Siku za ajabu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 1,369
- 986
Ooh selina piga kondemoyo ooh selinaah napata tabu inekuea hvyo selina maalim gurumo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wanajamvi?
Kuna nyimbo ya Patric Balisidya sina hakika kama yu hai au la inaitwa NDOA nakumbuka mistari yake kwa mbaali
Naanza sasa
Ndoa ni jambo la sifa,tena jambo la fahari kubwa katika historia ya mwanadamu
Kaaatika hali yoyote,kaeni kwa amani nawahusia hadi kifo kije kiwatenganishe
Kaatika hali yoyote,kaeeni kwa amani nawaombea mpka kifo kije kiwatenganishe...
Mistari mingine nimesahau...
Hii nyimbo MC alinipigia siku naoa mwaka 2004 mpka leo nimeishika na naishi katika maneno yake..
Niambie unanyimbo gani unaikumbuka?
Habari wanajamvi?
Kuna nyimbo ya Patric Balisidya sina hakika kama yu hai au la inaitwa NDOA nakumbuka mistari yake kwa mbaali
Naanza sasa
Ndoa ni jambo la sifa,tena jambo la fahari kubwa katika historia ya mwanadamu
Kaaatika hali yoyote,kaeni kwa amani nawahusia hadi kifo kije kiwatenganishe
Kaatika hali yoyote,kaeeni kwa amani nawaombea mpka kifo kije kiwatenganishe...
Mistari mingine nimesahau...
Hii nyimbo MC alinipigia siku naoa mwaka 2004 mpka leo nimeishika na naishi katika maneno yake..
Niambie unanyimbo gani unaikumbuka?