ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

Hongera sana ila sijaziona za Saboso, Msondo Nambari moja Mpaka Tano, Mganga Nmba Moja na Mbili za Jamhuri Jazz na Nimuokoe Nani ya Msondo Ngoma
 
Amani Iwe nanyi wakuu,
Baada ya Kuteseka na Kuhangaika huku na kule mitandaoni nikitafuta ni wapi nitapata Ku-download ngoma zote za hapo kitambo na kukosa, basi nimeona nifungue Blog yangu ZILIPENDWA ambapo kila muda naweka Nyimbo mbali mbali zilizowahi kuwika hapa Barani Africa. Nyumbani ndio kwa Sana.
Hivyo basi wale wadau wote wa Muziki wa Kale Tukutane >>> HAPA <<<
Wadau wote wa KILWA JAZZ, MSONDO, JUWATA, SUPER RAINBOW, TABORA JAZZ, SUPER MATEMBELE, IN AFRICA, MASHROOM, LESS WANYIK/SIMBA WA NYIKA nk BOFYA >>> HAPA twende Pamoja.

Shukran.
Mkuu nahitaji ule wimbo wa nimekusamehe lkn sitokusahau wanaupigaga redio free kwenye kipindi chao cha sitosahau.
 
Hongera sana ila sijaziona za Saboso, Msondo Nambari moja Mpaka Tano, Mganga Nmba Moja na Mbili za Jamhuri Jazz na Nimuokoe Nani ya Msondo Ngoma
Msondo zipo kaka na hizo nyingine nazidi Kuzipakia, Kwanzia Mshenga Namba moja hadi Mbili mpaka Shakaza utazipata
 
Amani Iwe nanyi wakuu,
Baada ya Kuteseka na Kuhangaika huku na kule mitandaoni nikitafuta ni wapi nitapata Ku-download ngoma zote za hapo kitambo na kukosa, basi nimeona nifungue Blog yangu ZILIPENDWA ambapo kila muda naweka Nyimbo mbali mbali zilizowahi kuwika hapa Barani Africa. Nyumbani ndio kwa Sana.
Hivyo basi wale wadau wote wa Muziki wa Kale Tukutane >>> HAPA <<<
Wadau wote wa KILWA JAZZ, MSONDO, JUWATA, SUPER RAINBOW, TABORA JAZZ, SUPER MATEMBELE, IN AFRICA, MASHROOM, LESS WANYIK/SIMBA WA NYIKA nk BOFYA >>> HAPA twende Pamoja.

Shukran.
Mkuu asante sana kwa uzi huu. Kuna nyimbo moja ya Tx Moshi inaitwa Ashbahi naweza ipata pia?
 
Kuna ile nyimbo
"Utalia utaliaa usinione
Utanikumbuka utanikumbuka usinione"
Ni ya Kundi gan vile
 
Kuna ile nyimbo
"Utalia utaliaa usinione
Utanikumbuka utanikumbuka usinione"
Ni ya Kundi gan vile
Daah Mkuu kwakweli sijaitambua Bado ngoja wadau watakupa Title na Mwimbaji then tuone ni kwa namna gani vipi utaweza ipata.
 
Back
Top Bottom