ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

0766728326. WhatsApp mkuu
Mkuu wangu wimbo, nimeungalia kwenye memory card, sijauona, nadhani upo kwenye frash, nitautoa kwenye frash, niuweke kwenye memory card ili nikurushie.
 
duh! Tunatishana
 
Mimi mkuu natafuta nyimbo mbili tu..
1. Penzi kikohozi yake Fresh Jumbe.

2. Hii ni taarab sijaijua jina, ila mashairi yake yanaimbwa hivi, "Yailahi shoga si shoga, Kumbe ni hasidi eeh
Nalia shoga si shoga, kumbe ni hasidi"
Kama nitazipata hizi mkuu, utakuwa umenisaidia sana.
 
Penzi ni kikohozi ya fresh Jumbe ipo humu, ameiweka labda hiyo ya taarabu.
 
Naomba wimbo wa soul n faith maumivu ya mapenzi
 
Hello wazee wa zilipendwa na muziki wa dansi.
Naweza kujua SIKINDE NGOMA YA UKAE watakuwa ukumbi gani siku ya Idd.?
Ukiweza nipe ratiba ya bend za muziki wa dansi siku ya Idd Mosi!

Mimi ni mnazi wa Nginde ngoma kubwa!
 
WIMBO WA BANZA STONE
UNAIMBWA HIVI

"MWENYE KWENU KWAHERI OOOH!! '
 
Pumzika kwa Amani Shaban Dede...

Mbele yako nyuma yetu...
 
Katika kumkumbuka Shaban Dede aliyefariki leo..Tujikumbushe nyimbo zake hizi zilizotamba

 
Hayati Shaban Dede amewahi kutamba na bendi kubwa za Bima Lee Orchestra (Magnet Tingisha) ,DDC Mlimani Park (Sikinde Ngoma ya ukae) na Msondi Ngoma Music Band
 
Nikuombe tafadhali, katika kumkumbuka marehemu Shabaan Dede tafadhali ungetuwekea hapa list ya nyimbo zake kadhaa zilizotamba katika hizo bendi alizopitia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…