Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haa Haki zote zimehifadhiwaCopyright vipi lakini? Tusije fungwa mpakiaji na mpakuaji ahhh.
Mkuu usjali leo napakia ngoma nyingi, hope na hizi nitapakiaWakuu nnaomba mwenye nyimbo hizi tafadhari;
1. kisa cha mpemba,,,,,twanga pepeta
2. siri,,,,deo mwanambilimbi ft banana zoro
3. Abuu Misambano na TOT Band,,,inaimbwa hivi"ooooh bwanaeee usilie na mimi babaaaa, mpenzi wako mimi sijamwita eeeh, kaona mambo ww huyawezii, ndipo kaja kwangu"
done. Umeipata mkuu baadae ntaipakia then uipakue. cha msingi fanya ku-subscribe pale ili ikipakiwa tuu upate taarifaMwenye "MWAKA WA TABU" wa Ally Choki tafadhali naomba ani PM tafadhali.
Mkuu nifanyie YAMENIKUTA GWM ft SUGUMkuu kusema Kweli nina Collection Kubwa mno ila Muda wakuzipakia nakosa ndio maana najitahidi kupakia angalao Tano kwa siku. Usjali Shughuli zikiniisha Nitazijaza Kule.
Amani Iwe nanyi wakuu,
Baada ya Kuteseka na Kuhangaika huku na kule mitandaoni nikitafuta ni wapi nitapata Ku-download ngoma zote za hapo kitambo na kukosa, basi nimeona nifungue Blog yangu ZILIPENDWA ambapo kila muda naweka Nyimbo mbali mbali zilizowahi kuwika hapa Barani Africa. Nyumbani ndio kwa Sana.
Hivyo basi wale wadau wote wa Muziki wa Kale Tukutane >>> HAPA <<<
Wadau wote wa KILWA JAZZ, MSONDO, JUWATA, SUPER RAINBOW, TABORA JAZZ, SUPER MATEMBELE, IN AFRICA, MASHROOM, LESS WANYIK/SIMBA WA NYIKA nk BOFYA >>> HAPA twende Pamoja.
Shukran.
Karibu ChiefAhsane sana mkuu.
Au sioZa ukwel
Mkuu naomba konjesta, kiu ya jibu na telegram za sikinde..zinanikosha sanaMkuu hii sina kwa Files zangu ila nina Nyimbo Kumi za Marquiz Ikiwa ni Pamoja na ile ya NI WEWE PEKEE ambayo teyari nmekwisha iweka kwenye Blog yetu.
Aksante