Shikamoo ikaisha ikabaki vipi babu mambo zako eeee eeee...!
Nautafuta na huu ila sijajua title wala waliouimba ni kina nani.
Nyimbo za juu hapo zote nimezipata, alafu kuna wimbo mmoja wa Komando Hamza kalala Wa nimekusamehe lakini sitokusahauu alalala lalala laaa...
Niliusikiliza nikafurahi sana, kuna mtu kanikosea nimemtumia dedication, ni kijana mwenzangu tu ila kausikiliza ukamkolea juzi kaja kuniomba samahani hadi kupiga magoti!
oldies are timeless!
 
Hongera sana ila sasa una maktaba ndogo sana. Kuna nyimbo nyingi ambazo watu tunazo wewe huna.
 
Reactions: OTG
Hongera sana ila sasa una maktaba ndogo sana. Kuna nyimbo nyingi ambazo watu tunazo wewe huna.
Mkuu kusema Kweli nina Collection Kubwa mno ila Muda wakuzipakia nakosa ndio maana najitahidi kupakia angalao Tano kwa siku. Usjali Shughuli zikiniisha Nitazijaza Kule.
 
Mkuu mimi ni mpenzi sana wa nyimbo za akina double M sound, mchinga sound, tam tam nk. Kama kuna uwezekano tupia izo mambo mkuu
 
Mkuu mimi ni mpenzi sana wa nyimbo za akina double M sound, mchinga sound, tam tam nk. Kama kuna uwezekano tupia izo mambo mkuu
Mbona Tam Tam Ipo mkuu icheki utaipata kule na Hizi nyingine Nitaziweka mkuu usjali
 



Sawa.....ni hivi. Huu wimbo wa 'Shikamoo ikaisha...." ni Wimbo wa Super Rainbow chini ya Eddy Sheggy. Wimbo unaitwa "Milima Ya Kwetu, Part I. Huo wa Komando unaitwa: "Nimekusamehe," Au "Yaliyopita Si Ndwele." Waliufanyanyia remix na kulipa jina tofauti.
 
Jamani mimi kijana mwenzenu wa enzi hizo, nashindwa kudownload hizi nyimbo. Nikibofya ile sehemu ya *Download now* nyimbo inaplay badala ya kudownload.
Naombeni maelekezo wazee wenzangu
 
mkuu niwekee milima ya kwetu 1 na 2 kama ipo tafadhari
 
Jamani mimi kijana mwenzenu wa enzi hizo, nashindwa kudownload hizi nyimbo. Nikibofya ile sehemu ya *Download now* nyimbo inaplay badala ya kudownload.
Naombeni maelekezo wazee wenzangu
No inashusha Mkuu
 
TAFADHALINI SANA WANA JAMII FORUM NAOMBA MWENYE NYIMBO YA "BABA PAROKO" By JUNIOR MAKASI ANIPATIE AU AWEKE UKU NIDOWNLOAD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…