wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,172
- 1,128
Sio mbaya hii pia inatosha mkuuCna uhakika yaweza kuwa juwatta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya hii pia inatosha mkuuCna uhakika yaweza kuwa juwatta
Julie mm ninayo nakupaje sasa
Julie mm ninayo nakupaje sasa
Julie mm ninayo nakupaje sasa
kaka naomba nitumie whatsaap 0757093134Julie mm ninayo nakupaje sasa
Huo wimbo unaitwa MINUU na bendi marquizKuna wimbo Sijui jinale Ila kuna mistari ipo naikumbuka kama hii "[emoji445]ona Sasa wivu wako nilikubembeleza, usiku mzima ubadili uamuzi wako nilijua waliokudanganya wako wapi, wamekuacha hunapakuanzia [emoji445]
Kama utakuwa unaupata huu wimbo nimvuzishia jina lake
Asante mkuu huu wimbo una mengi masahibuHuo wimbo unaitwa MINUU na bendi marquiz
Kama sikosei aliutunga Tshimanga Kalala AsosaAsante mkuu huu wimbo una mengi masahibu
Sema nimeusaka lakini sijaupata ila umebaki moyoni kwa hisia natamani kama ningeupataKama sikosei aliutunga Tshimanga Kalala Asosa
Ni kweli kabisa hujakosea mkuuKama sikosei aliutunga Tshimanga Kalala Asosa
Solemba hii historia ya kweli kabiisaSolemba solemba solemba aaaaa,marehemu Niko Zengikala...ilikuwa hatarii sana.
Tupe stori kidogo mkuu.Solemba hii historia ya kweli kabiisa