Hahahaha babuu umenikumbusha enzi za vijana social hall pale mwanzo wa barabara ya kwenda mwananyamala.
Niliokuwa nawahusudu enzi hizo ni ;
. Moshi William, Eddy Sheggy na Kitime. Hapo umemsahau Maneti na Chidumule. Basi hapo aaah nayarudi hadi majogoooo. Hivi kumbe kupopo nilianza zamani eeeh.
Bila kumsahau solo wao Kida Waziri. Asante kwa zilipendwa babuu.
Aseeh. Ama kweli tumefaidi..Club gani sasa? Enzi hizo hakuna club kama hizi zenu hivi sasa...
Marijani rajabu...Ddc mlimani park,Maquiz orginal na maquiz du zaire,Marigani rajaɓ ɓaɓa ƴa mziki.Quɓain malimɓa na moro juzz,T.P.OK JUZZ ƴa fraco Luanzo Luambo makiadi eeeɓuana da kweli zilipendwa
Pale Magoti palikuwa chimbo la kwenda kuokota dada poa.... LOLAseeh. Ama kweli tumefaidi..
vilikuwa viwanja kama mnazi mmoja tu..
Kuna mzee mmoja huwa ananipigia hizi story sema naye mtia chumvi utamskia enzi zangu margot na pale mnazi tukiwa na papa miki na Ahmad kipande wa jazz sikamatiki.
Haya bhana Wahenga.
Mkuu Asprin ilikuwa raha ukisikia wimbo kutoka naquiz original unasema karuɓandika ,ukija naquiz du zaire kunawimɓo unaitwa kasongo ilikuwa raha.Pale Juwata kuna wimbo unaitwa Msafiri kafiri eeeheee eɓwana weeAseeh. Ama kweli tumefaidi..
vilikuwa viwanja kama mnazi mmoja tu..
Kuna mzee mmoja huwa ananipigia hizi story sema naye mtia chumvi utamskia enzi zangu margot na pale mnazi tukiwa na papa miki na Ahmad kipande wa jazz sikamatiki.
Haya bhana Wahenga.
Naupenda saana wimɓo wa mwanaeka ƙulikoMarijani rajabu...
Mkuu mimi sio Mhenga mwenzenu mimi nimeanza kuwasikiliza kina Saleh Jabri.Mkuu Asprin ilikuwa raha ukisikia wimbo kutoka naquiz original unasema karuɓandika ,ukija naquiz du zaire kunawimɓo unaitwa kasongo ilikuwa raha.Pale Juwata kuna wimbo unaitwa Msafiri kafiri eeeheee eɓwana wee
Hizi zikipigwa hata leo bado zinavutia... Lakini piga wimbo wa DuduBaya "Nakupenda tu jinsi ulivyo" uone kama utakuwa na hamu ya kuusikiliza...Mkuu Asprin ilikuwa raha ukisikia wimbo kutoka naquiz original unasema karuɓandika ,ukija naquiz du zaire kunawimɓo unaitwa kasongo ilikuwa raha.Pale Juwata kuna wimbo unaitwa Msafiri kafiri eeeheee eɓwana wee
Rushia picha yako moja umevalia masantula basi...
Jamaa sijui alifia wapi... alileta mapinduzi ya bongo fleva kwa kuweka lugha ya kiswahili kwenye miziki ya mamtoni.Mkuu mimi sio Mhenga mwenzenu mimi nimeanza kuwasikiliza kina Saleh Jabri.
View attachment 680968
Kasinde ni huyo wa nyuma aliyevaa teremka tuzozee. .....
Babu nitake radhi me muhenga na uliowaweka wote nawajua nilicheza nao
Sabalakheri waungwana...
Kuna dogo mmoja kaimba kawimbo kanaitwa "Zilipendwa"
Waweza kukuta hata hawa hajawahi kuwasikia....
View attachment 680879
Wahenga: Mtambuzi KakaKiiza Kaizer, Bigirita Dark City mshana jr PakaJimmy Arushaone @Blakiwomani, Sky Eclat MwanajamiiOne snowhite gfsonwin Nyani Ngabu Kasie KARIA MENGELENI KWETU BAK et el mnaifahamu hii cabinet???
Hapa vitoto kama Daby Shunie, espy Ms.Lincoln Inna Evelyn Salt Madame B vilikuwa bado vinakojoa kitandani...
Enzi za Empire, Cameo, New Chox, Drive Inn et el... enzi za Silent Inn, DDC Magomeni, Tazara(hapa najua kuna watakaojifanya waliikuta), Klm Hotel Poolside, New Africa .......... Dah!!
CC Sakayo emmyta
Ahsante Grants kwa ufunuo huu...
Wasalaam, ODM.
Wazee hukumbuka!
Enzi zetu wahenga kulikuwa na burudani za kipekee (unique entertainment)
Zama hizi wimbo ukishatamba for one month unatupwa na kusahauliwa.
Old is Diamond....ah sorry Old is Gold.
Ambia yeye....Mimi nawe tulicheza pamoja udogoni hasa ule mchezo wetu pendwa wa Baba na Mama. 🙂
Haha..View attachment 680968
Kasinde ni huyo wa nyuma aliyevaa teremka tuzozee. .....
Bila kumsahau Adili kumbuka wa kwanza unitJamaa sijui alifia wapi... alileta mapinduzi ya bongo fleva kwa kuweka lugha ya kiswahili kwenye miziki ya mamtoni.
Unaonaje pozi langu na hiyo kofia kama ya Museveni??
View attachment 680969